Inashangaza. Kwa hiyo watu wale mbichi?😂😂😂😂😂😂😂 huyo afisa burudani alishindwa kuweka za emergency
Ha ha haEndeleeni na zoezi, zitakuja baadae 😁
Alaumiwe aliyeandaa Festival kwanini hakuliona hiloAssalam Aleikum,
Nimekuja Festival toka ijumaa jioni sasa leo kwenye moja-mbili nimeopoa binti Afisa Burudani nikajiburudishe ila Kondom adimu pharmacy hata maduka madogo ya mitaani (kuanzia stendi kuu, Kijenge hadi Njiro). Wanadai mzigo ndio umepakiwa Dar unakuja na mabasi ya usiku (kuwasili alfajiri). Imekaaje hii? Niagieni
Afisa ubashiri yupo na Afisa burudanj, agizeni afisa usafirishaji awaletee ndomu hapo au kama vipi chezen peku mtavaa game la piliAssalam Aleikum,
Nimekuja Festival toka ijumaa jioni sasa leo kwenye moja-mbili nimeopoa binti Afisa Burudani nikajiburudishe ila Kondom adimu pharmacy hata maduka madogo ya mitaani (kuanzia stendi kuu, Kijenge hadi Njiro). Wanadai mzigo ndio umepakiwa Dar unakuja na mabasi ya usiku (kuwasili alfajiri). Imekaaje hii? Niagieni
Kwahiyo uliuza mechi au uliahilisha mtanange mpaka mzigo ufike?.Assalam Aleikum,
Nimekuja Festival toka ijumaa jioni sasa leo kwenye moja-mbili nimeopoa binti Afisa Burudani nikajiburudishe ila Kondom adimu pharmacy hata maduka madogo ya mitaani (kuanzia stendi kuu, Kijenge hadi Njiro). Wanadai mzigo ndio umepakiwa Dar unakuja na mabasi ya usiku (kuwasili alfajiri). Imekaaje hii? Niagieni
Huu uoga jembe! Weka kitu kambani liwalo na liweMechi imepoa. Ila nimekojolea nje