DOKEZO Uhaba wa Kondom Arusha

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Inashangaza. Kwa hiyo watu wale mbichi?
Hapo ukipiga bila ndom, hayapitia masaa matatu unaanza kupata homa, then ukiend kukojoa dushe linaanza kutoa vitu havielewi tayari Gono hili hapa
 
Msituletee magonjwa asee. Huku sisi ni kisiwa cha amani. Kwani mzee siku 2 tu unashindwa vipi kuvumilia ukarudi kwenu πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
 
Box za Kondom zilipaswa kutangulia kabla ya Land rover
 
Tumia mafuta
 
Poleni sana the republic of chugga, Kuna sovereign state wenzenu nao hili tatizo ni la kawaida sana kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…