Ugumu wa maisha ya ndoa

Ugumu wa maisha ya ndoa

Walikufa bila kufurahia uumbaji, anyway we thank them for their inventions

Mkuu kwa jinsi ulivyojibu comments za watu hii story ni ya kweli kabisa,ila wewe na mimi kama wanaume(binadamu pia) hili analopitia mwenzetu yapaswa tulitizame kama changamoto na wala si tatizo. Huu ni mtihani mwenzetu anaupitia na inshallah Mwenyezi Mungu aliye mwingi wa rehema awape wepesi waweze kuvuka salama,Amini.
 
Yaani mmekutana mimbeya tu wewe uelezwe na mbeya mwenzio na wewe mbio na umbeya wako miguuu ikikuwasha kuja jf

Twakawambia sie huku hatujui umbeya
 
Mkuu kwa jinsi ulivyojibu comments za watu hii story ni ya kweli kabisa,ila wewe na mimi kama wanaume(binadamu pia) hili analopitia mwenzetu yapaswa tulitizame kama changamoto na wala si tatizo. Huu ni mtihani mwenzetu anaupitia na inshallah Mwenyezi Mungu aliye mwingi wa rehema awape wepesi waweze kuvuka salama,Amini.
Amiin INSHALLAH
 
Yaani mmekutana mimbeya tu wewe uelezwe na mbeya mwenzio na wewe mbio na umbeya wako miguuu ikikuwasha kuja jf

Twakawambia sie huku hatujui umbeya
Mkuu huko juu nimeshaitwa mbea tayari , usirudie njoo na jipyaa ukiweza toa suluhu
 
Back
Top Bottom