Tetesi: Ugumu wa Maisha Tanzania wasababisha AAR kufunga ofisi zake Tanzania

Tetesi: Ugumu wa Maisha Tanzania wasababisha AAR kufunga ofisi zake Tanzania

kuboreshwa kwa bima ya afya kulikofanya na mwendazake kumewafanya wapoteane .. zamani ulikuwa na bima ya nhif ukienda hospital wanaona kama umekuja kutibiwa bure huwezi pata huduma stahiki tulikuwa tunanyanyasika sana .. hawa wenye mabima ya aar walikuwa wanaonekana kama miungu watu lakini siku hizi ukiwa na nhif wanakunyenyekea sana ... bima zingine chaliii
 
Acheni upuuzi, AAR amezidiwa kete na strategis ambao nao wanatoa huduma za bima ya afya hasa kwa wafanyakazi.
Hii ndio taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa kwamba ile Taasisi inayotoa huduma bora za afya imeamua kusitisha huduma zake nchini Tanzania kutokana na anguko la biashara na uchumi.

Tuendelee kutega sikio kwa taarifa zaidi.
 
Hii ndio taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa kwamba ile Taasisi inayotoa huduma bora za afya imeamua kusitisha huduma zake nchini Tanzania kutokana na anguko la biashara na uchumi.

Tuendelee kutega sikio kwa taarifa zaidi.
Nilikuwa mwanachama wa AAR miaka ya nyuma wakati nimuajiriwa wa kampuni moja ya kigeni, hawa jamaa walikuwa na huduma zao first class sidhani kama kuna kampuni ya bima ya afya iliyokuwa inawafikia ,pia walikuwa na hospitali zao. tatizo nililoliona kwa hii kampuni ni kuwa ililenga daraja fulani la watu au waajiriwa haikujishughulisha na kutafuta watu wa kipato cha chini kuwaingiza ili wawe wanachama, Pia walikuwa na viwango vya ghali vya bima zao na hata hospitali zao zilikuwa zinatoza kiwango kikubwa tofauti na hopitali nyingine, japo huduma zao zilikuwa nzuri mwishowe nilijua itabaki kuwa na wateja wachache kutokana na viwango vyao kuwa juu. nashukuru AAR ilinisadia sana mwenyewe pamoja nafamilia yangu wakati nazikiinga kila ikifika tarehe 28
 
Nilikuwa mwanachama wa AAR miaka ya nyuma wakati nimuajiriwa wa kampuni moja ya kigeni, hawa jamaa walikuwa na huduma zao first class sidhani kama kuna kampuni ya bima ya afya iliyokuwa inawafikia ,pia walikuwa na hospitali zao. tatizo nililoliona kwa hii kampuni ni kuwa ililenga daraja fulani la watu au waajiriwa haikujishughulisha na kutafuta watu wa kipato cha chini kuwaingiza ili wawe wanachama, Pia walikuwa na viwango vya ghali vya bima zao na hata hospitali zao zilikuwa zinatoza kiwango kikubwa tofauti na hopitali nyingine, japo huduma zao zilikuwa nzuri mwishowe nilijua itabaki kuwa na wateja wachache kutokana na viwango vyao kuwa juu. nashukuru AAR ilinisadia sana mwenyewe pamoja nafamilia yangu wakati nazikiinga kila ikifika tarehe 28
Poleni na Mafuriko huko Kyela
 
Acheni upuuzi, AAR amezidiwa kete na strategis ambao nao wanatoa huduma za bima ya afya hasa kwa wafanyakazi.
NHIF anayetoa panadol tu na kuwadhulumu watoa huduma ndio aizidi AAR ?
 
Poleni na Mafuriko huko Kyela
Eh balaa hizi mvua zinatukomesha kwelikweli,kule kwenu Kajunjumele ndio balaa kuanzia kwa Korosso kuendelea hakupitiki ingawa kuanzia majuzi mvua kidogo zimepungua, Hata Bujonde,Mwaya,Tenende ,Talatala nako ilikuwa balaa, tuta la barabara ya Kikusya Matema nalo sasa limeongeza tatizo maji hayapiti kwani madaraja na karavati za kupitisha maji ni chache sasa barabara imegeuka ukingo wa kuzuia maji yasitembee.
 
Eh balaa hizi mvua zinatukomesha kwelikweli,kule kwenu Kajunjumele ndio balaa kuanzia kwa Korosso kuendelea hakupitiki ingawa kuanzia majuzi mvua kidogo zimepungua, Hata Bujonde,Mwaya,Tenende ,Talatala nako ilikuwa balaa, tuta la barabara ya Kikusya Matema nalo sasa limeongeza tatizo maji hayapiti kwani madaraja na karavati za kupitisha maji ni chache sasa barabara imegeuka ukingo wa kuzuia maji yasitembee.
Mweee !!
 
Hii ndio taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa kwamba ile Taasisi inayotoa huduma bora za afya imeamua kusitisha huduma zake nchini Tanzania kutokana na anguko la biashara na uchumi.

Tuendelee kutega sikio kwa taarifa zaidi.
ukweli usiopingika ni kwamba, tangu Jakaya aondoke, aliondoka na hela za watu mifukono, tumeishi kwa ugumu hatuna hela mifukoni kwa miaka 6, sipendi hili lijirudie kwenye maisha ya watanzania. silaumu mtu ila nasema ukweli unaoonekana hata kwenye biashara nyingi zimefungwa watu wameuziwa majumba kwa mikopo maisha magumu balaa, Mh samia kama alivyosema ajitahidi kufanya lolote watu wawe na pesa mifukoni, ndio maisha. kuishi kama mashetani hatutaki tena.
 
Madhara mabaya kwa uchumi wa nchi yetu, yaliyosababishwa na marehemu, yataitesa nchi kwa miaka isiyopungua 10. Kuna kazi kubwa sana ya kurekebisha, na haiwezi kuwa kazi rahisi.

Kuna makampuni ya nje yaliyowekeza Tanzania, yalipoteza kati ya 30-60% ya capitalization yao kwenye share markets kwa vile tu waliwekeza kwenye nchi ambayo ilitajwa kuwa ni hatari kwa mitaji ya nje, na hiyo ni baada tu ya Rais Magufuli kufuta zile leseni halali za Retention kwenye madini, na kuzuia makinikia ya Acacia bila msingi wowote (maana baadaye waliruhusu bila masharti yoyote).

Kupoteza 30 - 60% ni kama kampuni imefilisika. Makampuni mengi yalihamia nchi nyingine, na mengine mpaka leo hayajafikia capitalization yao ya mwanzo. Hata wale waliofikia ile ya mwanzo, usitegemee watarejea, na hata kama watarejea haitakuwa ndani ya miaka 5.
 
Acheni mambo yenu, sasa Kama shida ilikua mwenda zake, si wabakie! Si kunamama ambaye mnadhani si mzalendo?!

AAR! Wahuni hao. Nimedeal nao miaka kibao?!

Fanyeni tafiti kabla ya kuandika.

Kazi iendelee!
Hii AAR Healthcare siyo kampuni ya kwanza kufunga shughuli zake Tanzania. Namkumbuka kuna Kampuni ya Tanzania Tobacco Leaf Company ilikuwa based Tabora. Majukumu yake makubwa ilikuwa kununua Tumbaku kwa wakulima, kisha kuzichakata na kuuza kwenye viwanda vya sigara. Kampuni hii iligunga shughuli mwaka 2018
 
Wewe ndio utakua mjinga! Uliwahi kuona wapi wamefanikiwa kwa mabavu yao hayo?

Wao ni nani hadi wawe so special kutohojiwa !?

Ina maana ulikua unaunga mkono usiginaji wa katiba wa wazi wazi eti bila kufanya hivyo hakuna mafanikio?

Basi ndio maana Africa itakua bara la mwisho kimaendeleo sababu ya wajinga au watu wenye mawazo ya kijinga kama wewe!
Acha kuandika mambo kama mtu ambaye hajaenda shule. Mabavu gani wameyatumia wakati kila kitu kiko kwenye katiba?

Look, nchi kama Ujerumani ambayo ina Chancellor wake Angela Merkel inapata shida kuchukua maamuzi ya kufanya ili kuondokana na janga la Corona kwa sababu ya freedom ambazo states zake zinazo. Wana uhuru huonkwa sababu wao mababubzao wamaesha wajengea msingi.

Sisi hatutaweza fika popote tukiendekeza mambo ya kuwa kama wao. Mbona wachina wameweza kivyao?

Mimi sijakataa kwamba wao wasihojiwe ila nilichokuwa napinga ni kwamba kumwaona Magufuli ndiye mkosaji wa yote wakati sio kweli, kwani hata Nyerere alikuwanwatu hawamhoji. Afadhali Magufuli mpaka wasanii kama akina Masanja wamepata nafasi ya kuingia Ikulu. Siku za nyuma hata picha za ndani ya Ikulu tulikuwa hatzioni.

Sikiliza ndugu usiwe nanillusion ya kufikiri katiba ndiyo mkombozi wa mazizo yako ya kiuchumi. Angalia ndugu zetu wakenya wana katiba babu kubwa, lakini imewapeleka wapi kiuchumi. Watu wanao nufaika ni majournalist tu. Mtu wa kawaida bado yuko kwenye slams tena afadhali na sisi.

Hakuna kitu kinafanyika huko. Nchi imejawa na madeni kibao na mpaka badari yao ya Momnbsa wameiweka rehani kwa wachina. Na ukiangalia hizo hela walizo kopa kwa ajili kueta maendeleo ya kiuchumi zimewapeleka wapi? Na kwanini wawe na madeni makubwa wakati wana population ndogo na nchi yao pia ni ndogo ukilinganisha na ya kwetu.

Afrika itabaki masikini kwa watu wenye fikra kamanzako zankutaka kuiga mafanikio ya wenzako. Ungepata kuwajua wazungu kwanza nafikiri usinge kuwa na mawazo hao. Wewe mtu anakuua hadharani, wewe bado unamsujudu tu, alafu unataka kuniambia mimi ni mjinga. Mimi ni type of people ambao najiamini. Sina time ya kusujudu binadam wenzangu, kisa ni nini? Rangi yao?
 
Acha kuandika mambo kama mtu ambaye hajaenda shule. Mabavu gani wameyatumia wakati kila kitu kiko kwenye katiba?

Look, nchi kama Ujerumani ambayo ina Chancellor wake Angela Merkel inapata shida kuchukua maamuzi ya kufanya ili kuondokana na janga la Corona kwa sababu ya freedom ambazo states zake zinazo. Wana uhuru huonkwa sababu wao mababubzao wamaesha wajengea msingi.

Sisi hatutaweza fika popote tukiendekeza mambo ya kuwa kama wao. Mbona wachina wameweza kivyao?

Mimi sijakataa kwamba wao wasihojiwe ila nilichokuwa napinga ni kwamba kumwaona Magufuli ndiye mkosaji wa yote wakati sio kweli, kwani hata Nyerere alikuwanwatu hawamhoji. Afadhali Magufuli mpaka wasanii kama akina Masanja wamepata nafasi ya kuingia Ikulu. Siku za nyuma hata picha za ndani ya Ikulu tulikuwa hatzioni.

Sikiliza ndugu usiwe nanillusion ya kufikiri katiba ndiyo mkombozi wa mazizo yako ya kiuchumi. Angalia ndugu zetu wakenya wana katiba babu kubwa, lakini imewapeleka wapi kiuchumi. Watu wanao nufaika ni majournalist tu. Mtu wa kawaida bado yuko kwenye slams tena afadhali na sisi.

Hakuna kitu kinafanyika huko. Nchi imejawa na madeni kibao na mpaka badari yao ya Momnbsa wameiweka rehani kwa wachina. Na ukiangalia hizo hela walizo kopa kwa ajili kueta maendeleo ya kiuchumi zimewapeleka wapi? Na kwanini wawe na madeni makubwa wakati wana population ndogo na nchi yao pia ni ndogo ukilinganisha na ya kwetu.

Afrika itabaki masikini kwa watu wenye fikra kamanzako zankutaka kuiga mafanikio ya wenzako. Ungepata kuwajua wazungu kwanza nafikiri usinge kuwa na mawazo hao. Wewe mtu anakuua hadharani, wewe bado unamsujudu tu, alafu unataka kuniambia mimi ni mjinga. Mimi ni type of people ambao najiamini. Sina time ya kusujudu binadam wenzangu, kisa ni nini? Rangi yao?
Unasema mzungu anakuua hadharani kwani hujui viongozi wa kiafrica wanamwaga damu kiasi gani kuingia madarakani?

Africa kua masikini ni kutokana na ujinga wa watu kama wewe kuona viongozi ni kama miungu...

Nikuulize swali kuanzia skendo za Rada, Mgodi wa Kiwira , nk kuna Rais aliwahi kuhojiwa kisheria juu ya wizi uliogubika huko! So utapata picha ujinga CCM waliowakaririsha kua uzalendo ni kuipenda serikali na sio taifa..

Chenge ameshiriki kwenye upotevu wa pesa kiasi gani na aliwajibuje wajinga kama sio kusema ni vijisenti? Yani pesa ya walipa kodi unasema ni vijisenti?

Tibaijuka alisema zile pesa billioni nzima na ushee ni pesa ya mboga halafu mjinga mmoja unaibuka huko kuniambia habari za ajabu ajabu !

Kangi Lugola alibainika kuitia hasara nchi na ushahidi ukawepo anatumikia kifungo gereza gani ?

Kuhusu Kenya usiongelee chochote wako mbali licha ya sisi kupata uhuru kabla yao! Tembea duniani huku uone wanavyotufunika kwenye ushindani wa ajira sio unakaa kutukuza ujima tu!
 
ukweli usiopingika ni kwamba, tangu Jakaya aondoke, aliondoka na hela za watu mifukono, tumeishi kwa ugumu hatuna hela mifukoni kwa miaka 6, sipendi hili lijirudie kwenye maisha ya watanzania. silaumu mtu ila nasema ukweli unaoonekana hata kwenye biashara nyingi zimefungwa watu wameuziwa majumba kwa mikopo maisha magumu balaa, Mh samia kama alivyosema ajitahidi kufanya lolote watu wawe na pesa mifukoni, ndio maisha. kuishi kama mashetani hatutaki tena.
Ongeza sauti mjomba
 
Ebu soma uzi vizuri kama imetajwa nenoAAR hospital. MLETA UZI KASEMA TAASIS INAYOTOA HUDUMA ZA AFYA.
Na michango mingi kwenye uzi huu imeegemea kwenye aar insuarance nayo unasemaje?
Mimi nasema kwamba, hakuna uhusiano wa uendeshaji kati ya Aar Healthcare (Taasis ya Afya/Hospitali) na Aar Insurance (Bima), kama hujui kitu uliza upate ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom