Bora uhai. Kuna vituo vya ustawi wa jamii.Serikali unayoilenga hapa imelea wangapi?
Sukumagang wanakomeshwa kweri kweriBora uhai. Kuna vituo vya ustawi wa jamii.
Bora uhai. Kuna vituo vya ustawi wa jamii.
Uhai na watoto wanakuangalia huna hata uji wa kuwapa unafikiri ni rahisi??
Hakuna maisha magumu, maisha ni maisha tu, hewa na maji ni msingi mkuu wa kuishi, chakula ni ziada tu na unaweza kukipata kwa wanaokula. Huyo mama huenda alikuwa na msongo wa mawazo na hakupata tiba mapema. Kujiua na kuua si sulihisho la kutatua changamoto za maisha. Hata wenye pesa nyingi na uhakika wa kula mlo autakao wana changamoto maishani mwao kiasi cha kutamani kujiondoa uhai. Kujiua kwa ajili ya kukosa mahitaji fulani maishani ni uendawazimu
Huko Bwanga vipo vingapi?
Nikwambie tu kwa urasimu ulivyo nchi hii, hata kupata nafasi hapo kituoni ni lazima
Jamani ndugu zangu wale. Hili tukio limeniuma sana.Sukuma gang walitutambia sana wacha wafe njaa tu😅
Kw nin asiende nyumba yeyote awatelekeze hapo badala ya kuwauwa?Uhai na watoto wanakuangalia huna hata uji wa kuwapa unafikiri ni rahisi??
Kuna wanaosema lakini hawasikilizwi, dunia ya leo hakuna mwenye habar na mwingine.Kama una shida bora kuisema tu
Hapo Buseresere ni karibu na Chato ambako kuna kiwanja cha kimataifa cha Ndege ambacho kinaanikiwa nafaka.Chadema ndiyo wamesababisha haya yoye.
Kweli Kabisa, kupambana na watoto watano tena wote wadogo si kazi rahisi hata kidogo, tena ukiwa mwanamke mwenyewe.Ningekuwa Jaji, Nikiletewa kesi ya huyu mama Nisingemhukumu hukumu mbaya kwa kuwa na yeye alikunywa hiyo sumu.
Inaonyesha alipambana na ugumu wa maisha hadi akafikia ukomo wa kupata msaada.
Ndo viongozi tulio nao haoHapo Buseresere ni karibu na Chato ambako kuna kiwanja cha kimataifa cha Ndege ambacho kinaanikiwa nafaka.
Wanatakiwa waanze na baba.inasikitisha sana sijui baba wa familia yuko wapi?