Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Zito Kabwe amechambua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna uhusiano wowote wa unachokiongea na kuadimika kwa $ .tulikuwa tunachangia humu ndani kuwa hizo bureaux zilipofungwa ilikuwa ni hatua sahihi.wengine walitubeza kuwa hatujui kitu.hizo bureaux zinatumiwa na mafisadi kutorosha pesa nje kama ilivyo kwa kenya.Pr Luoga alikuwa makini sasa huyu wa sasa ni laizez affair na sidhani kama anayaelewa vizuri haya mambo ya fedha.
Ww kama ulikuwa chawa wa jiwe unadhani kila mtu anaishi kwa kutegemea uchawa kama ww?mlamba asali mwingine huyu hapa!
Waliambiwa kuna siku watamkumbuka mwamba huyu wakaendelea kujihadaa na uramba asali na uchawa uchwara.Kuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,
Acheni siasa za kijinga kwani jiwe ndo alikuwa mchapisha $.?Waliambiwa kuna siku watamkumbuka mwamba huyu wakaendelea kujihadaa na uramba asali na uchawa uchwara.
Mipango madhubuti,sio blablaAcheni siasa za kijinga kwani jiwe ndo alikuwa mchapisha $.?
Wewe kila siku huwa nakuambia unasumbuliwa na ujinga wa kihalaiki. Jana nilikupa ushahidi wa dola ilivyoadimiKa middle East hata huko quwait wamekataza kufanya biashara kwa dola ww unataka ushahidi gani ???? Au hujui kimombo?Toa ushahidi wa unachodai wenye dollar yao wameiondoa kwenye mzunguko
🤣🤣 ujinga wa kihalaiki? AiseeWewe kila siku huwa nakuambia unasumbuliwa na ujinga wa kihalaiki. Jana nilikupa ushahidi wa dola ilivyoadimiKa middle East hata huko quwait wamekataza kufanya biashara kwa dola ww unataka ushahidi gani ???? Au hujui kimombo?
Huna malindaWamkumbuke yule katili?[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]hebu kuwa serious bhana yule alowatesa wafanyabiashara wakaishi kama mashetani leo wamkumbuke?[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
Kaka naomba nicheki kwa namba hizi hapa whatup!Kuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,
Hiyo kupungua naelewa kwenye mzunguko naelewa, ila nilichokuuliza ni pale wewe umesema wenye dollar yao wameiondoa kwenye mzunguko, hili ndo naomba ushahidNyie wafuasi wa jiwe acheni upumbavu tatizo la dora kuadimika liko karibia nzima na hii inasababishwa na wenye dora yao kupunguza $ kwenye mzunguko ya wa biashara duniani ili wapambane na mfumko wa bei kwenye nchi yao.
Ujinga wa kihalaiki ndiyo... collective cimbilization.Unakubali kujingishwa nawe unajingishwa. Umeambiwa dola zimepungua kote duniani na ukapewa na sababu. Kwasababu mna majibu yenu mnayotaka kusikia ili mpeane faraja wewe unataka ushahidi! Kwani si utafute taarifa? Au unataka kusema kwasababu mwigulu ndiyo wazir wa fedha nq SSH ndiyo raisi ndo mana hamna dola?🤣🤣 ujinga wa kihalaiki? Aisee
MmhHuna malinda
.Wangekuwa wanafuatlia mambo kabla ya kutoa hitimisho ingewasaidia sana. Tatizo la upungufu wa dola ni la dunia nzima. Hakuna cha kumsifia mtu hapa
Hahahaha mpe elimu huyo nyumbuWako huru,dola zikowapi?,acha kujisafisha kwa kutumia mchanga (kujishenenta),badala ya maji
Mipango gani aliyoifanya iliyosababisha kusiwepo na uhaba?Mipango madhubuti,sio blabla
JPM anahusikaje? Dollar ikikata maana yake Mama kaficha au?Mipango gani aliyo ifanya iliyo sababisha kusiwepo na uhaba?