Tetesi: Ugumu wa Maisha Tanzania wasababisha AAR kufunga ofisi zake Tanzania

Tetesi: Ugumu wa Maisha Tanzania wasababisha AAR kufunga ofisi zake Tanzania

Kabla hata ya Corona, uchumi wetu tayari ulikuwa uko hovyo, kilichokuwepo ni propaganda ikisaidiwa na utungwaji sheria zenye lengo za kufanya kutopatikana takwimu mbalimbali kwa umma. Hakuna uchumi unaokua wakati biashara nyingi zinafungwa, hakuna uchumi unaokua wakati kiwango cha uwekezaji kinashuka kadri muda unavyosogea, hakuna unakuwa wakati kuna siku soko la hisa manunuzi ni 0, hakuna uchumi unakuwa unashindwa kupandisha mishahara ya watumishi wako kwa miaka mitano huku gharama za maisha zikikuwa , uchumi unakuwa vipi wakati katika kipindi cha miaka mitano tu umekopa kuliko miaka 30 ya waliokutangulia? Propaganda tu
Uchumi ni taaluma ndugu sio kila mtu anaweza kuuelezea uchumi. Pili uchumi una vipimo vyake vilivyokubalika na ndivyo vinavyotumika kupima na kulinganisha kwa vipindi tofauti au/ na kati ya uchumi mmoja na mwingine. IMF na World bank ndizo zinazotathmini chumi zote za dunia na ripoti hutolewa kila mwaka; hao hawaburuzwi na wana namna mbalimbali za kukusanya data, kuzitunza, kufanya analysis, kuzitafsiri. Hata nchi ikipika data bado wana uwezo wa kuelezea jambo kwa usahihi. Katika uchumi kuna kitu kinaitwa forecast, data zinaweza hata kukisiwa kwa kutumia njia zinazokubalika kiuchumi mfano kwa kutumia econometrics na wakawa sahihi.

Kikawaida uchumi sio siku zote utakwenda juu tu, kitu kimoja kinaweza shuka na kingine kupanda katika muktadha wa uchumi mzima. Wengi humu wanaoshabikia hawana uelewa wa uchumi wala hawasomi ripoti za uchumi za taasisi kubwa na zinazoheshimika katika nasuala ya uchumi duniani. Ukisoma kwa mfano ripoti ya mwaka 2020 utaonaTanzania japo haikufikia lengo la ukuaji wa uchumi lakini bado ilifanya vizuri kulinganisha na nchi nyingi tena za hapa africa na duniani kwa ujumla.
 
Hii ndio taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa kwamba ile Taasisi inayotoa huduma bora za afya imeamua kusitisha huduma zake nchini Tanzania kutokana na anguko la biashara na uchumi

Tuendelee kutega sikio kwa taarifa zaidi .
hiyo ni furaha yako unafurahia umaskini wa nchi wewe ni maskini wa fikra inamaana angekuwa huyo shoga yako unayemuabudu uchumi ungekuwa kama ulaya? kila mtu angekuwa na kazi? magonjwa yote yangekuwa hakuna? acheni unafiki wa kijinga wapuuzi nyie na hamtakaa muingie madarakani kwa siuasa zenu za chuki kiasi hicho hata mkipewa nchi mtataka kujaza matumbo yenu tu washamba nyie
 
Kabla hata ya Corona, uchumi wetu tayari ulikuwa uko hovyo, kilichokuwepo ni propaganda ikisaidiwa na utungwaji sheria zenye lengo za kufanya kutopatikana takwimu mbalimbali kwa umma. Hakuna uchumi unaokua wakati biashara nyingi zinafungwa, hakuna uchumi unaokua wakati kiwango cha uwekezaji kinashuka kadri muda unavyosogea, hakuna unakuwa wakati kuna siku soko la hisa manunuzi ni 0, hakuna uchumi unakuwa unashindwa kupandisha mishahara ya watumishi wako kwa miaka mitano huku gharama za maisha zikikuwa , uchumi unakuwa vipi wakati katika kipindi cha miaka mitano tu umekopa kuliko miaka 30 ya waliokutangulia? Propaganda tu

Case Closed i'm humbled you know hahahaa.
 
AAR waliingia kwenye kuendesha hospitali na zahanati kitendo kilichotengeneza conflict of interest kati yake na hospitali zingine. Kwa sababu hiyo AAR wakawa wanafungia baadhi ya vituo vya afya visitumie bima yake. Hiki kitendo kikawafanya wateja wake wengi wakubwa kuachana nao na kuingia mikataba na bima zingine kama strategies. Na ndipo kuyumba kwa AAR kulipoanza.
 
Somo la uchumi lilimpita kushoto huwezi ukasomeshwa watu namba kisha utegemee makusanyo zaidi.Hapo ni sawa na kuuzia mto usiingie baharini
 
Hii ndio taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa kwamba ile Taasisi inayotoa huduma bora za afya imeamua kusitisha huduma zake nchini Tanzania kutokana na anguko la biashara na uchumi.

Tuendelee kutega sikio kwa taarifa zaidi.
Labda mbadala wao ni wale waliojitokeza jana Arusha
 
Iliyofungwa ni AAR health care ambayo ilikuwa inamiliki clinics na si AAR Insurance! Ushindani wa clinics ni mkubwa sana, hata Aghakan wanazo clinics maeneo mengi tu.
 
Iliyofungwa ni AAR health care ambayo ilikuwa inamiliki clinics na si AAR Insurance! Ushindani wa clinics ni mkubwa sana, hata Aghakan wanazo clinics maeneo mengi tu.
Fanya homework yako vizuri.....
 
Iliyofungwa ni AAR health care ambayo ilikuwa inamiliki clinics na si AAR Insurance! Ushindani wa clinics ni mkubwa sana, hata Aghakan wanazo clinics maeneo mengi tu.
Aiseeeee !!!
 
Acheni mambo yenu, sasa Kama shida ilikua mwenda zake, si wabakie! Si kunamama ambaye mnadhani si mzalendo?!

AAR! Wahuni hao. Nimedeal nao miaka kibao?!

Fanyeni tafiti kabla ya kuandika.

Kazi iendelee!
Tayari mfu Magufuli alishawafilisi sasa wabaki kwa mtaji upi?
 
Ingekuwa jambo jema kama ungetupa taarifa kama baada AAR kufunga na kuondoka labda kuna upungufu wa upatikanaji wa huduma za afya kuliko kuleta uchochezi wa kishamba.
Kuna watu wamekosa ajira na kuwa mzigo kwa Taifa!
 
Back
Top Bottom