Uhaba wa Dola nchini: Badala ya kutupiana lawama tutafute mwarobaini. Tuishauri serikali

Uhaba wa Dola nchini: Badala ya kutupiana lawama tutafute mwarobaini. Tuishauri serikali

Wameweka masharti magumu Kwa Nchi changa,

Russia akishinda vita minyororo Afrika itakatika.
Kumbuka Anachofanya Russia Leo walifanya watangulizi wake kipindi cha USSR
Viongozi wetu ndio wamekuwa watu wasio na Shukrani wameshindwa kusimama na aliewapigania wakati ambao hakukuwepo na mwingine wa kufanya hivyo
Marekani amekutana na Russia vitani Mara nyingi zaidi na zote Marekani amekimbia
Syria
Afghanistan na kokote kule ambako US alipeleka majeshi kwa kisingizio cha "democracy" kumbe ni kibaka mzoefu kote huko anakutana na Mrusi field anakimbia anaacha vifaa porini atetee uhai wake
Mrusi anapigana na Mataifa yote yenye NATO na ni Mataifa makubwa na mpaka sasa yamechemka
 
Tutafika vp kama mpaka leo hii mwanafunz wa kidato cha3 anakalilishwa importance ya kilimo cha umwagiliaji huko japan ktk somo la jiografia.

Matokeo yake wanafunzi wanakalili kuchora raman na kupima distance za sehemu kwa nadharia ambapo nadharia hizo hazina vitendo na hata vitendo vikiwepo masomo haya hayana faida, jambo lolote linaweza kufanyika hapa nchini ni suala la akili tu mwenendo wa viongozi wetu, hao wakandarasi wa bwawa ka nyerere si ni wamisri amboa hawajatuzidi lolote why wao na sio sisi?

Viongozi wetu ni hopeless
Mkuu
Kiuhalisia ni kwamba elimu yetu inashindwa kuwa ya kizalendo yaani kumuandaa kijana kuitumia kwa kujenga nchi yake
 
Umofia kwenu.

Mengi yamesemwa kuhusiana na hili sakata la upungufu wa dola nchini. Kimsingi Dola ya Marekani ndiyo inatumika kama fedha ya kununua bidhaa za kimataifa. Mojawapo ya bidhaa hizo ni pamoja na mafuta ghafi ambayo yanashikilia sehemu muhimu ya mfumuko wa bei nchini.

Nasema yapo mengi yamesemwa na wataalam na sisi wataalam pori wa michongo lakini naona katika yanayozungumzwa mengi ni lawama na kauli ambazo hazitoi mwelekeo wa kukabili changamoto hii. Tukiendelea kulaumiana tutaendelea kuathirika wote na kadhia hii.

Kwa nia njema, ninaleta kwenu Great Thinkers wa JamiiForums kwamba maoni na ushauri kuntu uelekeze namna ya kupita huu mkwamo. Inawezekana hoja zetu zikapuuzwa lakini tutakuwa tumetimiza wajibu wetu muhimu kupitia ibara ya 18 ya Katiba ya JMT (1977 na marekebisho yake).

MAONI

  1. BOT ianzishe hifadhi ya dhahabu haraka ili kukabiliana na tatizo hili, kwani dhahabu inatumika kufanya exchange ya forex kunapotokea nakisi
  2. Serikali itoe sapoti na msukumo kwa bidhaa zote za export hususan zile zilizopo kwenye mfumo wa Fair Trade ili wazalishaji waweze kuexport kwa wingi.
  3. Chakula chochote kinachonunuliwa kwa kusafirisha nje kinunuliwe kutoka ghala za serikali tena kwa dola. Hivyo serikali itenge fedha ya dharura kununua kutoka kwa wakulima ili all food crop export itoke kwenye maghala ya serikali.
  4. Serikali iichunguze kampuni ya forodha ya SILENT OCEAN hususan mwenendo wake wa biashara wa miezi 24 iliyopita kwani imenyooshewa vidole kusafirisga dola nje ya nchi kwa njia haramu.
  5. ............
Weka maoni yako

View: https://www.instagram.com/p/Cw7FWdaqjWg/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
🤣panic button has bofyed again🤣

Tulia kwanza kula glas ya maji usije ukapaliwa na maneno😀
 
Kwa hiyo ndugu ChoiceVariable kununua mitumba ya ndege, mabehewa, vichwa vya treni ndo kubana matumizi au?
 
Mwarobaini ni kuongeza exports ambapo ni lazima turudi kwenye kilimo - tuliambiwa tangu enzi za Siasa ni Kilimo kwamba tuwekeze kwenye kilimo cha kisasa kwa tukitumia wananchi wetu hawa hawa tuwafanyie bulding capacity, wao wawe kama mtaji wetu mkuu tumegoma kabisa hadi wa leo.

Sasa mie nawashauri tutumie currency ya Urusi, maana sisi si ni mabingwa wa njia fupi.
 
Tanzania haijaanza kununua Mitumba Leo Wala Jana
Kwa hivyo kama Tanzania haijaanza hayo jana wala.leo mnayaendeleza siyo?

Ndo maana hata wanaharakati hawakuanza kuteswa, kupotezwa na kuuawa leo wala jana na hilo nalo mnalidumisha....

Kinachotakiwa na serikali ni kutathmini hatua zote inazozichukua na kuangalia athari zake per utekelezaji. Kuna mambo yanajirudia rudia na hatua zinajirudiarudia hivyo ni vyema kutathmini kabla, wakati na baada ya hatua kuchukuliwa.

Kubana matumizi ni wajibu na siyo hatua ya kujimwambafai nayo kuwa is great thinking pro. Tuone hatua za kutatua tatizo hata lijirudie mara 50 tusikwalme.

Inashindikana vipi Bunge kupitisha azimio la kutumia dhahabu kwenye bidhaa ghafi tunazonunua nje? Siyo kila bidhaa bali zile zinazohusa basics za watanzania....
 
Kwa hivyo kama Tanzania haijaanza hayo jana wala.leo mnayaendeleza siyo?

Ndo maana hata wanaharakati hawakuanza kuteswa, kupotezwa na kuuawa leo wala jana na hilo nalo mnalidumisha....

Kinachotakiwa na serikali ni kutathmini hatua zote inazozichukua na kuangalia athari zake per utekelezaji. Kuna mambo yanajirudia rudia na hatua zinajirudiarudia hivyo ni vyema kutathmini kabla, wakati na baada ya hatua kuchukuliwa.

Kubana matumizi ni wajibu na siyo hatua ya kujimwambafai nayo kuwa is great thinking pro. Tuone hatua za kutatua tatizo hata lijirudie mara 50 tusikwalme.

Inashindikana vipi Bunge kupitisha azimio la kutumia dhahabu kwenye bidhaa ghafi tunazonunua nje? Siyo kila bidhaa bali zile zinazohusa basics za watanzania....
Ndio kwanza dhahabu imeanza kununuliwa na BoT mwaka Jana
 
Umofia kwenu.

Mengi yamesemwa kuhusiana na hili sakata la upungufu wa dola nchini. Kimsingi Dola ya Marekani ndiyo inatumika kama fedha ya kununua bidhaa za kimataifa. Mojawapo ya bidhaa hizo ni pamoja na mafuta ghafi ambayo yanashikilia sehemu muhimu ya mfumuko wa bei nchini.

Nasema yapo mengi yamesemwa na wataalam na sisi wataalam pori wa michongo lakini naona katika yanayozungumzwa mengi ni lawama na kauli ambazo hazitoi mwelekeo wa kukabili changamoto hii. Tukiendelea kulaumiana tutaendelea kuathirika wote na kadhia hii.

Kwa nia njema, ninaleta kwenu Great Thinkers wa JamiiForums kwamba maoni na ushauri kuntu uelekeze namna ya kupita huu mkwamo. Inawezekana hoja zetu zikapuuzwa lakini tutakuwa tumetimiza wajibu wetu muhimu kupitia ibara ya 18 ya Katiba ya JMT (1977 na marekebisho yake).

MAONI

  1. BOT ianzishe hifadhi ya dhahabu haraka ili kukabiliana na tatizo hili, kwani dhahabu inatumika kufanya exchange ya forex kunapotokea nakisi
  2. Serikali itoe sapoti na msukumo kwa bidhaa zote za export hususan zile zilizopo kwenye mfumo wa Fair Trade ili wazalishaji waweze kuexport kwa wingi.
  3. Chakula chochote kinachonunuliwa kwa kusafirisha nje kinunuliwe kutoka ghala za serikali tena kwa dola. Hivyo serikali itenge fedha ya dharura kununua kutoka kwa wakulima ili all food crop export itoke kwenye maghala ya serikali.
  4. Serikali iichunguze kampuni ya forodha ya SILENT OCEAN hususan mwenendo wake wa biashara wa miezi 24 iliyopita kwani imenyooshewa vidole kusafirisga dola nje ya nchi kwa njia haramu.
  5. ............
Weka maoni yako
Tuwe na matbaa ya kurudufisha dola.
 
Nchi ni ya ajabu sana, wakati wengine wanatafuta mbadala wa malipo kwa Dollar bado Mwigulu amekazana kuomba apewe dollar 😲

Dollar zitakuwepo kama tunafanya mauzo makubwa nchi za nje na hasa Amerika na washirika wake, sasa bidhaa zetu nyingi tunanunua China, nchi za kiarabu na India hizo Dollar tunataka za nini?

Mbali ya export vyanzo vingine vya Dollar ni maliasili zetu, Direct Capital Investments, ushuru na mauzo ya visa na vibali.

Dollar zinazokusanywa kwenye vibali kwa mfano, zinaishia wapi kama siyo kwenye safari nchi za nje huku kundi kubwa la viongozi na machawa wakijiidhinishia posho na imprest za kufanya manunuzi ya bidhaa binafsi kwenye mitaa ya Manhattan?.
 
Nchi ni ya ajabu sana, wakati wengine wanatafuta mbadala wa malipo kwa Dollar bado Mwigulu amekazana kuomba apewe dollar 😲
Dollar zitakuwepo kama tunafanya mauzo makubwa nchi za nje na hasa Amerika na washirika wake, sasa bidhaa zetu nyingi tunanunua China, nchi za kiarabu na India hizo Dollar tunataka za nini?
Mbali ya export vyanzo vingine vya Dollar ni maliasili zetu, Direct Capital Investments, ushuru na mauzo ya visa na vibali, Dollar zinazokusanywa kwenye vibali kwa mfano, zinaishia wapi kama siyo kwenye safari nchi za nje huku kundi kubwa la viongozi na machawa wakijiidhinishia posho na imprest za kufanya manunuzi ya bidhaa binafsi kwenye mitaa ya Manhattan.
Mwigulu kimsingi hajui A wala B za uchumi. Anatumia madesa ya chuo
 
Tuchochee export, tuexport hata wadada wa kazi nje tupate pesa za kigeni.
Mkuu Jeshi lingeweza kwenda nchi nyigine zenye vita na kuliingizia Taifa pesa za kigeni, lakini angalia jinsi wanavyojidharirisha kwa kukusanya nguo zinazofanana na sare zao wakati wao sio watengenezaji. Aibu!.
 
Hiyo ni piracy ambapo ni jinai
Tumejaaliwa dhahabu nyingi sana kwenye ardhi yetu, kwa nini tusitumie sarafu zetu ziwe katika madini ya dhahabu tuachane na mambo ya shilingi na mfano wake, kwani huko tunapoelekea dhahabu ndiyo itakayotumika katika biashara.
 
Umofia kwenu.

Mengi yamesemwa kuhusiana na hili sakata la upungufu wa dola nchini. Kimsingi Dola ya Marekani ndiyo inatumika kama fedha ya kununua bidhaa za kimataifa. Mojawapo ya bidhaa hizo ni pamoja na mafuta ghafi ambayo yanashikilia sehemu muhimu ya mfumuko wa bei nchini.

Nasema yapo mengi yamesemwa na wataalam na sisi wataalam pori wa michongo lakini naona katika yanayozungumzwa mengi ni lawama na kauli ambazo hazitoi mwelekeo wa kukabili changamoto hii. Tukiendelea kulaumiana tutaendelea kuathirika wote na kadhia hii.

Kwa nia njema, ninaleta kwenu Great Thinkers wa JamiiForums kwamba maoni na ushauri kuntu uelekeze namna ya kupita huu mkwamo. Inawezekana hoja zetu zikapuuzwa lakini tutakuwa tumetimiza wajibu wetu muhimu kupitia ibara ya 18 ya Katiba ya JMT (1977 na marekebisho yake).

MAONI

  1. BOT ianzishe hifadhi ya dhahabu haraka ili kukabiliana na tatizo hili, kwani dhahabu inatumika kufanya exchange ya forex kunapotokea nakisi
  2. Serikali itoe sapoti na msukumo kwa bidhaa zote za export hususan zile zilizopo kwenye mfumo wa Fair Trade ili wazalishaji waweze kuexport kwa wingi.
  3. Chakula chochote kinachonunuliwa kwa kusafirisha nje kinunuliwe kutoka ghala za serikali tena kwa dola. Hivyo serikali itenge fedha ya dharura kununua kutoka kwa wakulima ili all food crop export itoke kwenye maghala ya serikali.
  4. Serikali iichunguze kampuni ya forodha ya SILENT OCEAN hususan mwenendo wake wa biashara wa miezi 24 iliyopita kwani imenyooshewa vidole kusafirisga dola nje ya nchi kwa njia haramu.
  5. ............
Weka maoni yako

View: https://twitter.com/UchumiForum/status/1700093826851836092?t=l42ae0jLBYngjlL5DyESaQ&s=19
 
Back
Top Bottom