Mimi naungana na Roma Mkatoliki! Nitachagua andazi.Kati ya CCM na andazi unachagua nini?
Nilishawahi kusema sehemu kuwa, Siku watanzania wakichoka na kuamua kuiingia barabarani, Jumuiya za kimataifa zitaiingiliaa na damu itamwagika na hapata kalika
Iwafikie CCM kwenye jalada
[emoji38][emoji38][emoji38]Kati ya CCM na andazi unachagua nini?
Nilishawahi kusema sehemu kuwa, Siku watanzania wakichoka na kuamua kuiingia barabarani, Jumuiya za kimataifa zitaiingiliaa na damu itamwagika na hapata kalika
Iwafikie CCM kwenye jalada
kwa sasa maisha sio magumu kama yalivyokuwepo kipindi cha mwendazake, wamejitahidi. wafanyabiashara wanajua hili. wanaoendelea kulalamika subirini wawaletee pesa nyumbani kwenu.
Na hili ndio jibu lake. Piga kazi kiongozikwa sasa maisha sio magumu kama yalivyokuwepo kipindi cha mwendazake, wamejitahidi. wafanyabiashara wanajua hili. wanaoendelea kulalamika subirini wawaletee pesa nyumbani kwenu.
Wafanyabiashara wanapandisha bei jinsi wanavyotakakwa sasa maisha sio magumu kama yalivyokuwepo kipindi cha mwendazake, wamejitahidi. wafanyabiashara wanajua hili. wanaoendelea kulalamika subirini wawaletee pesa nyumbani kwenu.
Mjinga aina hii usipoteze mda wa kubishana nae Kiongoziwewe mpumbavu unaongea takataka.
Mwaka juzi mwezi wa sita tulikuwa tunanunua mchele kulo 1600 leo unanunua 3200 ongezeko la asilimia 100% ndani ya miezi 24
umeshiba kande unakuja kuongea ujinga hapa.
hizo hasira hadi kunitukana ni kwamba hauna uwezo kununua mchele kili moja 3200? piga kazi mjomba upunguze hasia zisizo na sababu. tafuta hela.wewe mpumbavu unaongea takataka.
Mwaka juzi mwezi wa sita tulikuwa tunanunua mchele kulo 1600 leo unanunua 3200 ongezeko la asilimia 100% ndani ya miezi 24
umeshiba kande unakuja kuongea ujinga hapa.
biashara ngumu, lakini hapahapo kuna sisi wenzenu tunasema biashara ni nzuri na bora kuliko kipindi kile. kwa watu wanaojishughulisha, kipindi hiki maisha yatakuwa mazuri, ila kwa wale wapenda mteremko na watazama tamthilia, watalalamika kama wewe siku zote. tafuta kazi, tafuta biashara, fanya, sasahivi mazingira yamebadilika. sio kama kipindi kile cha mwendazake ambapo kila mtu aliishi kama mashetani.Hapa nilipo Mimi vibaka wameongezeka wanaiba kuku masufuria, wanaloa nguo madirishani na kila kitu wanachokiona kinaweza kuuzika,
Hivyo hali ni mbaya mitaani.
Biashara ngumu sababu mzunguko wa hela ni mdogo sana.
Na Kuna akina mama walikopeshwa wengi wao wameshindwa kulejesha na matokeo yake wanakimbia familia zao.
Na wengine wanafirisiwa na kuwa masikini zaidi.!
Kati ya CCM na andazi unachagua nini?
Nilishawahi kusema sehemu kuwa, Siku watanzania wakichoka na kuamua kuiingia barabarani, Jumuiya za kimataifa zitaiingiliaa na damu itamwagika na hapata kalika
Iwafikie CCM kwenye jalada
Mimi ninayesema haya nipo field na ushahidi wa haya ninayoyasema ninao.biashara ngumu, lakini hapahapo kuna sisi wenzenu tunasema biashara ni nzuri na bora kuliko kipindi kile. kwa watu wanaojishughulisha, kipindi hiki maisha yatakuwa mazuri, ila kwa wale wapenda mteremko na watazama tamthilia, watalalamika kama wewe siku zote. tafuta kazi, tafuta biashara, fanya, sasahivi mazingira yamebadilika. sio kama kipindi kile cha mwendazake ambapo kila mtu aliishi kama mashetani.