Ugumu wa maisha; Mama anywesha wanae 5 sumu. Wawili wafariki dunia, watatu pamoja naye wanapatiwa matibabu

Huko si ndio kulikua kuanzishwe nchi mpya sasa wanajinyonga tena? aisee basi sawa siisiiiiemuuuu oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Tanzania ni nchi maskini ila Magufuli ameendelea kuwachovya Watanzania kwenye ufukara.
Samia ametwikwa mzigo mzito
 
Binadamu alivyo na ubinafsi, angemsaidia huyo mama mpaka lini? Si ajabu kuna waliokuwa wakisaidia, ila kusaidia kwetu sio Kwa kutoa mtaji ili mwenye shida ajitegemee maana hatuna uwezo huo, Msaada ni wa kusaidia Kwa siku tu, kesho atoke tena kwenda kuomba Msaada. Hiyo huwachosha wote, muombaji na anayeombwa.
 
Duh kumbe pamoja na kuondoka bwana yule shida ziko pale pale?!!!!
Heheheh sio ziko pale pale, zimesogezwa mbele zaidi na karibu yako kama kivuli😅!

Yani kama zilikuwa nje ya nyumba sahizi zimesogezwa sebleni kwako ili zikutese vizuri!

Nadhani wale waliomtukanaga na kumuona mzee yule dikteta na hafai sahizi watakuwa wanaungama😅
 
Miaka 60 ya Uhuru!!!hali ya maisha ya mtanzania inasikitisha sana
Ajira ni tabu
Gharama za maisha hazifai
Watanzania wengi wamepoteza matumaini!!!
Wanasiasa ndio wanaotamba!?
Kweli ni huzuni Hili Taifa!
Kwa hali hii kujiua lazma iwe option rahisi zaidi kuliko kukaza! What do you live for kama huna furaha ya maisha!?
 
Utakuta majirani zake nao ni choka mbaya ni kwamba hawajafikia tuu uamuzi wa kujitoa uhai
 
30years watoto watano. African woman.
 

Inategemea na watu
Mbona tunasomesha yatima mpaka wanamaliza masomo?
Mimi namshukuru Mungu kwa hilo
 
Reactions: Auz
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…