Uhaba wa Dola nchini: Badala ya kutupiana lawama tutafute mwarobaini. Tuishauri serikali

Kwahiyo hiyo currency ya china ndio tutazipata bila kufanya export?
 
Ingawa swali lako halieleweki .... Nikufahamishe tu kuwa currency ya China kama kuna bidhaa unaagiza China zinapatikana. Hebu jaribu kuwasiliana na benki yetu ya CRDB ...utajifunza kitu.
Kwahiyo hiyo currency ya china ndio tutazipata bila kufanya export?
 
Ingawa swali lako halieleweki .... Nikufahamishe tu kuwa currency ya China kama kuna bidhaa unaagiza China zinapatikana. Hebu jaribu kuwasiliana na benki yetu ya CRDB ...utajifunza kitu.
Sina haja yakwenda CRDB hizo currency huwezi kuzipata kama hu export bidhaa. Hizo yuan za kichina zitakua ni chache. Tukisema tuanze kufanya import zote kwa fedha ya kichina bado tutakua na uhaba. Wachina tunawauzia maparachichi, soya, Mbaazi. Sisi tunanunua mashine, mavazi, tuongeza na mafuta hapo lazima tutakua na uhaba.
 
Chakula chochote kinachonunuliwa kwa kusafirisha nje kinunuliwe kutoka ghala za serikali tena kwa dola. Hivyo serikali itenge fedha ya dharura kununua kutoka kwa wakulima ili all food crop export itoke kwenye maghala ya serikali.
What about perishable farm produce?
E.g. Avocados?
 
Pesa za kigeni zinapatikana kwa kufanya mauzo ya bidhaa zetu nje ya nchi, kadiri unavyouza sana ndivyo unavyojilimbikizia akiba ya fedha za kigeni. Bado sijaelewa hoja yako ni ipi?
 
Pesa za kigeni zinapatikana kwa kufanya mauzo ya bidhaa zetu nje ya nchi, kadiri unavyouza sana ndivyo unavyojilimbikizia akiba ya fedha za kigeni. Bado sijaelewa hoja yako ni ipi?
Tunavyouza nje ni vichache kuliko matumizi (matumizi ya fedha za kigeni ni makubwa)
 
Pesa za kigeni zinapatikana kwa kufanya mauzo ya bidhaa zetu nje ya nchi, kadiri unavyouza sana ndivyo unavyojilimbikizia akiba ya fedha za kigeni. Bado sijaelewa hoja yako ni ipi?
Nilichokuwa nakueleza ni kwamba solution ya kutatua swala la uhaba wa dolla sio kuachana na dolla na kuanza kutumia yuan au ruble ya kichina. Kwani hata hiyo hifadhi ya yuan ya kichina itakua haitoshelezi kwasababu hatufanyi export ya kutosha yakutuwezesha kuwa na fedha nyingi ya kigeni. Solution ni kuongeza uzalishaji, kuexport kwa sana, kuvutia watalii na wawekezaji wa kigeni au kwenda kukopa kama hatuwezi kufanya hayo mengine. Kwasasa solution ya haraka chukua dhahabu kanunue mafuta, punguza baadhi ya matumizi yasiyo ya lazima ili bajeti isiathiriwe.
 
Mbona matajiri hapa hawalalamiki kuwa hakuna dola
Nyinyi makapuku hata hamna shughuli yeyeto inayohitaji matumizi ya dollar, ndio kutwa kuchwa kupiga ramli na kelele humu...
 
Tuna option ya kupunguza matumizi ili tusitumie zaidi ya kile tunachozalisha.
Ndio, kama:-
  • Kuagiza mafuta machche
  • Kutokununua magari
  • Kuzuia safari zisizo za lazima nje
  • Kutokununua nguo, samani n.k nje, kwa vile vitu vinavyoweza kuzalishwa na wazawa
  • Kuboresha utalii
  • Kuuza madini nje n.k
 
Suluhisho la muda mfupi ni kukopa au kupata msaada
 
Tukubaliane kwanza kuwa hatua ya kwanza ni kupunguza matumizi na ikiwezekana Dollar zote zilizoko nchini zitumike kwa uangalifu sana tukijua kuwa matumizi ya Dollar katika kufanya malipo kimataifa siku za usoni utakoma.
 
Mbona matajiri hapa hawalalamiki kuwa hakuna dola
Nyinyi makapuku hata hamna shughuli yeyeto inayohitaji matumizi ya dollar, ndio kutwa kuchwa kupiga ramli na kelele humu...
Tajiri umefuata nini kwenye kijiwe cha makapuku?😡

Pita huku🔥🔥🔥
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…