Ugumu wa maisha ya ndoa

Rai Kwa wanawake ukitaka kuchepuka na upo kwenye ndoa usimwambie shost yako yoyote ata Yule unaelewawa naye sana ukijifanya unamwambia jua ndyo atakuwa wakwanza kuvunja ndoa yako
 
Rai Kwa wanawake ukitaka kuchepuka na upo kwenye ndoa usimwambie shost yako yoyote ata Yule unaelewawa naye sana ukijifanya unamwambia jua ndyo atakuwa wakwanza kuvunja ndoa yako
Usikubali kufa na tai shingoni, sema usaidiwe
 
Chai bora kilele cha ubora,
Chai bora ni majani ya TATEPA,
Iwe na maziwa, isiwe na maziwa,
Vyovyote vile utachangamka !!!
🎼🎺
 
Chai bora kilele cha ubora,
Chai bora ni majani ya TATEPA,
Iwe na maziwa, isiwe na maziwa,
Vyovyote vile utachangamka !!!
[emoji443][emoji448]
Nawe unaamini kuwa ni chai[emoji23][emoji23]
 
Unakuaje na urafiki na watoto wa kike tu? Au ndo Mambo ya mji mzito?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…