Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha....Unasema?
Nyege mkuu,nyege ndugu yanguUnapata wapi mda wa kuandika useless thread like this, Man?
Mkuu, huwa zina adimika hapo Arusha? ama hazipatikani kwa sababu ya uwingi wa watu waliokuja kipindi hiki kwa ajili ya hayo maonyesho ya Land-rover?Assalam Aleikum,
Nimekuja Festival toka ijumaa jioni sasa leo kwenye moja-mbili nimeopoa binti Afisa Burudani II nikajiburudishe ila Kondom adimu pharmacy hata maduka madogo ya mitaani (kuanzia stendi kuu, Kijenge hadi Njiro).
Wanadai mzigo ndio umepakiwa Dar unakuja na mabasi ya usiku (kuwasili alfajiri). Imekaaje hii? Niagieni.
Hayo ma festival yatakuja na balaa la kueneza magonjwa.Assalam Aleikum,
Nimekuja Festival toka ijumaa jioni sasa leo kwenye moja-mbili nimeopoa binti Afisa Burudani II nikajiburudishe ila Kondom adimu pharmacy hata maduka madogo ya mitaani (kuanzia stendi kuu, Kijenge hadi Njiro).
Wanadai mzigo ndio umepakiwa Dar unakuja na mabasi ya usiku (kuwasili alfajiri). Imekaaje hii? Niagieni.
Salamu za kigaidiHaikua na haja kuweka salamu ya kiislam kwani hiyo salamu inahimiza amani,sasa kwenye uzinzi kuna amani kweli.
Asihofu apige tu kikubwa amuandae vizuri maana kumwacha Afisa Burudani ataondoka bila kuburudikaInashangaza. Kwa hiyo watu wale mbichi?
Mleta mada ni chaklah alishawai kufumaniwa na mke wA mtu.Haikua na haja kuweka salamu ya kiislam kwani hiyo salamu inahimiza amani,sasa kwenye uzinzi kuna amani kweli.
Alafu watanzania tukiambiwa "Most of the Tanzanians are ill-educated" tunakasirika😀😀Unapata wapi mda wa kuandika useless thread like this, Man?