Ugumu wa maisha ndio umemkimbiza Lissu kutoka Ubelgiji

Ugumu wa maisha ndio umemkimbiza Lissu kutoka Ubelgiji

Imefahamika sasa kilichomkimbiza Lissu kutoka Ubelgiji ni ugumu wa maisha. Kwa sasa Ubelgiji maisha yako juu sana mara 2 ya Tanzania kwa kigezo cha mfumko wa bei.

What is Belgium's current inflation rate?

In January 2023, the inflation rate in Belgium fell to 8.05 per cent, which shows a decrease in the inflation rate compared to last month. The lowest inflation rate was visible in January 2021

What is the inflation rate in Tanzania in December 2022?
Tanzania's Annual Inflation was Slightly Down to 4.8% in December 2022, Annual Average of Up to 4.3% From 3.7% in 2021. The National Bureau of Statistics of Tanzania (NBS)
Hakuna mtu anayeweza kutoka Europe au US/Canada akarudi Tanzania eti kwa sababu maisha ya ughaibuni ni gharama na Tanzania ni nafuu, labda kama haujawahi kuishi nchi za dunia ya kwanza ndiyo unaweza kuuamini upuuzi huo.
 
Hakuna mtu anayeweza kutoka Europe au US/Canada akarudi Tanzania eti kwa sababu maisha ya ughaibuni ni gharama na Tanzania ni nafuu, labda kama haujawahi kuishi nchi za dunia ya kwanza ndiyo unaweza kuuamini upuuzi huo.
ndiyo imeshatokea hivyo au kaja tu kwa mda
 
Yaani ukimbie maisha magumu ulaya penye uhakika wa daywaka uje bongo pasipo uhakika.
Huo ni uongo
 
Imefahamika sasa kilichomkimbiza Lissu kutoka Ubelgiji ni ugumu wa maisha. Kwa sasa Ubelgiji maisha yako juu sana mara 2 ya Tanzania kwa kigezo cha mfumko wa bei.

What is Belgium's current inflation rate?

In January 2023, the inflation rate in Belgium fell to 8.05 per cent, which shows a decrease in the inflation rate compared to last month. The lowest inflation rate was visible in January 2021

What is the inflation rate in Tanzania in December 2022?
Tanzania's Annual Inflation was Slightly Down to 4.8% in December 2022, Annual Average of Up to 4.3% From 3.7% in 2021. The National Bureau of Statistics of Tanzania (NBS)
Hamchoki?mnatumia bando kwa habari zisizo na Tija kwa Mhusika
 
Imefahamika sasa kilichomkimbiza Lissu kutoka Ubelgiji ni ugumu wa maisha. Kwa sasa Ubelgiji maisha yako juu sana mara 2 ya Tanzania kwa kigezo cha mfumko wa bei.

What is Belgium's current inflation rate?

In January 2023, the inflation rate in Belgium fell to 8.05 per cent, which shows a decrease in the inflation rate compared to last month. The lowest inflation rate was visible in January 2021

What is the inflation rate in Tanzania in December 2022?
Tanzania's Annual Inflation was Slightly Down to 4.8% in December 2022, Annual Average of Up to 4.3% From 3.7% in 2021. The National Bureau of Statistics of Tanzania (NBS)
Unaliwa kiboga wewe sio bure!

Sent from my Nokia G21 using JamiiForums mobile app
 
Hujui hata kutunga uongo na anayekulipa kutokana na hizi propaganda za uongo atakushangaa.
 
Kwani alikuwa anafanya kazi huko Belgium?

Au alikuwa anachukua incapacity benefit?
Kama ni benefit basi nyumba ni bure na hela za kujikimu anapewa tena nyingi tu kama ni ulemavu

Ila kama alikuwa na kazi ni mengine pia ila watu wapo wanaishi Ulaya ingawa kila kitu kiko juu ila kila mmoja anapambana na hali yake kama unavyopambana wewe huko

Kwa kweli leo mtu ambae yuko Europe akimbilie bongo kisa maisha magumu atakuwa mwehu huyo

Njoo na sababu zingine
Duh! Ujuaji mwingine bhana!
 
Back
Top Bottom