Tetesi: Ugumu wa Maisha Tanzania wasababisha AAR kufunga ofisi zake Tanzania

Tetesi: Ugumu wa Maisha Tanzania wasababisha AAR kufunga ofisi zake Tanzania

AAR kama bima ya afya tegemeo laio kubwa lilikuwa wafanyakazi wa serikali na taasisi zake walikuwa wakihonga maafisa wa serikali ili wafanyakazi wakatiwe bima kwao serikali baada ya kuanzisha bima ya afya kwa ajili yao ya NHIF kwa wafanyakazi wake ikala kwao .Sekta binafsi ipo si wangejikita kutafuta soko huko? Wafanyakazi wa serikali wako chini ya laki nne wakati watanzania wako milioni 60 wangetafuta soko huko
Lakini ni aheri kuwa na wateja laki 4 wa uhakika kuliko kuwa na wateja million 50.6 wa mashaka au ambao hawafikii bei na maybe 1% ya hao watu ndio wako knowledgable kuhusu hio bima.

Watu laki 4 + wachache wanaojiweza kwenye taasisi za kimataifa kila mtu akichangia mfuko kwa laki 5 kwa mwaka unaweza kuwakamua around 200+ billion za uhakika utafananisha na watu ambao hata muamko wa bima wengi hawana na wapo willing kuchangia less than 100K kwa mwaka sio zaidi ya hapo!

Uanze tena na gharama za kuwashawishi ndio wajiunge yani walivyosepa ni sawa tu! Kuendesha kampuni kubwa sana kwa makusanyo ya 50B kwa tochi ngoma ngumu utafukuza sana wafanyakazi aheri ku shut down tu!
 
Tatizo watanzania wengi sana hatujielewi tunapenda sana kuropoka kwenye mitandao. Hii mitandao ya simu ilivyoingia TZ ilikua inapata over profit kutokana na mifumo iliyokuepo hususan Tax Holidays huku Serikali ikipata kiduchu sana. Kwa mfano Tigo ilianzia Buzz. Airtel ilianzia tritel n.k. miaka yote hiyo yalikua yanatengeneza faida mpaka Bil. 300 kwa mwaka. Wakimaliza wanabadilisha majina wanajidai wamepata hasara wameuza kampuni, kumbe ni walewale.

Kampuni ikiuzwa Serikali haipati hata Capital Gain yake kutokana na mauzo. Sasa Serikali imeshtuka, inachukua kodi mpaka kwenye mauzo ya vocha, kwenye m pesa, tigo pesa n.k. hivyo faida zao zimepungua. Kuondoka kwa haya makampuni ya simu infact ni faida kwa Serikali, inaweza kuamua kuwekeza zaidi TTCL kama ambavyo UAE ilivyoekeza kwenye etisalat. Hii industry ina hela nyingi, kwasbbu sasa hivi kila mtu ana simu na anatumia simu yake kama benki kwa kutuma na kupokea fedha.

AAR walikua wanategemea sana Health Insurance kwenye biashara yao, na wateja wao wakubwa ilikua ni makampuni pamoja na taasisi za Serikali. Lakini biashara yao ilianza kuharibika, baada ya Serikali kuanzisha NHIF ambayo imekua mkombozi sana kwa wafanyakazi na familia zao.
Asante kwanufafanuzi mzuri. Asiye kuelewa wewe basi tena, sijui tumwiteje?
 
Acheni mambo yenu, sasa Kama shida ilikua mwenda zake, si wabakie! Si kunamama ambaye mnadhani si mzalendo?!

AAR! Wahuni hao. Nimedeal nao miaka kibao?!

Fanyeni tafiti kabla ya kuandika.

Kazi iendelee!!!!!
Kama hivyo ndivyo basi wafanyabiashara wahuni wako wengi,umesahau mahotel yalibadili biashara kugeuzwa hostel utawala wa kayafa?Umesahau zipo supermarket zilishindwa kujiendesha utawala wa hayati rohombaya?unajifanya hujui wafanyabiashara walikimbia nchi utawala wa kayafa?Tembea huko mipakani ujionee makampuni ya magari ya watanzania yalivyosajiliwa kwa namba za majirani.
Mnahangaika kutetea legacy,nani kawaambia legacy inatetewa?
 
Ni kawaida kama kafilisika wacha aondoke maana hata kabla ya hiyo hospital tulitibiwa
 
Acheni mambo yenu, sasa Kama shida ilikua mwenda zake, si wabakie! Si kunamama ambaye mnadhani si mzalendo?!

AAR! Wahuni hao. Nimedeal nao miaka kibao?!

Fanyeni tafiti kabla ya kuandika.

Kazi iendelee!!!!!
Hao wamekimbia baada ya serikari kuboresha shughuli zake kwenye afya ndo maana wamekosa wateja
 
Kabla ya kushabikia jambo tafuta japo kidogo ukweli kuhusu jambo hilo. Tigo na Zantel kwanza ni watoto wa kampuni moja; kampuni hiyo imeamua kufunga shugjuli zake Africa nzima na walikuwa wamebakiza Tanzania tu. Hivyo kuondoka kwao kuliishapangwa, wameamua kujikita Amerika ya Kusini ambako asilimia zaidi ya 80 ya mapato yao ndiko yanakopatikana.

Pili kudai kuwa JPM ameharibu uchumi ni upotoshaji, dunia nzima uchumi ulisinyaa kutokana na effect ya corona; mfano Marekani ulisinyaa kwa asilimia 3.5, EU asilimia 6. Mambo ya uchumi hayataki ushabiki ni mwendo wa data na analysis.
Kabla hata ya Corona, uchumi wetu tayari ulikuwa hauko vizuri., kilichokuwepo ni propaganda ikisaidiwa na utungwaji sheria zenye lengo za kufanya kutopatikana takwimu mbalimbali kwa umma. Hakuna uchumi unaokua wakati biashara nyingi zinafungwa, hakuna uchumi unaokua wakati kiwango cha uwekezaji kinashuka kadri muda unavyosogea, hakuna unaokuwa wakati kuna siku soko la hisa manunuzi ni 0, hakuna uchumi unaokuwa unashindwa kupandisha mishahara ya watumishi wako kwa miaka mitano huku gharama za maisha zikiongezeka. uchumi unakuwa vipi wakati katika kipindi cha miaka mitano tu umekopa kuliko miaka 30 ya waliokutangulia?
 
Taarifa ni ya muda mrefu hii,kama sikosei zaidi ya Mwezi. Huku Tigo ( na Zantel) wanaondoka wanauza kampuni

Tulikuwa tunaelekea kubaya sana, Mama ana kazi nzito sio kidogo na itachukua miaka 10 mpaka 20 kurudi katika hali ya kawaida ya mwanzo
Mpaka apatikane Rais mchumi kama JK ndiyo tutakaa sawa
 
Mpango wenyewe ni katiba mpya tu yaani raisi lazima awe responsible kwetu raia sababu sisi ndio waajiri wake....

Ajabu katiba imempa mamlaka makubwa sana yasiyo na mipaka 90% ya teuzi ni Rais ! Ila hahojiwu popote akikosea au kukiwa kuna harufu ya maovu juu yake hashitakiwi akiwa madarakani au akitoka...

Mfano mkubwa ni alichokisema mwalimu katiba hii kuna mtu mbeleni ataitumia anavyotaka sababu inatoa mamlaka makubwa sana kwa rais! Jiwe was unstoppable hakuna aliyethubutu kumuhoji live ukijaribu sote tunajua kilichokua kinaendele ! It was one man show!

Tuna kazi ya kujenga mifumo imara ya kitaasisi ili kusudi tuondokane na habari za mtu bali tudeal na ustawi wa taifa hata mtu akiondoka!

Imagine mtu amezaliwa 1961 anasema mimi nikiondoka nani atajenga reli , madaraja nk? Je Tanganyika haikuwepo kabla ! Yeye ni nani katika nchii hii!

Mjerumani kajenga miundombinu mingapi imara inayodumu hadi leo hii zaidi ya miaka 100 mbona hatuoni mahali akipewa sifa zake?
Wewe mbona mjinga kisai hicho? Hivi unafikri Rais wa nchi kama hizi zetu asipokuwa na madaraka makubwa kama haya, unafikiri Rais ataweza kutawala nchi kweli? Si migomo itaibuka kila siku? Kuna mtu atalazimishwa kufanya kitu? Kijana jitahmini mwenyewe kwanza kabla ya kutoa mawazo mabovu kwenye platforms kama hizi.

Kama Mwalimu alisema katiba hii kuna mtu mbeleni ataitumia anavyotaka sababu inatoa mamlaka makubwa sana kwa Rais, kwanini yeye kwenye mamlaka yake hakuweza kuibadilisha? Kwani huyo katiba ilitungwa na nani? Sisi yeye mwenyewe ndiye alijiwekwa hayo madaraka. Yeye alikuwa ndiye Rais na ambaye alihusika kwa asilimia kubwa kwenye kutunga hiyo katiba. Au amesahau?

Na Nyerere Rais ambaye alitawala miaka mingi zaidi kuliko ma Rais wengine wote, was he stoppable? Wakati wa utawala wake kulikuwepo na mtu aliyethubutu kumuhoji yeye live? Na je unajua kilicho watokea watu waliojaribu kuhoji adharani?
Je naye katika utawala wake haikuwa one man show?

Imagine mtu amezaliwa 1961 anasema mimi nikiondoka nani atajenga reli , madaraja nk? Je Tanganyika haikuwepo kabla ! Yeye ni nani katika nchii hii!
Hapana, hapa ume m-quote vibaya. Yeye alisema hivi nimi nikiondoka hao wezangu watakao kuja wataiendeleza haya yote aliyo yaanzisha? Ilikuwa ni kujiuliza tu. Haikuwa lawama.

Mjerumani kajenga miundombinu mingapi imara inayodumu hadi leo hii zaidi ya miaka 100 mbona hatuoni mahali akipewa sifa zake?
Of course tuna mshukuru na kumpongeza, lakini hata hivyo unafikiri mjerumani aliijenga hiyo Rail way kwa ajili yetu au mababu zetu?
 
Ilikuwa ikitoa huduma zake vijijini sehemu gani mkuu!
 
AAR kama bima ya afya tegemeo laio kubwa lilikuwa wafanyakazi wa serikali na taasisi zake walikuwa wakihonga maafisa wa serikali ili wafanyakazi wakatiwe bima kwao serikali baada ya kuanzisha bima ya afya kwa ajili yao ya NHIF kwa wafanyakazi wake ikala kwao .Sekta binafsi ipo si wangejikita kutafuta soko huko? Wafanyakazi wa serikali wako chini ya laki nne wakati watanzania wako milioni 60 wangetafuta soko huko
Jiwe kaharibu nchi bora Mungu kamtanguliza. Endeleeni kumtetea.
 
Kama miaka mitano ya mwendazake imetuachia hali hii vipi kama angemalizia kumi yote mambo yangekuwaje?

Kuna watu wengi sana wamepoteza ajira kipindi cha utawala wake, wapo wengi ambao hawakuajiriwa kabisa, na hata wale waliokuwa wameajiriwa wakawa wanalia kupandishwa madaraja na mishahara.

Sijui kwanini bado hatujifunzi kama taifa, kwamba panahitajika mpango maalum utaohakikisha unafuatwa na kila Rais atakaeingia madarakani ili kuhakikisha hali kama hiyo haijirudii tena, badala ya hivi sasa kila Rais kuja na vipaumbele vyake, tutakuja kulia tena mbele ya safari.

Ugomvi wa jahcarhire na leigwenani ulituletea majanga.....uchumi umepiga mweleka sana,mama inabidi afanye SAP kurejesha uchumi kwenye mstari...Hapa inabidi aunde team ya wachumi waandamizi/wabobezi kurekebisha makosa aliyofanya jiwe yakaharibu uchumi.
 
Dah! Kwa hiyo huko mjini tunasikia kuna sgr, madaraja ya kigamboni sijui fly overs, umeme nafuu karibia kila kona na hili la uchumi wa kati kumbe ni changa la macho tu.
 
Watanzania tuko vizuri tutembee vifua mbele! Never again to let a dictator, horrible person, much know and murderer to see the inside of the State House. Mwenyezi Mungu ashukuriwe sana kwa kuinusuru nchi yetu.
Hakika ashukuriwe sana kwa kuokoa nchi yetu maana Jiwe angezidi kuharibu nchi na maisha ya watu.
 
Mambo ya maganda ya korosho na uchumi wapi na wapi.

Katiba mpya inatakiwa iwe na kipengele kingine cha mgombea urais lazima awe na ABC za uchumi katika level ya Diploma na kuendelea ukiachana na major degree....Mkemia alishauriwa anavyofanya atadisturb uchumi lakini aliweka kichwa ngumiu na kuwafukuza waliomshauri,ona sasa uchumi umepiga mweleka ,baada ya watu wake wa karibu kugundua jiwe ukimshauri kinyume na matakwa yake anakupiga chini basi wakaanza kumsifu na kwenda anayotaka yeye.

Ndio maana kina Kimei wakajenga CRDB chato ambapo hakuna hata shughuli za kiuchumi baada ya kupokea utafiti alioufanya JIWE kwamba chato panahitaji Bank,Kimei alishindwa kumpinga maana kibarua kingeota nyasi.
 
Jiwe kaharibu nchi bora Mungu kamtanguliza. Endeleeni kumtetea.
Mkuu mamlaka hutoka kwa Mungu. Kama alikosea inawezekana ni kutokana na ubinadamu wake na sisi tuliobaki hatuna budi kumsamehe bure na kazi ziendelee.
 
Jiwe kaharibu nchi bora Mungu kamtanguliza. Endeleeni kumtetea.
Mkuu mamlaka hutoka kwa Mungu. Kama alikosea inawezekana ni kutokana na ubinadamu wake na sisi tuliobaki hatuna budi kumsamehe bure na kazi ziendelee.
 
Wewe mbona mjinga kisai hicho? Hivi unafikri Rais wa nchi kama hizi zetu asipokuwa na madaraka makubwa kama haya, unafikiri Rais ataweza kutawala nchi kweli? Si migomo itaibuka kila siku? Kuna mtu atalazimishwa kufanya kitu? Kijana jitahmini mwenyewe kwanza kabla ya kutoa mawazo mabovu kwenye platforms kama hizi.

Kama Mwalimu alisema katiba hii kuna mtu mbeleni ataitumia anavyotaka sababu inatoa mamlaka makubwa sana kwa Rais, kwanini yeye kwenye mamlaka yake hakuweza kuibadilisha? Kwani huyo katiba ilitungwa na nani? Sisi yeye mwenyewe ndiye alijiwekwa hayo madaraka. Yeye alikuwa ndiye Rais na ambaye alihusika kwa asilimia kubwa kwenye kutunga hiyo katiba. Au amesahau?

Na Nyerere Rais ambaye alitawala miaka mingi zaidi kuliko ma Rais wengine wote, was he stoppable? Wakati wa utawala wake kulikuwepo na mtu aliyethubutu kumuhoji yeye live? Na je unajua kilicho watokea watu waliojaribu kuhoji adharani?
Je naye katika utawala wake haikuwa one man show?

Hapana, hapa ume m-quote vibaya. Yeye alisema hivi nimi nikiondoka hao wezangu watakao kuja wataiendeleza haya yote aliyo yaanzisha? Ilikuwa ni kujiuliza tu. Haikuwa lawama.

Of course tuna mshukuru na kumpongeza, lakini hata hivyo unafikiri mjerumani aliijenga hiyo Rail way kwa ajili yetu au mababu zetu?
Wewe ndio utakua mjinga! Uliwahi kuona wapi wamefanikiwa kwa mabavu yao hayo?

Wao ni nani hadi wawe so special kutohojiwa !?

Ina maana ulikua unaunga mkono usiginaji wa katiba wa wazi wazi eti bila kufanya hivyo hakuna mafanikio?

Basi ndio maana Africa itakua bara la mwisho kimaendeleo sababu ya wajinga au watu wenye mawazo ya kijinga kama wewe!
 
Back
Top Bottom