Ugumu wa maisha ni jambo la kusadikika halipo kiuhalisia na sijawahi kuliona na halitatokea

Ugumu wa maisha ni jambo la kusadikika halipo kiuhalisia na sijawahi kuliona na halitatokea

Mimi nilikwambia yalinikuta mengi, Kuna siku nilikuwa porini wakaja watu na mapanga nikatimua mbio kuelekea nyumbani!
Kundi lote la mifugo lilitimua mbio kunifuata nyuma.. Mifugo wanauwezo wa kusoma alama ya hatari kutoka kwa mchungaji! Hilo nalo ni somo jinngine nitakuja kuwafundisha humu
Personal experience haimaanishi kitu.

Hapa unaweza kumlaumu mgumba ambaye hana uwezo wa kupata mtoto kibaiolojia, kwa kukisa mtoto, kwa sababu wewe una uwezo huo wa kupata mtoto.
 
Ulichofanikiwa kuelewa ni hivyo! Lakini wapo walionielewa vizuri, ila wewe umechagua kunielewa kama nakuringishia!
Ningetaka kukulingishia ningesema nimezaliwa mbezi beach!

Natamani ujifunze kutumia mazingira uliyopo! Mimi hadi leo nadindua ukuta kama fundi umeme! Sasa hapo wewe umekerekwa na nn kwa mfano!
Njoo tufanye kazi nipigie simu 0711756341
Wewe umeshindwa kuelewa kuwa personal experience yako si lazima iwe na maana kwenye maisha ya mtu mwingine.

Unaelewa hiyo hoja?
 
Personal experience haimaanishi kitu.

Hapa unaweza kumlaumu mgumba ambaye hana uwezo wa kupata mtoto kibaiolojia, kwa kukisa mtoto, kwa sababu wewe una uwezo huo wa kuoata mtoto.
Hata maandiko yaliweka bayana hilo!
Asiyetaka kufanya kazi angali ana nguvu na asile!

Mimi niko natindua majumba, kuna kazi za kubeba mizigo huko mtaani ,, sasa vijana wenzangu mnataka wote tuwe mabosi nani atatumwa?

Fanyeni kazi kwa uaminifu kulingana na ma,ingira mlipo ndugu zangu
 
Maisha magumu ni pamoja na mtoto wa mchunga ng'ombe au fundi umeme kusoma darasa la wanafunzi 100 wakiwa wamekaa chini na bila chakula shuleni.
 
Ulishawahi kufika nchi kama Sudani, Somalia, Congo, Ethiopia, Afghanistan n.k ukaona uhalisia wa maisha ulivyo?

Unatumia personal life yako kufanya generalization ya maisha ya watu wote duniani?

Uko timamu kweli?
View attachment 3106342
Ngoja nikwambie kitu ndugu! Ukijua kukata viuno ujue na kulea! Kama huwezi ipo mitishamba unakunywa mashine inalala miezi 6 au mwaka! Ili utakaanza kufanya mapenzj uwe tayali kulea! Hizo dawa zipo kibao! Wachina kwao washazoea!

Unatumia mifano ya wazembe wenzio kuhalalisha maisha magumu!

Hata nyege usipojua kuzizuia zinawez kukuyumbisha! Linda nyege zako ili maisha yawe rahisi
 
Hata maandiko yaliweka bayana hilo!
Asiyetaka kufanya kazi angali ana nguvu na asile!

Mimi niko natindua majumba, kuna kazi za kubeba mizigo huko mtaani ,, sasa vijana wenzangu mnataka wote tuwe mabosi nani atatumwa?

Fanyeni kazi kwa uaminifu kulingana na ma,ingira mlipo ndugu zangu
Wewe akili yako ndogo. Huelewi kuwa kuna watu wanataka kufanya kazi hawawezi.
 
Wewe akili yako ndogo. Huelewi kuwa kuna watu wanataka kufanya kazi hawawezi.
Hawawezi kwasababu ni wagonjwa au!
Kama hawawezi kwasababu ya ugonjwa maana yake hawastahilj kufanya kazi wagonjwa!
Ndiyo maana BIBILIA IKO WAZO
kwamba ASIYETAKA.... maana yake nguvu anazo, mtu ni mzima lakini HATAKI!

Wangetaka kuwajumuisha na wagonjwa bibilia ingetumia neno ASIYEFANYA KAZI...Lakini nenda kasome UTAKUTANA NA NENO ASIYETAKA!

kuna watu huwa HAWATAKI, ndo kizazi chetu HATUTAKI ila nguvu za kuiba na kupora tunazo
 
Hawawezi kwasababu ni wagonjwa au!
Kama hawawezi kwasababu ya ugonjwa maana yake hawastahilj kufanya kazi wagonjwa!
Ndiyo maana BIBILIA IKO WAZO
kwamba ASIYETAKA.... maana yake nguvu anazo, mtu ni mzima lakini HATAKI!

Wangetaka kuwajumuisha na wagonjwa bibilia ingetumia neno ASIYEFANYA KAZI...Lakini nenda kasome UTAKUTANA NA NENO ASIYETAKA!

kuna watu huwa HAWATAKI, ndo kizazi chetu HATUTAKI ila nguvu za kuiba na kupora tunazo
Maisha magumu ni pamoja na mtoto wa mchunga ng'ombe wa Hanang aliyegeuka fundi umeme kulawatiwa na padri au mchungaji.
 
Hawawezi kwasababu ni wagonjwa au!
Kama hawawezi kwasababu ya ugonjwa maana yake hawastahilj kufanya kazi wagonjwa!
Ndiyo maana BIBILIA IKO WAZO
kwamba ASIYETAKA.... maana yake nguvu anazo, mtu ni mzima lakini HATAKI!

Wangetaka kuwajumuisha na wagonjwa bibilia ingetumia neno ASIYEFANYA KAZI...Lakini nenda kasome UTAKUTANA NA NENO ASIYETAKA!

kuna watu huwa HAWATAKI, ndo kizazi chetu HATUTAKI ila nguvu za kuiba na kupora tunazo
Boblia imejaa contradictions kibao ambazo nikikuwekea hapa huwezi kumaliza kuzipangua.
 
Inafurahisha unasema "Simama mwenyewe" huku hapohapo ukisema ninachokiamini mimi hakina uhalisia.

Unajuaje unachokiamini wewe ni uhalisia? Kwako uhalisia una maana gani?
Naomba nikuulize Wewe hapo unaweza kuthibitisha hapa maisha yako magumu unayapimaje?
 
Ngoja nikwambie kitu ndugu! Ukijua kukata viuno ujue na kulea! Kama huwezi ipo mitishamba unakunywa mashine inalala miezi 6 au mwaka! Ili utakaanza kufanya mapenzj uwe tayali kulea! Hizo dawa zipo kibao! Wachina kwao washazoea!

Unatumia mifano ya wazembe wenzio kuhalalisha maisha magumu!
Wewe ni kichwa maji na hufikirii kwa logic.

Unafanya generalization zisizo na mantiki.
Hata nyege usipojua kuzizuia zinawez kukuyumbisha! Linda nyege zako ili maisha yawe rahisi
Mtoto anayezaliwa kwenye familia ya kimaskini, Je atakuta maisha ni marahisi?

Au kuna mtu alitaka azaliwe kwenye umaskini?

Tatizo lako unatumia personal life yako kufanya generalization ya maisha ya watu wote dunia nzima.

Hata hayo maisha yako unayodai ni mazuri ukiyaleta kwa standards za watu wengine bado ni maisha ya kimaskini tu.

Kuna watu wana maisha mazuri sana, ya gharama sana, Na ya juu sana kuliko hata hayo maisha ya kwako wewe.
 
Wewe ni kichwa maji na hufikirii kwa logic.

Unafanya generalization zisizo na mantiki.

Mtoto anayezaliwa kwenye familia ya kimaskini, Je atakuta maisha ni marahisi?

Au kuna mtu alitaka azaliwe kwenye umaskini?

Tatizo lako unatumia personal life yako kufanya generalization ya maisha ya watu wote dunia nzima.

Hata hayo maisha yako unayodai ni mazuri ukiyaleta kwa standards za watu wengine bado ni maisha ya kimaskini tu.

Kuna watu wana maisha mazuri sana, ya gharama sana, Na ya juu sana kuliko hata hayo maisha ya kwako wewe.
Shida siyo kuzaliwa kwenye familia maskini, shida nikutumia mazingira ulipozaliwa kutoka kwenye umaskini!

Kama wewe ni mjinga wa kutumia mazingira hata ukizaliwa na matajiri wakafa utauza vyote urudi kuwa maskini!

Hoja iliyopo hapa ni namna ya kutatumia mazingira kuishi!
 
Naomba uthibitishe hapa maisha yako magumu unayapimaje!
Nani kakwambia nina maisha magumu?

Wewe huwezi hata kufanya fikra dhahania.

Unafikiri mimi kukupinga wewe ni kwa sababu nina maisha magumu.

Huelewi kuwa ninaweza kuwa na maisha mazuri kuliko wewe, na bado nikakupinga, kifalsafa tu.

Juzi nimefanya muamala mmoja tu wa kuingiza $50,000 kwa mkupuo.

Maisha magumu gani unayoyaongelea kwangu mimi?
 
Kiuhalisia kabisa hakuna kitu kinachothibitisha UGUMU WA MAISHA!
Hili ni jambo la kufikirika tu ambalo viumbe na wanadam waliamua kuyabatiza maisha!

Binadamu kaumbwa na akapewa mazingira ayatawale! Sasa unaposema MAISHA Ni MAGUMU mimi huwa simuelewi Magumu kwa kuyalinganisha na yepi?

Binadamu kapewa mazingira ili yampatie chakula, na chakula kipo aina nyingi tu!
Taarifa Alizonazo mtu kuhusu mazingira ndizo humfanya ashibe au aliye njaa!

Lakini kiuhalisia ugumu wa maisha hili jambo halipo!

Kuna watu mtakuja nakusema labda mimi ni mtoto wa kishua!
Story ya maisha yangu nilishwahi kuiweka humu!

Mimi nilipomaliza msingi wazee walilalamika ooh Maisha magumu sijui hawana Ada, Nikawaambia Mbona hatuna maisha magumu sisi!
Nikaondoka nikaenda Hanang'i kuchunga ng'ombe! Pamoja na kuchaguliwa kwenda shule maalum ya vipaji (moshi technical) lakini nilikubali kwenda kuchunga ng'ombe kwanza!

Nikiwa polini maisha yalikuwa matamu sana, nilikula matunda aina nyingi, nilichoma nyama nipendayo, nilicheza michezo ambayo binadamu ilinipa furaha, nilifunza dawa nyingi mno karibia 1200 za kutibu magonjwa mbalimbali!

Wakati wa likizo wala sikushangaa hao waliokwenda secondary waliporudi nakunikuta nachunga ng'ombe!

Hadi pale nilipotosheka nikapatiwa zawadi ya ng'ombe na kwenda kusomea ufundi umeme!

Baada ya kumaliza nilijiajili, nimefanya kazi za umeme ndani ya nchi na inje ya nchi, nimefanya kazi za umeme na wachina, wafrika, wafilipino, wajerumani, wajapan n.k!
Hadi sasa nafanya kazi zangu za umeme sijui kuhusu ugumu wa maisha!

Juzi wakati natokea Dodoma nilipita kwrnge gereza moja hapo morogoro kumsalimia moja ya tuliofaulu nao darasa la saba, wakasoma ngazi za master huko nilimkuta pale jamaa anatumikia kifungo baada ya taasisi aliyokuwa anaisimamia kupata hasara ya mabilioni ambayo inadaiwa kama waliyaiba!...Bado nilipomtembelea nilimwambia jamaa Hakuna ugumu wa maisha nikampatia na mifano hai nikamsihi avumilie kifungo kuna fursa mbele!

Mungu karuhusu tuje hapa duniani tukiwa kama sisi, na mazingira ya kuishi yashaandaliwa!
Tatizo kubwa la wanadamu wengi tunapenda sana kujilinganisha na wengine! Baada ya kujilinganisha ndiyo tunakuja na ubatizo wa MAISHA MAGUMU!

Kiuhalisia hakuna kitu kinachothibitisha maisha magumu! Mimi nafanya kazi za umeme, siku watu wasipojenga naanza kutibu watu ninajua dawa zaidi 1200.

Ukiachilia kujua dawa ninao uwezo wa kuangalia eneo mazingira na mimea ardhini nikagundua uwepo wa maji ukichimba au hakuna!

Nina uwezo wa kukaa msituni na wanyama wakali na wasinifanye chochte kwa kutumia mimea hiyo hiyo iliyopo porini!

Sasa hayo maisha magumu ni kitu gani, unayalinganisha na nini hadi uthibitishe maisha ni magumu?

Narudia tena kushindwa kutumia mazingira ndiko wengi kunawalaza njaa! Lakini hakuna kitu kinaitwa maisha magumu

Mazingira yanasifa kama silaha; Usipojua kuyatumia unaweza kujimaliza mwenyewe!
Ulivyoandika utunzi mrefu hivyo ndiye huujui ugumu wa maisha?Chawa mingi kweli!
 
Binadamu kaumbwa na akapewa mazingira ayatawale! Sasa unaposema MAISHA Ni MAGUMU mimi huwa simuelewi Magumu kwa kuyalinganisha na yepi?

Binadamu kapewa mazingira ili yampatie chakula, na chakula kipo aina nyingi tu!
Taarifa Alizonazo mtu kuhusu mazingira ndizo humfanya ashibe au aliye njaa!

Wewe unapokaa na Bakhresa ni sawa? Chakula unachokula wewe na anachokula Sir100 ni Sawa? Gari unayotembela wewe na nayotembela Mwamposa ni sawa? Nyumba unayokaa wewe na nyumba ya Pdiddy ni Sawa?
 
Back
Top Bottom