DOKEZO Uhaba wa Kondom Arusha

DOKEZO Uhaba wa Kondom Arusha

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Assalam Aleikum,
Nimekuja Festival toka ijumaa jioni sasa leo kwenye moja-mbili nimeopoa binti Afisa Burudani II nikajiburudishe ila Kondom adimu pharmacy hata maduka madogo ya mitaani (kuanzia stendi kuu, Kijenge hadi Njiro).

Wanadai mzigo ndio umepakiwa Dar unakuja na mabasi ya usiku (kuwasili alfajiri). Imekaaje hii? Niagieni.
Mkuu, huwa zina adimika hapo Arusha? ama hazipatikani kwa sababu ya uwingi wa watu waliokuja kipindi hiki kwa ajili ya hayo maonyesho ya Land-rover?
 
Assalam Aleikum,
Nimekuja Festival toka ijumaa jioni sasa leo kwenye moja-mbili nimeopoa binti Afisa Burudani II nikajiburudishe ila Kondom adimu pharmacy hata maduka madogo ya mitaani (kuanzia stendi kuu, Kijenge hadi Njiro).

Wanadai mzigo ndio umepakiwa Dar unakuja na mabasi ya usiku (kuwasili alfajiri). Imekaaje hii? Niagieni.
Hayo ma festival yatakuja na balaa la kueneza magonjwa.
 
download (1).jpg
 
Piga kavu kavu bro Chugga sio rahisi kukuta maafisa wa Burudani wagonjwa kama Mwanza.
 
Back
Top Bottom