Uhaba wa Maji na Umeme ungetokea katika Taifa lenye Raia 'wanaojitambua' la Kenya Rais Ruto asingekuwa anazurula zurula tu kama nzi

Uhaba wa Maji na Umeme ungetokea katika Taifa lenye Raia 'wanaojitambua' la Kenya Rais Ruto asingekuwa anazurula zurula tu kama nzi

1. Sishangai sana ndiyo maana hata Kielimu tu Wakenya wamewaacha mbali sana Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.

2. Sishangai sana ndiyo maana hata Kiakili tu Wakenya wamewazidi mbali mno Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.

3. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya ni Watu wenye Kujitambua mno na kujua Haki zao kuliko Raia Mabwege wa nchi nyingine.

4. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya wakitembelea Taifa la Raia Mabwege huwashangaa wanavyochezea Fursa zilizoko na wakiendelea kuwa Masikini.

5. Sishangai sana ndiyo maana hata ukiwa Unasoma na Wakenya Darasa Moja mkiwa Darasani Wao ndiyo hupenda mno Kuuliza Maswali ili kupata Uelewa zaidi kuliko wa Taifa la Mabwege ambao wao hutamani Mwalimu / Mhadhiri amalize Kipindi waende katika Baa kupiga Umbea na Kutongozana.

6. Sishangai sana ndiyo maana hata Police wa Kenya wakienda Kumkamata Mkenya huenda na Adabu zote ila katika Taifa la Mabwege Raia wake hukamatwa kama Kuku tena kwa Kudhalilishwa kutokana na Ubwege Wao.

7. Sishangai sana ndiyo maana hata Rais Ruto wa Kenya ana Nidhamu Kubwa kwa Wakenya anaowaongoza akiamini haongozi Maiti tofauti na ilivyo kwa Rais wa nchi ya Mabwege wengi ambae anawafanya atakavyo akiamini kuwa hawana la Kumfanya na Wataendelea Kuyakumbatia matatizo yao makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini mpaka pale Dunia itakapopinduka.

ONYO

Hapa nimeitaja tu nchi ninayoipenda yenye Watu ( Raia ) Werevu ( Intelligent ) pekee ya Kenya na hiyo nyingine yenye 'Mabwege' wengi sijaitaja na Kwanza nimeshaisahau hivyo Wewe njoo na Kiherehere chako ujifanye unaijua ili ukione cha Moto.
Unauma huku ukipuliza!

Hoja yako jadidifu ni ya kuifanyia mafumbo hii?

Jamani tuacheni mahaba, kama kusema ukweli ni kumkosea mtu, basi mbwai na iwe mbwai, tuache kumumunya maneno.
 
Uhaba wa maji hakuna,ni Dar tu ndio mna hio shida,mna rundikana watu milioni 7 sehemu moja kwa nini msipatwe na ukame,miti mmekata yote

Tokeni huko mje katavi,Acheni kujifanya watu wa mbele kuona magorofa,kuna maisha mazuri maeneo mengine sio Dar tu

Tanzania kuna maji ya kutosha hakuna shida
Hata Dar siyo yote,Mimi Kwetu maji yanatoka kila siku.
 
1. Sishangai sana ndiyo maana hata Kielimu tu Wakenya wamewaacha mbali sana Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.

2. Sishangai sana ndiyo maana hata Kiakili tu Wakenya wamewazidi mbali mno Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.

3. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya ni Watu wenye Kujitambua mno na kujua Haki zao kuliko Raia Mabwege wa nchi nyingine.

4. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya wakitembelea Taifa la Raia Mabwege huwashangaa wanavyochezea Fursa zilizoko na wakiendelea kuwa Masikini.

5. Sishangai sana ndiyo maana hata ukiwa Unasoma na Wakenya Darasa Moja mkiwa Darasani Wao ndiyo hupenda mno Kuuliza Maswali ili kupata Uelewa zaidi kuliko wa Taifa la Mabwege ambao wao hutamani Mwalimu / Mhadhiri amalize Kipindi waende katika Baa kupiga Umbea na Kutongozana.

6. Sishangai sana ndiyo maana hata Police wa Kenya wakienda Kumkamata Mkenya huenda na Adabu zote ila katika Taifa la Mabwege Raia wake hukamatwa kama Kuku tena kwa Kudhalilishwa kutokana na Ubwege Wao.

7. Sishangai sana ndiyo maana hata Rais Ruto wa Kenya ana Nidhamu Kubwa kwa Wakenya anaowaongoza akiamini haongozi Maiti tofauti na ilivyo kwa Rais wa nchi ya Mabwege wengi ambae anawafanya atakavyo akiamini kuwa hawana la Kumfanya na Wataendelea Kuyakumbatia matatizo yao makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini mpaka pale Dunia itakapopinduka.

ONYO

Hapa nimeitaja tu nchi ninayoipenda yenye Watu ( Raia ) Werevu ( Intelligent ) pekee ya Kenya na hiyo nyingine yenye 'Mabwege' wengi sijaitaja na Kwanza nimeshaisahau hivyo Wewe njoo na Kiherehere chako ujifanye unaijua ili ukione cha Moto.
Hauna akili sijui umeandika kutumia nini
 
1. Sishangai sana ndiyo maana hata Kielimu tu Wakenya wamewaacha mbali sana Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.

2. Sishangai sana ndiyo maana hata Kiakili tu Wakenya wamewazidi mbali mno Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.

3. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya ni Watu wenye Kujitambua mno na kujua Haki zao kuliko Raia Mabwege wa nchi nyingine.

4. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya wakitembelea Taifa la Raia Mabwege huwashangaa wanavyochezea Fursa zilizoko na wakiendelea kuwa Masikini.

5. Sishangai sana ndiyo maana hata ukiwa Unasoma na Wakenya Darasa Moja mkiwa Darasani Wao ndiyo hupenda mno Kuuliza Maswali ili kupata Uelewa zaidi kuliko wa Taifa la Mabwege ambao wao hutamani Mwalimu / Mhadhiri amalize Kipindi waende katika Baa kupiga Umbea na Kutongozana.

6. Sishangai sana ndiyo maana hata Police wa Kenya wakienda Kumkamata Mkenya huenda na Adabu zote ila katika Taifa la Mabwege Raia wake hukamatwa kama Kuku tena kwa Kudhalilishwa kutokana na Ubwege Wao.

7. Sishangai sana ndiyo maana hata Rais Ruto wa Kenya ana Nidhamu Kubwa kwa Wakenya anaowaongoza akiamini haongozi Maiti tofauti na ilivyo kwa Rais wa nchi ya Mabwege wengi ambae anawafanya atakavyo akiamini kuwa hawana la Kumfanya na Wataendelea Kuyakumbatia matatizo yao makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini mpaka pale Dunia itakapopinduka.

ONYO

Hapa nimeitaja tu nchi ninayoipenda yenye Watu ( Raia ) Werevu ( Intelligent ) pekee ya Kenya na hiyo nyingine yenye 'Mabwege' wengi sijaitaja na Kwanza nimeshaisahau hivyo Wewe njoo na Kiherehere chako ujifanye unaijua ili ukione cha Moto.
Ukweli mchungu sana, Tanzania CCM inaongoza maiti,
 
Hao wakenya wana maisha magumu kiasi kwamba waliopo hapa Tanzania hawatamani kurudi kwao Kenya
Nyir mna maisha mazuri? Mvona ku a wattu wengi mlo ni mmoja tu usiku? Kubali Tanzania imejaa mazezeta
 
Uhaba wa maji hakuna,ni Dar tu ndio mna hio shida,mna rundikana watu milioni 7 sehemu moja kwa nini msipatwe na ukame,miti mmekata yote

Tokeni huko mje katavi,Acheni kujifanya watu wa mbele kuona magorofa,kuna maisha mazuri maeneo mengine sio Dar tu

Tanzania kuna maji ya kutosha hakuna shida
Huko Katavi still kuna shida zingine Huduma za Afya ni hovyo,
 
Wewe Ni mpumbavu na popoma,huko Kunyaland unakowasifu sio tuu hawana maji,umeme Bali Wana maisha magumu,njaa na mfumuko wa Bei usio mfano..

Sasa Ruto toka kawa Rais anazurula na hawajafanya chochote na Sasa ameanza kusingizia Uhuru na kwenda kinyume na ahadi.

Zaidi ya ulalamishi wa nyie mapopoma usio na msingi Tanzania Hakuna huo ugumu mnaousimulia mitandaoni ndio maana mnapuuzwa kima nyie [emoji116]
Maisha magumu hata Marekani yapo au China
 
Hii ni kweli,Wakenya wanasema TZ maisha ni mepesi,chakula bei chini
Wkend nenda mipakani iliyo karibu na kenya,utashuhudia hiki,wanatoka kwao na familia wanakuja Tz kula maisha,mipakani wkend ni sherehe za kutosha za Wakenya
Pesa yao vipi? Ni sawa na Mzungu aje Tanzania
 
Sasa ile nchi ya upande wa Kushoto wanaakili basi. Sasa hivi wanauza rasilimali kwa fujo eti wanafanya uwekezaji
 
Niliwahi kusikia Kenya mapema tu magazeti yanayoongelea mambo muhimu kusuhu nchi na mambo ya uchumi yanawahi kuisha , lakini nchi nyingine ya udaku na michezo yanapewa kipaumbele kikubwa na raia wake.
Kabisa Kenya unakuta Mama mvoga anasoma Gazeti la Daily Nation la siasa na uchumi, Bongo Magazeti ya Mwanaspot ndio ya kwanza kuisha. Kenya pale namba unakuta Dreva wa Matatu yuko na gazeti la Uchumi na Siasa, Tanzania unakuta Dreva yuko na Mwanasport
 
Wewe Taifa halina Maji, Umeme na Tozo juu ila 'Mibwege' imeridhika na Kunyamaza tu wakati Wenzao Wafaransa mwaka 1789 walifanya Revolution Kubwa iliyowakomboa baada ya Bei ya Mkate kupanda huku kwa Dharau kabisa Mke wa Mfalme Louis XVI aitwae Queen Marie Antoinette akiwaambia kama hawawezi kununua Mkate basi wanunue Keki ambayo ina Gharama mara Saba ( 7 ) ya huo Mkate ambao ndiyo ulikuwa Kimbilio Kuu la Masikini wengi huko ( kule ) kama GENTAMYCINE Mimi.
Huku sio Mabwege kuna Maiti
 
1. Sishangai sana ndiyo maana hata Kielimu tu Wakenya wamewaacha mbali sana Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.

2. Sishangai sana ndiyo maana hata Kiakili tu Wakenya wamewazidi mbali mno Raia wa nchi nyingine yenye Mabwege wengi.

3. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya ni Watu wenye Kujitambua mno na kujua Haki zao kuliko Raia Mabwege wa nchi nyingine.

4. Sishangai sana ndiyo maana Wakenya wakitembelea Taifa la Raia Mabwege huwashangaa wanavyochezea Fursa zilizoko na wakiendelea kuwa Masikini.

5. Sishangai sana ndiyo maana hata ukiwa Unasoma na Wakenya Darasa Moja mkiwa Darasani Wao ndiyo hupenda mno Kuuliza Maswali ili kupata Uelewa zaidi kuliko wa Taifa la Mabwege ambao wao hutamani Mwalimu / Mhadhiri amalize Kipindi waende katika Baa kupiga Umbea na Kutongozana.

6. Sishangai sana ndiyo maana hata Police wa Kenya wakienda Kumkamata Mkenya huenda na Adabu zote ila katika Taifa la Mabwege Raia wake hukamatwa kama Kuku tena kwa Kudhalilishwa kutokana na Ubwege Wao.

7. Sishangai sana ndiyo maana hata Rais Ruto wa Kenya ana Nidhamu Kubwa kwa Wakenya anaowaongoza akiamini haongozi Maiti tofauti na ilivyo kwa Rais wa nchi ya Mabwege wengi ambae anawafanya atakavyo akiamini kuwa hawana la Kumfanya na Wataendelea Kuyakumbatia matatizo yao makubwa Matatu ya Ujinga, Maradhi na Umasikini mpaka pale Dunia itakapopinduka.

ONYO

Hapa nimeitaja tu nchi ninayoipenda yenye Watu ( Raia ) Werevu ( Intelligent ) pekee ya Kenya na hiyo nyingine yenye 'Mabwege' wengi sijaitaja na Kwanza nimeshaisahau hivyo Wewe njoo na Kiherehere chako ujifanye unaijua ili ukione cha Moto.
Acha hizo.
Kenya kuna ukame mkali kuliko huku kwetu, mifugo n hata wanyama porini wanakufa.
Huyo Ruto kamuulie amefanya nini?
 
Back
Top Bottom