Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,117
- 3,153
- Thread starter
-
- #81
Ukitaka kumuua nyani lazima umpe jina baya.Mwandishi huna akili. Dola kuadimika hakuwezi kuwafanya wamkumbuke yule jambazi wa kidola. Alikwapua fedha kwenye akaunti za wafanyabiashara na watu binafsi mwizi yule asosameheka muuaji aliyesahau naye angekufa.
Magufuli angekuwepo angechapisha dola au siyo?Kuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,
Mbona huwa mnashupaza sana shingo nchi ikishakuwa ya kifisadi "grand corruption, yaani ya rushwa kubwa kubwa athari zake ndo hizo, mtu akiiba billion 10 hawezi kuutunza kwenye tsh kwa usalama wake lazima ataibadil kuwa dollar.Magufuli angekuwepo angechapisha dola au siyo?
Binadamu kweli LAWAMA [emoji1787][emoji1787]Kuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,
Sasa alosema wanamkumbuka nani.Kuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,
Wakati wa Mwendazake hapakuwa na demand ya dola maana biashara ya nje (import) iliporomoka sana.Kuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,
Hili halina uhusiano na Magufuli, acheni mada za kijinga za kumtukuza shetani wa Chato hata kwa mambo ambayo yanasababishwa na nguvu nje ya mwanadamu. Kwani yule hayawani angefanya nini kwenye kipindi kama hili cha mgogoro wa UKRAINE?Kuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,
Huo ndio ukweli kiongozi wangu wwtu wanaruka ruka tu kama popcorn mfano mtu amepiga 10% za SGR 20B kama MBARAWA sasa atazificha kwa nin kama sio kwa dollar lazima utengeneze artificial demand ya dollarView attachment 2636158
Halafu baada ya hapo unatafuta sababu za kusingizia wengine.
Ni vitu vya kushangaza sana nchi hii yaani watu wanachukua hatua na kuachia mambo; halafu baada ya hapo wanatafuta wakumsingizia.
Ubadharifu unapokuwa mkubwa serikalini unatengeneza artificial economy kwenye demand side na haya ndio madhara.
Sasa wewe uache watu waibe mihela kirahisi unadhani wengine watazificha wapi, hapo hapo ulegeze masharti ya bureau de change.
Halafu wanatoka na upuuzi Magufuli ndio chanzo, sijui US imezuia dollar; the nonsense is beyond.
Yaani kila kitu ovyo hawajamaliza upuuzi wa LNG ambao huko mbele watanzania watakuja shangaa sana hayo maamuzi. washakimbilia bandari, mara bei ya chakula, mara toll roads, mara BBT; the nonsense is endless.
$ ni kila sehemuLakini dola ilipatikana ya kutosha
Ni sababu ya nini?$ ni kila sehemu
Jana kujiridhisha nimeenda bank yangu [emoji636] nimeambulia za 20 na 10 tu
Za 100 na 50 hawana
Sio kwa sababu ya Rais
Msifieni kwa mengine na mimi najua alifanya yapi mabaya
Ule ulikuwa ni ujambazi mchana kweupe
Sielewi kwa kweli ni nini hasa lakini ninachojua Pound imekuwa na nguvu siku za hivi karibuniNi sababu ya nini?
Acha uongoWakati wa Magufuli kariakoo ilikuwa chali, inaelekea kufa. Unafikiri wafanya biashara wa kariakoo walikimbilia nchi za jirani wakati gani?
Acha fixKuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,
Sukuma gang at workKuadimika kwa Dola ya Marekani katika soko la Kariakoo kumewafanya Wafanyabiashara kumkumbuka Hayati Rais Magufuli, Dola Moja inabadilishwa kea tzs 2,430 lakini Dola hiyo haipatikani mtaani Kariakoo,wachache waliipata asubuhi kwa 3450 uagizaji wa mizigo China umesimama, kutumia pesa ya China RMB ni hasara kwa mfanyabiashara,wakati wa Magufuli, Bureau zilizuiwa lakini Dola ilipatikana bank tena kwa wingi lakini hivi sasa bureau zipo na bank zipo lakini Dola haipo,inawawia vigumu kuagiza bidhaa kwa kutuma transfer bank ambapo inawapasa watume Dola na bank hazina hizo dollar,