The Garang
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 2,880
- 4,830
- Thread starter
- #41
[emoji848][emoji848][emoji848]subiri tu ipoeehii chai tufunge au tunakunywa hapa hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji848][emoji848][emoji848]subiri tu ipoeehii chai tufunge au tunakunywa hapa hapa?
[emoji23][emoji23]nataka mjifunze wakuu as long as sijataja majina ya watu shida Iko wapAmezidi umbea Huyu jamaa! Mambo ya watu yanamuhusu nini?!
Aliomba ushauri kwa shost wake, shost wake akaniomba mie ushauri nafikirii lengo ni kujenga na siyo umbea kama watu wanavosema .Mambo yao waachieni wenyewe...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiskia umbea ndo huu sasa.
Na wewe ni wa kiume kabisa eti una mashosti, aiseee hii ni hatari sana mpaka mnapeana umbea.
Kaa kimya, kusoma hujui reasoning nayo sifuri.Ukiskia umbea ndo huu sasa.
Na wewe ni wa kiume kabisa eti una mashosti, aiseee hii ni hatari sana mpaka mnapeana umbea.
Kweli kabisadaaah hiyo nomaa sana ndoa sikuhiz zimekuwa ni shida pasua kichwa
Walikufa bila kufurahia uumbaji, anyway we thank them for their inventionsWavumbuzi wrote wakubwa unao wajua wewe hawakuwahi kuoa.
Walikufa bila kufurahia uumbaji, anyway we thank them for their inventions
Njoo unywe supu na umbea uupige na huyu jamaa tumemepa kanga usiogopeAliesambaza uongo kuwa wanawake tunapenda UMBEA auwawe.....
Dem aliomba ushauri kwa shost ake, shost ake akaja kwako hivo nawe ni shost ake na shost 😂😂😂 chain za umbea zipo hivoKaa kimya, kusoma hujui reasoning nayo sifuri.
Kuna sehem nimesemaa Nina shost pale.
Jamaa nimemvulia kofia na braa...Njoo unywe supu na umbea uupige na huyu jamaa tumemepa kanga usiogope
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji13][emoji13]Chai chunguWamehangaika kupata mtoto ndani ya miaka 3
Halafu mtoto ana Miaka 4....kule juu umesema ni miaka 10 iliyopita
[emoji478][emoji478]
Amiin INSHALLAHMkuu kwa jinsi ulivyojibu comments za watu hii story ni ya kweli kabisa,ila wewe na mimi kama wanaume(binadamu pia) hili analopitia mwenzetu yapaswa tulitizame kama changamoto na wala si tatizo. Huu ni mtihani mwenzetu anaupitia na inshallah Mwenyezi Mungu aliye mwingi wa rehema awape wepesi waweze kuvuka salama,Amini.
Mkuu huko juu nimeshaitwa mbea tayari , usirudie njoo na jipyaa ukiweza toa suluhuYaani mmekutana mimbeya tu wewe uelezwe na mbeya mwenzio na wewe mbio na umbeya wako miguuu ikikuwasha kuja jf
Twakawambia sie huku hatujui umbeya