The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
- Thread starter
-
- #61
[emoji23][emoji23][emoji23]hapana mie sio shost wao bwanaa mbona hivoDem aliomba ushauri kwa shost ake, shost ake akaja kwako hivo nawe ni shost ake na shost [emoji23][emoji23][emoji23] chain za umbea zipo hivo
Yerewiiiii[emoji23][emoji23] na braaa tenaaJamaa nimemvulia kofia na braa...
Mkuu sijawahi fikiria zaaa na mke wa mtu.Msaidie wewe ili ibaki kuwa siri yako. Au atafute wasagaji wamejaa tele.
HakikaaaMtihani mgumu sana huu.
Mumewe sio rafiki yangu, pia ni mtu mzima anakaribia 50 huko,kukaa kuongea nae ni ngumu unless anianzeMwambie huyo manyama uzembe afanye mazoezi afunge kula
Wanawake wengi mibonge mibonge huwa haidumu kwenye ndoa
Huyo jamaa naye aachwe akae peke yake aendelee na ulokole wake akiwa single kwa miezi kadhaa atapata akili upya
Kwa kifupi hapo hakuna ndoa tena na hakuna ushauri unaweza kuinusuru hiyo ndoa
Ukikaa vizuri na huyo mlokole unaweza kupata ukweli wote ambao huyo Dada mjumbe hajakuambia
Basi unapoteza muda wako bureMumewe sio rafiki yangu, pia ni mtu mzima anakaribia 50 huko,kukaa kuongea nae ni ngumu unless anianze
😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23]hapana mie sio shost wao bwanaa mbona hivo
Shost yako aliambiwa na shost yenu ambae mmesoma wote na mmekua mashost toka vidudu.Kaa kimya, kusoma hujui reasoning nayo sifuri.
Kuna sehem nimesemaa Nina shost pale.
Mda mwingine wadada wasiwe na shauku sana ya ndoa, haya ndo wanayoyakuta.Basi unapoteza muda wako bure
Mwanaume akifika miaka 45 mambo ya kufikishana kileleni au kuwa bize na mapenzi huwa hana tena
Huyo Dada avumilie yote mwanaume Kamzidi zaidi ya miaka 20 hakuna lolote unaweza kufanya hapo zaidi ya kutupotezea muda wetu
Hao waacheni tu watajua wenyewe wasikupotezee muda wako bureMda mwingine wadada wasiwe na shauku sana ya ndoa, haya ndo wanayoyakuta.
Halafu Binti mwenyewe alikuwa BIKIRA kuna muda unahafiki kuwa Bora kuonjana kabla ya ndoa kwa namna kama hii[emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1] hapana mkuu siwez kasirika màaana najuaa matani mengi sana humu, mie siwez kuwa shost wakeShost yako aliambiwa na shost yenu ambae mmesoma wote na mmekua mashost toka vidudu.
Usikarike mkuu ni wewe ndie ulieyaandika hayo si mimi!! Bidada anakuchulia wewe kama shost yake ndio sababu ya kukwambia hayo mambo yawahusuyo wao wanawake.
Sawa mkuuuHao waacheni tu watajua wenyewe wasikupotezee muda wako bure
Aaah wapi mkuu wengi wachovu sanaAnyway tipwa tipwa z zurii
Inaweza kuwa ni kweli lakini pia hata umri wa jamaa na jinsi mkewe alivo bonge sana sidhani kama anavutia kama mwanzoUwezekano ni mkubwa kuwa Dada amekuhadithia Stori kwa kuvutia kwake, usikute Jamaa kuna mahali anamalizia Shahawa zote na akirudi Nyumbani anakula kimoja tu anajilalia zake.
[emoji23][emoji23][emoji23]Huyu ni wewe na ulikuwa unamsimulia huyo mdada unayopitia utajua hujui
Mkuu hapa umetoa boko soma story yake kwa umakini utaelewaWamehangaika kupata mtoto ndani ya miaka 3
Halafu mtoto ana Miaka 4....kule juu umesema ni miaka 10 iliyopita
[emoji478][emoji478]