Uhaba wa Maji na Umeme ungetokea katika Taifa lenye Raia 'wanaojitambua' la Kenya Rais Ruto asingekuwa anazurula zurula tu kama nzi

Acha hizo.
Kenya kuna ukame mkali kuliko huku kwetu, mifugo n hata wanyama porini wanakufa.
Huyo Ruto kamuulie amefanya nini?
Ukame tu? Nchi kama za Waarabu hawajahi ona mvua tangu wawepo mbona wanaishi? Akili hamna sasa mnaishi kwa kudra za Mungu? Ndio maana wakina Makala wanawaambia ukame haujaletwa na CCM na nyie mnajichekesha tu mlivyo wajinga.
 
Ukame tu? Nchi kama za Waarabu hawajahi ona mvua tangu wawepo mbona wanaishi? Akili hamna sasa mnaishi kwa kudra za Mungu? Ndio maana wakina Makala wanawaambia ukame haujaletwa na CCM na nyie mnajichekesha tu mlivyo wajinga.
Haya sasa Maji hakuna , kwa uzoefu wako nenda kaishi uarabuni.
 


Hiyo nchi ya mabwege naijua kwani Raisi jomokenyatta aliwahi kumwambia Raisi wa kwanza wa hiyo nchi ya mabwege kwamba anaongoza maiti.

Hao mabwege wamekuaje hivyo??-- Chanzo kikuu cha ubwege wao ni siasa mbovu za Rais wao wa kwanza na hata yeye mwenyewe alilijua hilo na katika moja ya hotuba zake baada ya kujiuzulu madaraka (yeye aliita kung'atuka) aliwahi kuomba msamaha kwa Mungu akisema kama ni yeye ndiye aliyewafanya wananchi wake wawe jinsi walivyo (mabwege nk) basi Mungu amsamehe.

Onyo:- sijataja nchi hiyo na wala kiongozi huyo aliyewahi kung'atuka, hivyo tuvumiliane kwa kutoa maoni na mitazamo yetu.
 
Mimi napenda mibwege ipigwe na maisha mpaka ikufe imekua mikondoo mno eti nchi yao inaliwa na machoko wachache tu yenye we mibwege imekaa kimya ngoja ipigike labda kuna siku hiyo mikondoo itajitambua raisi wa mikondoo naomba inyooshe kisawasawa
 
Tatizo la Dar,wahamiaji ni wengi kuliko wazawa wa Dar! Maana wengi walikuja kusoma vyuoni na ndiyo hawakurudi tena Makwao, ndiyo maana Dar kuna watu wengi sana!!
 
Ila hii nchi ya mabwege wao waliambiwa hamieni kule nchi ya burundi, na mabwege yakaishiaa kulalamika.

Mimi ningeishauri hii nchi ya mabwege ibadilishe jina na kuiitwa DANGANYIKA country badala ya ile inayotumia.

Mabwege hayana chachu ya kufikiria kuwa ugumu wa maisha na mwenendo mbovu wa nchi ni matokeo ya ubwege wao..

niko nje ya nchi ya WADANGANYIKA a.k.a "BWEGE LAND", nitarudi kuwasalimia ila soon nitapambana nipate Uraia wa nchii hii niliyomo maana nimechoka kukaa na mabwege.
 
[emoji38][emoji38][emoji38]labda ililaaniwa maana mamtu yake kwanza yanaoneana wivu,chuki,husda na vijicho hacha kabisa limtu lipo tayari mgeni apate nafasi atakama asitahili ila mwenyeji asipate atakama sifa anazo , li nchi la kipumbavu raia wanapenda sana starehe pombe na ngono kuliko kazi ni mavivu ya kutupa,

Li nchi hilo la mabwege lisipo badilika litajikuta lina kizazi cha mabwege pure [emoji108] konk master maana sio kwa ubwege huu yaliyo nao.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…