Ugumu wa maisha ni jambo la kusadikika halipo kiuhalisia na sijawahi kuliona na halitatokea

Personal experience haimaanishi kitu.

Hapa unaweza kumlaumu mgumba ambaye hana uwezo wa kupata mtoto kibaiolojia, kwa kukisa mtoto, kwa sababu wewe una uwezo huo wa kupata mtoto.
 
Wewe umeshindwa kuelewa kuwa personal experience yako si lazima iwe na maana kwenye maisha ya mtu mwingine.

Unaelewa hiyo hoja?
 
Personal experience haimaanishi kitu.

Hapa unaweza kumlaumu mgumba ambaye hana uwezo wa kupata mtoto kibaiolojia, kwa kukisa mtoto, kwa sababu wewe una uwezo huo wa kuoata mtoto.
Hata maandiko yaliweka bayana hilo!
Asiyetaka kufanya kazi angali ana nguvu na asile!

Mimi niko natindua majumba, kuna kazi za kubeba mizigo huko mtaani ,, sasa vijana wenzangu mnataka wote tuwe mabosi nani atatumwa?

Fanyeni kazi kwa uaminifu kulingana na ma,ingira mlipo ndugu zangu
 
Maisha magumu ni pamoja na mtoto wa mchunga ng'ombe au fundi umeme kusoma darasa la wanafunzi 100 wakiwa wamekaa chini na bila chakula shuleni.
 
Ulishawahi kufika nchi kama Sudani, Somalia, Congo, Ethiopia, Afghanistan n.k ukaona uhalisia wa maisha ulivyo?

Unatumia personal life yako kufanya generalization ya maisha ya watu wote duniani?

Uko timamu kweli?
View attachment 3106342
Ngoja nikwambie kitu ndugu! Ukijua kukata viuno ujue na kulea! Kama huwezi ipo mitishamba unakunywa mashine inalala miezi 6 au mwaka! Ili utakaanza kufanya mapenzj uwe tayali kulea! Hizo dawa zipo kibao! Wachina kwao washazoea!

Unatumia mifano ya wazembe wenzio kuhalalisha maisha magumu!

Hata nyege usipojua kuzizuia zinawez kukuyumbisha! Linda nyege zako ili maisha yawe rahisi
 
Wewe akili yako ndogo. Huelewi kuwa kuna watu wanataka kufanya kazi hawawezi.
 
Wewe akili yako ndogo. Huelewi kuwa kuna watu wanataka kufanya kazi hawawezi.
Hawawezi kwasababu ni wagonjwa au!
Kama hawawezi kwasababu ya ugonjwa maana yake hawastahilj kufanya kazi wagonjwa!
Ndiyo maana BIBILIA IKO WAZO
kwamba ASIYETAKA.... maana yake nguvu anazo, mtu ni mzima lakini HATAKI!

Wangetaka kuwajumuisha na wagonjwa bibilia ingetumia neno ASIYEFANYA KAZI...Lakini nenda kasome UTAKUTANA NA NENO ASIYETAKA!

kuna watu huwa HAWATAKI, ndo kizazi chetu HATUTAKI ila nguvu za kuiba na kupora tunazo
 
Ulichoaminishwa hakina uhalisia! Unafundishwa kulinganisha maisha yako na wengine ili ujione dhoofu, hufai!
Sima mwenyewe utakuja kunishukuru
Inafurahisha unasema "Simama mwenyewe" huku hapohapo ukisema ninachokiamini mimi hakina uhalisia.

Unajuaje unachokiamini wewe ni uhalisia? Kwako uhalisia una maana gani?
 
Maisha magumu ni pamoja na mtoto wa mchunga ng'ombe wa Hanang aliyegeuka fundi umeme kulawatiwa na padri au mchungaji.
 
Boblia imejaa contradictions kibao ambazo nikikuwekea hapa huwezi kumaliza kuzipangua.
 
Inafurahisha unasema "Simama mwenyewe" huku hapohapo ukisema ninachokiamini mimi hakina uhalisia.

Unajuaje unachokiamini wewe ni uhalisia? Kwako uhalisia una maana gani?
Naomba nikuulize Wewe hapo unaweza kuthibitisha hapa maisha yako magumu unayapimaje?
 
Wewe ni kichwa maji na hufikirii kwa logic.

Unafanya generalization zisizo na mantiki.
Hata nyege usipojua kuzizuia zinawez kukuyumbisha! Linda nyege zako ili maisha yawe rahisi
Mtoto anayezaliwa kwenye familia ya kimaskini, Je atakuta maisha ni marahisi?

Au kuna mtu alitaka azaliwe kwenye umaskini?

Tatizo lako unatumia personal life yako kufanya generalization ya maisha ya watu wote dunia nzima.

Hata hayo maisha yako unayodai ni mazuri ukiyaleta kwa standards za watu wengine bado ni maisha ya kimaskini tu.

Kuna watu wana maisha mazuri sana, ya gharama sana, Na ya juu sana kuliko hata hayo maisha ya kwako wewe.
 
Shida siyo kuzaliwa kwenye familia maskini, shida nikutumia mazingira ulipozaliwa kutoka kwenye umaskini!

Kama wewe ni mjinga wa kutumia mazingira hata ukizaliwa na matajiri wakafa utauza vyote urudi kuwa maskini!

Hoja iliyopo hapa ni namna ya kutatumia mazingira kuishi!
 
Naomba uthibitishe hapa maisha yako magumu unayapimaje!
Nani kakwambia nina maisha magumu?

Wewe huwezi hata kufanya fikra dhahania.

Unafikiri mimi kukupinga wewe ni kwa sababu nina maisha magumu.

Huelewi kuwa ninaweza kuwa na maisha mazuri kuliko wewe, na bado nikakupinga, kifalsafa tu.

Juzi nimefanya muamala mmoja tu wa kuingiza $50,000 kwa mkupuo.

Maisha magumu gani unayoyaongelea kwangu mimi?
 
Ulivyoandika utunzi mrefu hivyo ndiye huujui ugumu wa maisha?Chawa mingi kweli!
 

Wewe unapokaa na Bakhresa ni sawa? Chakula unachokula wewe na anachokula Sir100 ni Sawa? Gari unayotembela wewe na nayotembela Mwamposa ni sawa? Nyumba unayokaa wewe na nyumba ya Pdiddy ni Sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…