Uhaba wa maji UDOM na athari zake...

Uhaba wa maji UDOM na athari zake...

maji ya chumvi ndo tatzo? watoto wa cku hizi wanadeka kweli pamba mtoto wa kiume, mlivyokuwa mnaskia 2naandamana wanafunz wa vyuo huwa mnadharau na wazaz wenu na ku2kejel ovyo.mpambane nashukur nany mmejua vyuo vikuu kuna matatzo kibao
 
​hiyo ya kutupia kwenye dustbin ni mpya kwangu....du
 
maji ya chumvi ndo tatzo? watoto wa cku hizi wanadeka kweli pamba mtoto wa kiume, mlivyokuwa mnaskia 2naandamana wanafunz wa vyuo huwa mnadharau na wazaz wenu na ku2kejel ovyo.mpambane nashukur nany mmejua vyuo vikuu kuna matatzo kibao

So unamshauri aache kudeka apambane na hayo maisha au aandamane like you did! I'm confused
 
we acha pigo za kike km uchafu upo ktk blok lenu,hlf maji ya chumv n mkoa mzima ila km vp ukienda kula kwa wajas maj c ya chumv xna, acha kukipaka matope chuo, choo COed blok Q uwone blok lilivyo safi hadi vyoo, watt wa mama utawajua 2, komaa kijana
 
we acha pigo za kike km uchafu upo ktk blok lenu,hlf maji ya chumv n mkoa mzima ila km vp ukienda kula kwa wajas maj c ya chumv xna, acha kukipaka matope chuo, choo COed blok Q uwone blok lilivyo safi hadi vyoo, watt wa mama utawajua 2, komaa kijana

Duh! Mwandishi huyu ni Msomi wetu aliyeko Chuo Kikuu! Kazi kwelikweli!
 
kata katan

aya tumesikia tutalishughulikia tatizo soon

  • :faint2:
    • :faint2:
      • A%20S%202152.gif





 
Sawa tumewasikieni wanachuo kwa malalamiko yenu kupitia kwa vice UDOM, Ila tungependa nyie msiwe watu wa malalamiko bali wa vitendo. Nchi hii inajijengea tabia ya kulalamika tu mpaka Rais amalalmika.
 
kwani nyie mmeamua tu kuandika uwongo!poleni sana kwa kuwa kipau mbele kuandka yasiyofaa.
 
Yaani tokea tulipooga na kunya jana, leo tumeamku hakuna maji si ya kuoga wala ya kunya, yaani saa hizi nimekaa nawaza niende kula cafe hayo maji ya kunyea nitatoa wapi? maana ukila tu lazima uende chooni kukatwa kidizain fulani, nipo hapa nawaza hata nisipokula kuoga je. waungwana wameshaanza kuyajaza hayo mavi huko vyooni kama kawaida yao hapa Block J ground floor si vyooni hakuna taa kwa hiyo waungwana wanashindana kuyalundika kwa kuwa hakuna mtu anayewaona du! hatari, Hii ndiyo UDOM bwana mbwembwe nyingi kumbe chuo cha kata tu, tulionywa sisi hatukusikia haya sasa mtu mzima nalala na mavi yangu tumboni na nitaamka nayo tu niingie nayo lecture kesho kwenye haya mjengo mazuri ya thietre za education. Ok bwana
 
tafsida ya nini tena, haya mambo ya tasfida ndiyo yanayotuchelewesha maendeleo mpaka hatuelewani, mi spade huwa naiitaga kwa jina lake halisi spade na siyo kijiko kikubwa
 
Kama na wewe ni mwanachuo kweli elimu imechakachuliwa hata kujieleza kwa kiswahili huwezi duh
 
Back
Top Bottom