Ugumu wa Maisha ni hatari kwa usalama wa Taifa, serikali ichukue tahadhari

Ugumu wa Maisha ni hatari kwa usalama wa Taifa, serikali ichukue tahadhari

wewe mpumbavu unaongea takataka.

Mwaka juzi mwezi wa sita tulikuwa tunanunua mchele kulo 1600 leo unanunua 3200 ongezeko la asilimia 100% ndani ya miezi 24

umeshiba kande unakuja kuongea ujinga hapa.
taja jina la mwaka usiwe unabahatisha mwaka ili tukutajie mwaka bei ya unga ilikua juu inaonekana mchele umeanza kutumwa mwaka 2022 mwaka juzi ndio kitugani?
 
Kati ya CCM na andazi unachagua nini?

Nilishawahi kusema sehemu kuwa, Siku watanzania wakichoka na kuamua kuiingia barabarani, Jumuiya za kimataifa zitaiingiliaa na damu itamwagika na hapata kalika


Iwafikie CCM kwenye jalada
Hahahaha
 
Hapa nilipo Mimi vibaka wameongezeka wanaiba kuku masufuria, wanaloa nguo madirishani na kila kitu wanachokiona kinaweza kuuzika,
Hivyo hali ni mbaya mitaani.
Biashara ngumu sababu mzunguko wa hela ni mdogo sana.
Na Kuna akina mama walikopeshwa wengi wao wameshindwa kulejesha na matokeo yake wanakimbia familia zao.
Na wengine wanafirisiwa na kuwa masikini zaidi.!
Aiseee, ni hatari kabisa,
 
Ni Ukweli mchungu kwamba mtaani hali ni ngumu sana kuanzia upatikanaji wa pesa mpaka bei za bidhaa .binafsi mbali na kwamba ni muajiriwa lakini pia najishughulisha na biashara zinazogusa moja kwa moja wananchi kwa hiyo ninachoandika nina kifahamu vizuri .

Kwa hali ilivyo sasa anaweza tokea mtu au mwanaharakatika akaunganisha watu wafanya maandamano makubwa sana ambayo yanaweza yasiishe SALAMA .

Watanzania ni wapore sana lakini Njaa inaweza mfanya mtu akafanya chochote kile .

Hivyo Bunge na serikali kwa ujumla suala la ugumu wa maisha hususani bei za vyakula fanyeni kitu kupunguza ugumu huo .​
Ugumu wa maisha mnaisikia nyie wafuasi wa kibwetere aka mwendazake. Sisi walamba asali tumeona kazi nzuri ya mama .
 
Vyuma vimekaza Kweli Kweli.

Bora kuwa mbwa huko Marekani kuliko kuwa mwanadamu Tanzania
 
Mimi ninayesema haya nipo field na ushahidi wa haya ninayoyasema ninao.
Wewe pengine ni mwaajiriwa au ni kaka , dada au ni mtoto wa mwaajiriwa, hivyo haya yote huwezi jua.
Mlala kwa shemeji huyo asikuumize kichwa
 
Kati ya CCM na andazi unachagua nini?

Nilishawahi kusema sehemu kuwa, Siku watanzania wakichoka na kuamua kuiingia barabarani, Jumuiya za kimataifa zitaiingiliaa na damu itamwagika na hapata kalika


Iwafikie CCM kwenye jalada
Hahaa naona maandazi yamepanda chart
 
Sio kwa watz ninao wajua yaani tz kufa ufufuke hakiwezi tokea kitu kama hicho sababu ni unafiki jamii yawanafiki haijawahi panga jambo likafanikiwa kwahio bro wetetea tumbo lako na familia yako
Aliyeturoga alikaza haswaa hakuachia kaupenyo hata kidogo.
 
Walamba asali wapo njiani kuongeza tozo mpya......swala la ugumu wa maisha haliwahusu wao na familia zao.
 
Mkuu huu ugumu wa maisha ni kwasababu ya
I) Recover ya Covid effect.. Makampuni mengi yalishindwa kufanya kazi

II) Mataifa makubwa kutuma fedha nyingi na vifaa vya kijeshi sehemu moja Ukraine

III) La mwisho ni effect mbaya ya uchumi kwa uongozi wa Magufuli Tanzania... Jamaa alileta uoga kwa wafanyabiashara wakubwa kutumia hela hata kama ni halali.. Suala hili lilidumaza mzunguko wa hela na benki nyingi ziliyumba hasa kwenye kutoa mikopo

Hata hivyo Serikali inajitahidi sana.... Na kiasi fulani Samia anashaurika hasa masuala ya kiuchumi na kubalance mikopo ya nje ...

Hali mbaya itaanza kuimarika kuanzia mwakani tuombe mabalaa ya vita yasiongezeke... na Serikali kujikita kwenye kuongeza bajeti ya kilimo
Na ni Dhahiri kwamba kuanzia Mwezi wa Tano mwishoni kwenda wa Sita Pesa itakwenda kwa Wakulima na Wafugaji.

Wawe na Akili tu waanze kuuza Mazao yao kwa Bei ya Juu!

Hakuna Jinsi watauza kwa Sababu Majirani wana Njaa.

Pili ni Ile Biashara ya Mifugo Hai kwenda Uarabuni-ikiwa Vile Vigezo vimekwishafanyiwa kazi-Wafugaji nao watapata Pesa na hivo Mzunguko utashuka chini.

Robo ya Pili mwishoni tutaanza kuona Pesa!

Robo ya Tatu na ya Nne mambo kwa Tanzania yatakuwa Matamu sanaa!!

Hiyo ndo Dira
 
kwa sasa maisha sio magumu kama yalivyokuwepo kipindi cha mwendazake, wamejitahidi. wafanyabiashara wanajua hili. wanaoendelea kulalamika subirini wawaletee pesa nyumbani kwenu.
Wewe utakuwa Banyamulenge siyo Mtanzania!
 
Ni Ukweli mchungu kwamba mtaani hali ni ngumu sana kuanzia upatikanaji wa pesa mpaka bei za bidhaa .binafsi mbali na kwamba ni muajiriwa lakini pia najishughulisha na biashara zinazogusa moja kwa moja wananchi kwa hiyo ninachoandika nina kifahamu vizuri .

Kwa hali ilivyo sasa anaweza tokea mtu au mwanaharakatika akaunganisha watu wafanya maandamano makubwa sana ambayo yanaweza yasiishe SALAMA .

Watanzania ni wapore sana lakini Njaa inaweza mfanya mtu akafanya chochote kile .

Hivyo Bunge na serikali kwa ujumla suala la ugumu wa maisha hususani bei za vyakula fanyeni kitu kupunguza ugumu huo .​
Changamoto ni kwamba kila mtu anapambana na hali yake mifumo imekwama wataa;amu wa kimombo watudadavulie maana usemi huu 'business success will also depend upon government working systems'
 
Back
Top Bottom