Ugumu wa maisha; Mama anywesha wanae 5 sumu. Wawili wafariki dunia, watatu pamoja naye wanapatiwa matibabu

Hakuna maisha magumu, maisha ni maisha tu, hewa na maji ni msingi mkuu wa kuishi, chakula ni ziada tu na unaweza kukipata kwa wanaokula. Huyo mama huenda alikuwa na msongo wa mawazo na hakupata tiba mapema.

Kujiua na kuua si sulihisho la kutatua changamoto za maisha. Hata wenye pesa nyingi na uhakika wa kula mlo autakao wana changamoto maishani mwao kiasi cha kutamani kujiondoa uhai. Kujiua kwa ajili ya kukosa mahitaji fulani maishani ni uendawazimu
 
Ningekuwa Jaji, Nikiletewa kesi ya huyu mama Nisingemhukumu hukumu mbaya kwa kuwa na yeye alikunywa hiyo sumu.

Inaonyesha alipambana na ugumu wa maisha hadi akafikia ukomo wa kupata msaada.
 

Unaongea porojo miiingi ooh chakula ni ziada tu huku umeweka ugali mkuuuubwa kwenye AVATAR.!!

Strictly PATHETIC.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ningekuwa Jaji, Nikiletewa kesi ya huyu mama Nisingemhukumu hukumu mbaya kwa kuwa na yeye alikunywa hiyo sumu.

Inaonyesha alipambana na ugumu wa maisha hadi akafikia ukomo wa kupata msaada.
Kweli Kabisa, kupambana na watoto watano tena wote wadogo si kazi rahisi hata kidogo, tena ukiwa mwanamke mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…