Hiyo kansa ni pamoja nakushindwa kuyatumia mazingira, mimea n.kMaisha magumu ni pamoja na mchunga ng'ombe wa Hanang kukusa pesa ya kumuuguza mama yake anayeumwa Kansa au Kisukari.
TRA wanasikiliza mtu ambaye anafungua biashara unapewa msahama, wewe nenda kawaeleze ukweli jamaa wanapenda mtu mkweliMaisha magumu ni mchungaji ng'ombe wa Hanang aliyepata mtaji wa kufungua biashara kulimbikiziwa kodi na tozo pindi anapoanza biashara tu.
Maisha magumu yanawekwa na viongozi wa nchi na nchi zinatoka kutawala wengine. Ila ukiingia level flani ya kujitambua unaweza kuona picha yote. Lakini ni wachache watafika huko.Kiuhalisia kabisa hakuna kitu kinachothibitisha UGUMU WA MAISHA!
Hili ni jambo la kufikirika tu ambalo viumbe na wanadam waliamua kuyabatiza maisha!
Binadamu kaumbwa na akapewa mazingira ayatawale! Sasa unaposema MAISHA Ni MAGUMU mimi huwa simuelewi Magumu kwa kuyalinganisha na yepi?
Binadamu kapewa mazingira ili yampatie chakula, na chakula kipo aina nyingi tu!
Taarifa Alizonazo mtu kuhusu mazingira ndizo humfanya ashibe au aliye njaa!
Lakini kiuhalisia ugumu wa maisha hili jambo halipo!
Kuna watu mtakuja nakusema labda mimi ni mtoto wa kishua!
Story ya maisha yangu nilishwahi kuiweka humu!
Mimi nilipomaliza msingi wazee walilalamika ooh Maisha magumu sijui hawana Ada, Nikawaambia Mbona hatuna maisha magumu sisi!
Nikaondoka nikaenda Hanang'i kuchunga ng'ombe! Pamoja na kuchaguliwa kwenda shule maalum ya vipaji (moshi technical) lakini nilikubali kwenda kuchunga ng'ombe kwanza!
Nikiwa polini maisha yalikuwa matamu sana, nilikula matunda aina nyingi, nilichoma nyama nipendayo, nilicheza michezo ambayo binadamu ilinipa furaha, nilifunza dawa nyingi mno karibia 1200 za kutibu magonjwa mbalimbali!
Wakati wa likizo wala sikushangaa hao waliokwenda secondary waliporudi nakunikuta nachunga ng'ombe!
Hadi pale nilipotosheka nikapatiwa zawadi ya ng'ombe na kwenda kusomea ufundi umeme!
Baada ya kumaliza nilijiajili, nimefanya kazi za umeme ndani ya nchi na inje ya nchi, nimefanya kazi za umeme na wachina, wafrika, wafilipino, wajerumani, wajapan n.k!
Hadi sasa nafanya kazi zangu za umeme sijui kuhusu ugumu wa maisha!
Juzi wakati natokea Dodoma nilipita kwrnge gereza moja hapo morogoro kumsalimia moja ya tuliofaulu nao darasa la saba, wakasoma ngazi za master huko nilimkuta pale jamaa anatumikia kifungo baada ya taasisi aliyokuwa anaisimamia kupata hasara ya mabilioni ambayo inadaiwa kama waliyaiba!...Bado nilipomtembelea nilimwambia jamaa Hakuna ugumu wa maisha nikampatia na mifano hai nikamsihi avumilie kifungo kuna fursa mbele!
Mungu karuhusu tuje hapa duniani tukiwa kama sisi, na mazingira ya kuishi yashaandaliwa!
Tatizo kubwa la wanadamu wengi tunapenda sana kujilinganisha na wengine! Baada ya kujilinganisha ndiyo tunakuja na ubatizo wa MAISHA MAGUMU!
Kiuhalisia hakuna kitu kinachothibitisha maisha magumu! Mimi nafanya kazi za umeme, siku watu wasipojenga naanza kutibu watu ninajua dawa zaidi 1200.
Ukiachilia kujua dawa ninao uwezo wa kuangalia eneo mazingira na mimea ardhini nikagundua uwepo wa maji ukichimba au hakuna!
Nina uwezo wa kukaa msituni na wanyama wakali na wasinifanye chochte kwa kutumia mimea hiyo hiyo iliyopo porini!
Sasa hayo maisha magumu ni kitu gani, unayalinganisha na nini hadi uthibitishe maisha ni magumu?
Narudia tena kushindwa kutumia mazingira ndiko wengi kunawalaza njaa! Lakini hakuna kitu kinaitwa maisha magumu
Mazingira yanasifa kama silaha; Usipojua kuyatumia unaweza kujimaliza mwenyewe!
Yapo majani ukiyala ladha ya damu inabadilika inakuwa kama na uchungu, baadhi ya vyakula ukila MBU hawakudhuru!Maisha magumu ni pamoja na wachunga ng'ombe walioko Hanang kuumwa mbu msituni kuugua malaria na kushindwa kwenda hospital kupata tiba
Mi Mwenyewe nimeshindwa elewa anataka kusema niniUmeshawahi kuwa mtu mwingine ambaye ni tofauti kabisa na wewe?
Maana umetoa personal experience tu na kufanya kama vile kila mtu anaweza kuishi kama wewe.
Kuna wachunga ng'ombe wengi wa Hanang wanaugua malaria kila siku.Yapo majani ukiyala ladha ya damu inabadilika inakuwa kama na uchungu, baadhi ya vyakula ukila MBU hawakudhuru!
Mambo ya neti nimekuja kuyakuta mjini, miaka yote niko porini sijawahi umwa maralia mimi
Samico Tanzania 🇹🇿Kiuhalisia kabisa hakuna kitu kinachothibitisha UGUMU WA MAISHA!
Hili ni jambo la kufikirika tu ambalo viumbe na wanadam waliamua kuyabatiza maisha!
Binadamu kaumbwa na akapewa mazingira ayatawale! Sasa unaposema MAISHA Ni MAGUMU mimi huwa simuelewi Magumu kwa kuyalinganisha na yepi?
Binadamu kapewa mazingira ili yampatie chakula, na chakula kipo aina nyingi tu!
Taarifa Alizonazo mtu kuhusu mazingira ndizo humfanya ashibe au aliye njaa!
Lakini kiuhalisia ugumu wa maisha hili jambo halipo!
Kuna watu mtakuja nakusema labda mimi ni mtoto wa kishua!
Story ya maisha yangu nilishwahi kuiweka humu!
Mimi nilipomaliza msingi wazee walilalamika ooh Maisha magumu sijui hawana Ada, Nikawaambia Mbona hatuna maisha magumu sisi!
Nikaondoka nikaenda Hanang'i kuchunga ng'ombe! Pamoja na kuchaguliwa kwenda shule maalum ya vipaji (moshi technical) lakini nilikubali kwenda kuchunga ng'ombe kwanza!
Nikiwa polini maisha yalikuwa matamu sana, nilikula matunda aina nyingi, nilichoma nyama nipendayo, nilicheza michezo ambayo binadamu ilinipa furaha, nilifunza dawa nyingi mno karibia 1200 za kutibu magonjwa mbalimbali!
Wakati wa likizo wala sikushangaa hao waliokwenda secondary waliporudi nakunikuta nachunga ng'ombe!
Hadi pale nilipotosheka nikapatiwa zawadi ya ng'ombe na kwenda kusomea ufundi umeme!
Baada ya kumaliza nilijiajili, nimefanya kazi za umeme ndani ya nchi na inje ya nchi, nimefanya kazi za umeme na wachina, wafrika, wafilipino, wajerumani, wajapan n.k!
Hadi sasa nafanya kazi zangu za umeme sijui kuhusu ugumu wa maisha!
Juzi wakati natokea Dodoma nilipita kwrnge gereza moja hapo morogoro kumsalimia moja ya tuliofaulu nao darasa la saba, wakasoma ngazi za master huko nilimkuta pale jamaa anatumikia kifungo baada ya taasisi aliyokuwa anaisimamia kupata hasara ya mabilioni ambayo inadaiwa kama waliyaiba!...Bado nilipomtembelea nilimwambia jamaa Hakuna ugumu wa maisha nikampatia na mifano hai nikamsihi avumilie kifungo kuna fursa mbele!
Mungu karuhusu tuje hapa duniani tukiwa kama sisi, na mazingira ya kuishi yashaandaliwa!
Tatizo kubwa la wanadamu wengi tunapenda sana kujilinganisha na wengine! Baada ya kujilinganisha ndiyo tunakuja na ubatizo wa MAISHA MAGUMU!
Kiuhalisia hakuna kitu kinachothibitisha maisha magumu! Mimi nafanya kazi za umeme, siku watu wasipojenga naanza kutibu watu ninajua dawa zaidi 1200.
Ukiachilia kujua dawa ninao uwezo wa kuangalia eneo mazingira na mimea ardhini nikagundua uwepo wa maji ukichimba au hakuna!
Nina uwezo wa kukaa msituni na wanyama wakali na wasinifanye chochte kwa kutumia mimea hiyo hiyo iliyopo porini!
Sasa hayo maisha magumu ni kitu gani, unayalinganisha na nini hadi uthibitishe maisha ni magumu?
Narudia tena kushindwa kutumia mazingira ndiko wengi kunawalaza njaa! Lakini hakuna kitu kinaitwa maisha magumu
Mazingira yanasifa kama silaha; Usipojua kuyatumia unaweza kujimaliza mwenyewe!
Niwe mtu mwingine vipi wakati niliumbwa ili nije kuishi mimi na si mwingine!Umeshawahi kuwa mtu mwingine ambaye ni tofauti kabisa na wewe?
Maana umetoa personal experience tu na kufanya kama vile kila mtu anaweza kuishi kama wewe.
😁😁Maisha magumu kwa kushindwa kwenda kula bata kidimbwi naishia bia za dukani kwa mangi tu. Kila mtu ana tafsiri yake
Hawajui kutumia mazingira! Kuwa mchungaji haina maana ndo umeokoka! Bali kuyatumia mazingira ipasavyoKuna wachunga ng'ombe wengi wa Hanang wanaugua malaria kila siku.
🤣🤣🤣Niwe mtu mwingine vipi wakati niliumbwa ili nije kuishi mimi na si mwingine!
Yaani umembwa kuwa juma unataka uishi kama rose siyo ndiyo mwanzo wa mashoga kuwepo
Mimi nilikwambia yalinikuta mengi, Kuna siku nilikuwa porini wakaja watu na mapanga nikatimua mbio kuelekea nyumbani!Maisha magumu ni pamoja na mchunga ng'ombe wa Hanang kuporwa mifugo yake na wezi wa mifugo huko porini.
Sasa mbona wewe unataka watu waweze kulazimisha waishi kama wewe wakati wao si wewe?Niwe mtu mwingine vipi wakati niliumbwa ili nije kuishi mimi na si mwingine!
Yaani umeumbwa kuwa JUMA ila wewe unataka uishi kama ROSE si ndiyo mwanzo wa mashoga kuwepo kwa style hii