Acheni uongo fanyeni hata utafiti ktk Internet hiyo kampuni imepata hasara kubwa sana uko kenya makuu yake na ndio imesababisha kufungwa hapa TZHii ndio taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa kwamba ile Taasisi inayotoa huduma bora za afya imeamua kusitisha huduma zake nchini Tanzania kutokana na anguko la biashara na uchumi.
Tuendelee kutega sikio kwa taarifa zaidi.