Ugumu wa Maisha ni hatari kwa usalama wa Taifa, serikali ichukue tahadhari

Ugumu wa Maisha ni hatari kwa usalama wa Taifa, serikali ichukue tahadhari

Kati ya CCM na andazi unachagua nini?

Nilishawahi kusema sehemu kuwa, Siku watanzania wakichoka na kuamua kuiingia barabarani, Jumuiya za kimataifa zitaiingiliaa na damu itamwagika na hapata kalika


Iwafikie CCM kwenye jalada
Andazi
 
kwa sasa maisha sio magumu kama yalivyokuwepo kipindi cha mwendazake, wamejitahidi. wafanyabiashara wanajua hili. wanaoendelea kulalamika subirini wawaletee pesa nyumbani kwenu.
Una akili za kipuuzi kama Zitto, wakati Magufuli yupo hai unajuwa mchele na unga tulikuwa tunanua kiasi gani?
 
Ni Ukweli mchungu kwamba mtaani hali ni ngumu sana kuanzia upatikanaji wa pesa mpaka bei za bidhaa .binafsi mbali na kwamba ni muajiriwa lakini pia najishughulisha na biashara zinazogusa moja kwa moja wananchi kwa hiyo ninachoandika nina kifahamu vizuri .

Kwa hali ilivyo sasa anaweza tokea mtu au mwanaharakatika akaunganisha watu wafanya maandamano makubwa sana ambayo yanaweza yasiishe SALAMA .

Watanzania ni wapore sana lakini Njaa inaweza mfanya mtu akafanya chochote kile .

Hivyo Bunge na serikali kwa ujumla suala la ugumu wa maisha hususani bei za vyakula fanyeni kitu kupunguza ugumu huo .​
Usijidanganye, hakuna siku maisha yatakuwa rahisi, fanya kazi kwa bidii.
 
Ni Ukweli mchungu kwamba mtaani hali ni ngumu sana kuanzia upatikanaji wa pesa mpaka bei za bidhaa .binafsi mbali na kwamba ni muajiriwa lakini pia najishughulisha na biashara zinazogusa moja kwa moja wananchi kwa hiyo ninachoandika nina kifahamu vizuri .

Kwa hali ilivyo sasa anaweza tokea mtu au mwanaharakatika akaunganisha watu wafanya maandamano makubwa sana ambayo yanaweza yasiishe SALAMA .

Watanzania ni wapore sana lakini Njaa inaweza mfanya mtu akafanya chochote kile .

Hivyo Bunge na serikali kwa ujumla suala la ugumu wa maisha hususani bei za vyakula fanyeni kitu kupunguza ugumu huo .​
Ugumu wa Maisha Tanzania ni WA kujitakia nenda shamba ulime.

Mwisho maisha Huwa magumu masika sio saizi kipindi Cha mavuno ,gunia la Mahindi Mkoani kwangu ni sh.9,000 kutoka 22,000 mwezi december-March Sasa huo Ugumu ni upi?
 
Kati ya CCM na andazi unachagua nini?

Nilishawahi kusema sehemu kuwa, Siku watanzania wakichoka na kuamua kuiingia barabarani, Jumuiya za kimataifa zitaiingiliaa na damu itamwagika na hapata kalika


Iwafikie CCM kwenye jalada
Watu wenyewe wakuingia barabarani wapo wapi? Hawa wa. Jf wengi hata kura hawapigi
 
Ugumu wa Maisha Tanzania ni WA kujitakia nenda shamba ulime.

Mwisho maisha Huwa magumu masika sio saizi kipindi Cha mavuno ,gunia la Mahindi Mkoani kwangu ni sh.9,000 kutoka 22,000 mwezi december-March Sasa huo Ugumu ni upi?
gunia 9,000Tsh? ivi unajua gunia wewe au kwenu gunia ni kitu gani? vitu kama ujui tulia aisee

kwahyo ukilima ndiyo unakuwa unatoboa na life ili?
 
Ni Ukweli mchungu kwamba mtaani hali ni ngumu sana kuanzia upatikanaji wa pesa mpaka bei za bidhaa .binafsi mbali na kwamba ni muajiriwa lakini pia najishughulisha na biashara zinazogusa moja kwa moja wananchi kwa hiyo ninachoandika nina kifahamu vizuri .

Kwa hali ilivyo sasa anaweza tokea mtu au mwanaharakatika akaunganisha watu wafanya maandamano makubwa sana ambayo yanaweza yasiishe SALAMA .

Watanzania ni wapore sana lakini Njaa inaweza mfanya mtu akafanya chochote kile .

Hivyo Bunge na serikali kwa ujumla suala la ugumu wa maisha hususani bei za vyakula fanyeni kitu kupunguza ugumu huo .​
Usalama wa Taifa kwa tafsiri ya mafisadi ni usalama wa mkuu wa nchi.

Ndo maana wananunua mitambo ya kudukua mawasoliano kunasa wananchi wanasemaje dhidi ya watawala.

Mambo ya hali tete na ugumu wa maisha haviwagusi wakubwa hata kidogo. Hebu fikiria mtu anakwapua 1.7 trillion peke yake halafu utegemee wawe na huruma kwa nchi?


Hali ni mbaya mtaani
 
Ugumu wa Maisha Tanzania ni WA kujitakia nenda shamba ulime.

Mwisho maisha Huwa magumu masika sio saizi kipindi Cha mavuno ,gunia la Mahindi Mkoani kwangu ni sh.9,000 kutoka 22,000 mwezi december-March Sasa huo Ugumu ni upi?
Nyie ndiyo watoto vipoda, hata Gunia ujui ni nini afu unakuja kucoment huku, nyuzi zenu zipo nyingi nenda hata kwenye Mapishi kule.
 
Kati ya CCM na andazi unachagua nini?

Nilishawahi kusema sehemu kuwa, Siku watanzania wakichoka na kuamua kuiingia barabarani, Jumuiya za kimataifa zitaiingiliaa na damu itamwagika na hapata kalika


Iwafikie CCM kwenye jalada
Kuna wajinga huwa wanapiga kelele kusifia kila kitu kwa sababu tu wako kwenye ulaji au biashara zao zinashamiri kwa sababu ya rushwa. Siku nchi itakapolipuka ndiyo watajuta na kujua kuwa wao ndiyo walitakiwa wawe wa kwanza kupiga kelele kuhusu uongozi mbovu.
 
Ccm ni ile ile unategemea nini?!

Hata kipindi cha Jiwe hali ilikua ngumu mpaka raia wakawa wanalalamika vyuma vimekaza.
 
Ni Ukweli mchungu kwamba mtaani hali ni ngumu sana kuanzia upatikanaji wa pesa mpaka bei za bidhaa .binafsi mbali na kwamba ni muajiriwa lakini pia najishughulisha na biashara zinazogusa moja kwa moja wananchi kwa hiyo ninachoandika nina kifahamu vizuri .

Kwa hali ilivyo sasa anaweza tokea mtu au mwanaharakatika akaunganisha watu wafanya maandamano makubwa sana ambayo yanaweza yasiishe SALAMA .

Watanzania ni wapore sana lakini Njaa inaweza mfanya mtu akafanya chochote kile .

Hivyo Bunge na serikali kwa ujumla suala la ugumu wa maisha hususani bei za vyakula fanyeni kitu kupunguza ugumu huo .​
na samia lipo limekaa tu kazi kufuturisha.!
hopeless country.
 
Kati ya CCM na andazi unachagua nini?

Nilishawahi kusema sehemu kuwa, Siku watanzania wakichoka na kuamua kuiingia barabarani, Jumuiya za kimataifa zitaiingiliaa na damu itamwagika na hapata kalika


Iwafikie CCM kwenye jalada
swali la kichochezi
 
wewe mpumbavu unaongea takataka.

Mwaka juzi mwezi wa sita tulikuwa tunanunua mchele kulo 1600 leo unanunua 3200 ongezeko la asilimia 100% ndani ya miezi 24

umeshiba kande unakuja kuongea ujinga hapa.

Mwaka juzi hiyo 1600 watu hawakuwa nayo sahivi hiyo 3200 watu wanayo
 
kwa sasa maisha sio magumu kama yalivyokuwepo kipindi cha mwendazake, wamejitahidi. wafanyabiashara wanajua hili. wanaoendelea kulalamika subirini wawaletee pesa nyumbani kwenu.
Kwa JPM chakula kilikuwa bei ya chini mno,, sasa hiviii hakishikiki,,

Kwa JPM kutoka Dar kwenda Mwanza nilikuwa nalipa Tsh 45,000/- napanda basi la kiwango,,, sasa hivi hii ni nauli ya Dodoma - Mwanza

Kwa JPM kijana mtafutaji alikuwa akiwa na mtaji wa laki moja anaingia mjini anafanya kazi bila usumbufu,,,, sasa hivi mgambo wananguvu mno

Yote kwa yote kijana aliyekuwa anafanya ufundi (masuala ya ujenzi) Kwa JPM alikuwa analipwa Tsh, 25,000/- per day ambayo bado analipwa mpaka leo pamoja na ongezeko la bei kwenye mahitaji muhumu,,, kijana huyu ukimwambia maisha yalikuwa magumu kwa Mwendazake am sure asipokuchapa kofi la nguvu uende kusali kwa iman yako
 
Kwa JPM chakula kilikuwa bei ya chini mno,, sasa hiviii hakishikiki,,

Kwa JPM kutoka Dar kwenda Mwanza nilikuwa nalipa Tsh 45,000/- napanda basi la kiwango,,, sasa hivi hii ni nauli ya Dodoma - Mwanza

Kwa JPM kijana mtafutaji alikuwa akiwa na mtaji wa laki moja anaingia mjini anafanya kazi bila usumbufu,,,, sasa hivi mgambo wananguvu mno

Yote kwa yote kijana aliyekuwa anafanya ufundi (masuala ya ujenzi) Kwa JPM alikuwa analipwa Tsh, 25,000/- per day ambayo bado analipwa mpaka leo pamoja na ongezeko la bei kwenye mahitaji muhumu,,, kijana huyu ukimwambia maisha yalikuwa magumu kwa Mwendazake am sure asipokuchapa kofi la nguvu uende kusali kwa iman yako
kati ya vipindi watanzania waliishi maisha magumu na hawakutakiwa kulalamika ni kipindi chake. tuwe wakweli.
 
Kwa JPM chakula kilikuwa bei ya chini mno,, sasa hiviii hakishikiki,,

Kwa JPM kutoka Dar kwenda Mwanza nilikuwa nalipa Tsh 45,000/- napanda basi la kiwango,,, sasa hivi hii ni nauli ya Dodoma - Mwanza

Kwa JPM kijana mtafutaji alikuwa akiwa na mtaji wa laki moja anaingia mjini anafanya kazi bila usumbufu,,,, sasa hivi mgambo wananguvu mno

Yote kwa yote kijana aliyekuwa anafanya ufundi (masuala ya ujenzi) Kwa JPM alikuwa analipwa Tsh, 25,000/- per day ambayo bado analipwa mpaka leo pamoja na ongezeko la bei kwenye mahitaji muhumu,,, kijana huyu ukimwambia maisha yalikuwa magumu kwa Mwendazake am sure asipokuchapa kofi la nguvu uende kusali kwa iman yako
Maisha ya Sasa yamekuwa Bora Sana kuliko enzi hzo, kwanza kwasasa Hakuna sehem ambayo machinga ananyanyaswa, Hakuna wale jamaa wa unanijua mm🤣, sahzi Hakuna tabaka linalo nyanyasa na kunyanyaswa....
SSH MPAKA 2030. ✅ ANAONGOZA NCHI KWA HEKIMA NA BUSARA SANA
 
Na mimi nilikuwa nahisi vitu kama ivyo ila wewe mtoa mada umeinyoosha vizuri. Uhaini, uasi, kukosa uzalendo, ama bora tukose wote ni sehemu ya matokeo ya umaskini uliotopea.
 
Back
Top Bottom