Uhaba wa chakula mwaka 2023 utakuwa mbaya zaidi kuliko watu wengi wanavyodhani, tujiandae

Una changamoto gani Ndugu? Funguka usaidiwe, usijibebeshe mizigo mizigo kichwani kwa sababu utavunja UTI wa mgongo wako!!
Wewe ndio unachangamoto post moja IPO jukwaa ka siasa ,international habari mchanganyiko nani anachangamoto hapo.
 
Utakula nzige, kumbikumbi na mende[emoji16]
 
Utakula nzige, kumbikumbi na mende[emoji16]
You will own nothing and you will be happy , you will eat bugs or starve to death , by Claus Schwab ,world economic forum
 
Utakula nzige, kumbikumbi na mende
You will own nothing and you will be happy , you will eat bugs or starve to death , by Claus Schwab ,world economic forum
 
Lima acha uzembe. Tumia mbolea asilia.
 
Lima acha uzembe. Tumia mbolea asilia.
Aliyekuambia silimi ni nani.Mimi ni mkulima,ila kwa kuwa naona mbali,na najua kinachoendelea na kitakachotokea behind the scenes,lazima ni forewarn,ili watu wajiandae.Hili ni la msingi sana na lapendeza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…