mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Hiyo kampuni ya JVAC uliomba kwa njia gani ulituma kwa email au ndio ulipeleka reception ukamuachia receptionist?Mkuu
Mkuu nimeomba kampuni ya JV Arab Contractors lakini kama unapatikana ugali kampuni yoyote nipo tayari
Jaribu na SINO HYDRO KIDOGO AFADHALI WAAARABU MASWALI MENGI KAMA INTERVIEW LAKIN WACHINA BIDII YAKO YA KAZ TUMkuu
Mkuu nimeomba kampuni ya JV Arab Contractors lakini kama unapatikana ugali kampuni yoyote nipo tayari
MkuuHiyo kampuni ya JVAC uliomba kwa njia gani ulituma kwa email au ndio ulipeleka reception ukamuachia receptionist?
Mkuu hata hao sino hydro wakitaka wafanyakazi wanaleta order hapa ofisi hii hii iliyopo kisaki.Jaribu na SINO HYDRO KIDOGO AFADHALI WAAARABU MASWALI MENGI KAMA INTERVIEW LAKIN WACHINA BIDII YAKO YA KAZ TU
Tatizo mkuu ukishakabidhi barua yako hapa Kwa HR wa kijijini basi tena kuitwa inategemea na huruma yake. Hivyo kama HR hana maslahi na wewe unabaki unachina tu hapa hata kama order ya watu ikitoka wanachukuliwa wengine. Tatizo la hapa Mkuu ni connection toka Kule ndaniAhsante mkuu, jaribu sino ya mchina anahitaji watu wengi sana.
Wakuu habari za wikend!
Wakuu baada ya Mh, Raisi Magufuli kuruhusu shughuli na miradi ziendelee , Nime Jaribu kutafuta riziki kwenye miradi ya ujenzi inayo endelea hapa Dar bila mafanikio, huku familia ikizidi kuumia njaa, Nikaona ni bora nijaribu kuja huku kwenye ujenzi wa bwawa la Umeme la Nyerere, Maarufu kama Stiegler's Gorge. Wakuu nimesha kabidhi Kwa Hr, CV na barua ya maombi ya kazi ya Fundi nondo (Steel fixer)
Kutokana na njaa ndani ya familia yangu Pia nimeomba kazi za kibarua( labour) kama nafasi ya kazi ya fani yangu ikichelewa kutoka. Kwa sasa barua zinazopewa kipaumbele ni za wazawa wa kijiji hiki na wale walio omba toka miezi ya nyuma. Wakuu Kwa utaratibu huu njaa itaiua familia yangu
Jamani wana JF wenzangu naombeni Kwa yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia nikapata kazi hapa mapema anisaidie maana familia yangu itakufa njaa .Sina pakukimbilia zaidi ya kuja kwenu wana JF
Asanteni.
0765544791
Pole sana mkuu, Mungu ataleta heri yake.
Huko arab contractors wana uhitaji wa magali makubwa? Ya kufanyia kazi?
[/QUOTMkuu kuhusu uhitaji wa magari kiukweli hata sijui, kwani umbali uliopo toka hapa kijijini walipoweka ofisi zao za kupokelea barua za maombi ni karibu kilometa 71 Kule ni katikati ya hifadhi ya selou hivyo kama huja chaguliwa huwezi kufika huko kwenye mradi
Mjuu
Nashukuru mkuu! Mungu ndio Muweza wa yote Pale mawazo yetu yakifika mwisho hapo ndo yeye hufanya miujiza yake na kujitwalia utukufuMungu atakufanyia wepesi mkuu, Be patient!
Sidhani kwa sababu kazi nyingi amemuuzia mchina yeye amebaki msimamizi tu.Pole sana mkuu, Mungu ataleta heri yake.
Huko arab contractors wana uhitaji wa magali makubwa? Ya kufanyia kazi?
Hii mfumo una viashiria cha rushwa, toa taarifa kunakohusika ili mianya izibweTatizo mkuu ukishakabidhi barua yako hapa Kwa HR wa kijijini basi tena kuitwa inategemea na huruma yake. Hivyo kama HR hana maslahi na wewe unabaki unachina tu hapa hata kama order ya watu ikitoka wanachukuliwa wengine. Tatizo la hapa Mkuu ni connection toka Kule ndani
Mkuu viongozi wa kijiji hiki cha Kisaki hasa wajumbe , wameigeuza hii ofisi ya kuopokelea maombi ya kazi kama Mali yao, Wamekuja na hoja eti wazawa wa kisaki kwanza,Wanatumia mwanya huo kuchukua mlungula wakati sisi tupo hapa toka miaezi ya 6 lakini order ikiletwa unaona watu wanaingia tu. Kuna kipindi mpaka napata hasira natamani nichome mtu na pesa za motoHii mfumo una viashiria cha rushwa, toa taarifa kunakohusika ili mianya izibwe
Mkuu naomba ni PM na mimi msaada wako tafadhaliNimekutumia PM mtafute huyo mtu kabla ya kumpigia simu jieleze labda atakupa kazi. Usinitaje maana sikujui.
Vipi mkuu ulifanikiwa?kama ulifanikiwa naomba unipe ABC na mimi nataka kuja uko hali ngumu mtaani.Mkuu viongozi wa kijiji hiki cha Kisaki hasa wajumbe , wameigeuza hii ofisi ya kuopokelea maombi ya kazi kama Mali yao, Wamekuja na hoja eti wazawa wa kisaki kwanza,Wanatumia mwanya huo kuchukua mlungula wakati sisi tupo hapa toka miaezi ya 6 lakini order ikiletwa unaona watu wanaingia tu. Kuna kipindi mpaka napata hasira natamani nichome mtu na pesa za moto
Nikupe Namba ya Kiongozi wa Sumajkt wa humu ndani au ya Muarabu ambaye ni Supervisor wa Security Department?..Mwenye namba za mwarabu anayesimamia interview anisaidie mdogo wangu kahujumiwa
Mdogo wako ni Dereva au Operator?...Mwenye namba za mwarabu anayesimamia interview anisaidie mdogo wangu kahujumiwa