Uhaba wa maji UDOM na athari zake...

Uhaba wa maji UDOM na athari zake...

Hapa umeleta ili iweje umeshindwa kwenda kwa viongozi wa UDOSO au waden wako jifunze kufata hatua ili utatue tatizo usiwe kama mtoto wa kike unasubiri utatuliwe tatizo
 
Yaani tokea tulipooga na kunya jana, leo tumeamku hakuna maji si ya kuoga wala ya kunya, yaani saa hizi nimekaa nawaza niende kula cafe hayo maji ya kunyea nitatoa wapi? maana ukila tu lazima uende chooni kukatwa kidizain fulani, nipo hapa nawaza hata nisipokula kuoga je. waungwana wameshaanza kuyajaza hayo mavi huko vyooni kama kawaida yao hapa Block J ground floor si vyooni hakuna taa kwa hiyo waungwana wanashindana kuyalundika kwa kuwa hakuna mtu anayewaona du! hatari, Hii ndiyo UDOM bwana mbwembwe nyingi kumbe chuo cha kata tu, tulionywa sisi hatukusikia haya sasa mtu mzima nalala na mavi yangu tumboni na nitaamka nayo tu niingie nayo lecture kesho kwenye haya mjengo mazuri ya thietre za education. Ok bwana

We kweli matunda ya mulugo.
 
Vumilia umalize uondoke.Sisi pia tulivumilia ndugu yangu.Tatizo la maji UDOM halijapata utatuzi wa kudumu.
 
Bongo Bongo tu, serikali ikipewa kumsimamia mtu siku zote majanga, hicho chuo kingebinafsishwa ungeona mtu anavochapa kazi.. Hivi inakuaje shule inakosa maji ya kutosha? na maji ya kunywa inakuaje shule haina Water dispenser? hahaha bongo kushnehi, mtu ajitolee basi kufanya supply ya hii kitu na kufunga system nzima ya maji mashuleni hasa shule za government tuone kama serikali itampa tenda, ikigoma kama vipi awe mpiga kelele hata kwenye vyombo vya habari watu wapige kelele hadi serikali isikie.. Nchi yenye maji ya kutosha lakini kichwa sifuri... tembea nchi ambazo hata maziwa hakuna ila ona system yao ya maji ilivo nzuri utaona aibu kusema mimi mtanzania
 
Tafsida kijana, TAFSIDA *sigh

Tafsida ya nini wewe hujui kunya? Ndo ninyi mnaoita division O kuwa ni Division 5.teh teh teh teh. Akili yako sawa na ya Naibu Waziri mmoja kwenye serikali ya JK aliyeunganisha Tanganyika na Visiwa vya Zimbabwe akapata Tanzania. Yeba.!
 
Tafsida ya nini wewe hujui kunya? Ndo ninyi mnaoita division O kuwa ni Division 5.teh teh teh teh. Akili yako sawa na ya Naibu Waziri mmoja kwenye serikali ya JK aliyeunganisha Tanganyika na Visiwa vya Zimbabwe akapata Tanzania. Yeba.!

Ntakusamehe maana najua both your age and education are the faults. Ila kijana unatakiwa kujua kuwa in public such words are to be concealed sawa, Mchungaji wako au any religious leader au mtu mwenye akili sawa hawezi ongea hayo maneno kwenye kadamnasi ya watu. Na ndo maana mwalimu wako anakufundisha matumizi na faida ya Tafsida.
 
Kijana umenifanya niache Ugali wangu. Arrrrrgggggh
 
Yaani tokea tulipooga na kunya jana, leo tumeamku hakuna maji si ya kuoga wala ya kunya, yaani saa hizi nimekaa nawaza niende kula cafe hayo maji ya kunyea nitatoa wapi? maana ukila tu lazima uende chooni kukatwa kidizain fulani, nipo hapa nawaza hata nisipokula kuoga je. waungwana wameshaanza kuyajaza hayo mavi huko vyooni kama kawaida yao hapa Block J ground floor si vyooni hakuna taa kwa hiyo waungwana wanashindana kuyalundika kwa kuwa hakuna mtu anayewaona du! hatari, Hii ndiyo UDOM bwana mbwembwe nyingi kumbe chuo cha kata tu, tulionywa sisi hatukusikia haya sasa mtu mzima nalala na mavi yangu tumboni na nitaamka nayo tu niingie nayo lecture kesho kwenye haya mjengo mazuri ya thietre za education. Ok bwana
Invisible ni haki hili jukwaa liwe na watu kama hawa??? alafu anajiita mwanachuo!!
 
Last edited by a moderator:
Tafsida ya nini wewe hujui kunya? Ndo ninyi mnaoita division O kuwa ni Division 5.teh teh teh teh. Akili yako sawa na ya Naibu Waziri mmoja kwenye serikali ya JK aliyeunganisha Tanganyika na Visiwa vya Zimbabwe akapata Tanzania. Yeba.!

kwa mtindo huu na mawazo haya sioni umuhimu wa elimu bora wote tuwe wabeba mizigo na wapiga debe!!!
 
Yaani tokea tulipooga na kunya jana, leo tumeamku hakuna maji si ya kuoga wala ya kunya, yaani saa hizi nimekaa nawaza niende kula cafe hayo maji ya kunyea nitatoa wapi? maana ukila tu lazima uende chooni kukatwa kidizain fulani, nipo hapa nawaza hata nisipokula kuoga je. waungwana wameshaanza kuyajaza hayo mavi huko vyooni kama kawaida yao hapa Block J ground floor si vyooni hakuna taa kwa hiyo waungwana wanashindana kuyalundika kwa kuwa hakuna mtu anayewaona du! hatari, Hii ndiyo UDOM bwana mbwembwe nyingi kumbe chuo cha kata tu, tulionywa sisi hatukusikia haya sasa mtu mzima nalala na mavi yangu tumboni na nitaamka nayo tu niingie nayo lecture kesho kwenye haya mjengo mazuri ya thietre za education. Ok bwana

kwa mtindo huu na mawazo haya sioni umuhimu wa elimu bora wote tuwe wabeba mizigo na wapiga debe!!! HOPELESS..
 
Kijana kwakuwa unasomea ualim changamoto kama hzo ni kawaida mana mazngra ya kaz yko yatakuwa hvo so jtahd kuvumilia.
 
Tatizo la maji chuo kikuu cha Dodoma linatesa sana wasomi ambao wapo eneo hili.

Nawaonea huruma sana mabinti na wanawake ambao wapo hapa kwani inafika wakati inawalazimu kutoka nje ya chuo na kwenda kijijini kutafuta maji. Maana hawa wenzetu ni tofauti sana na sisi wanaume!

=======
Oktoba 20, 2013


Oktoba 22, 2013


Kweli kabisa maji muhimu kwa dada ambao wapo katika siku zao.
 
Acha kuaibisha chuo ww,haya sio mambo ya kuweka hapa

Watu kama nyie ndio mnaofanya udom idharaulike,sasa hili nalo ni suala la kuleta humu jf,kwa nin msilimalize nyie pamoja na viongozi wenu huko?

nyie vijana mna matatizo yenu binafsi! hivi mada kama hii ikijadiliwa hapa kuna kosa gani??

hivi hamjui kwamba maji ndio kila kitu katika maisha ya mwanadamu? au mlitaka alete topic za kipuuzi za kupambanisha vyuo mlizozizoea? ... pumb.avuuuuuuuuu!!!
 
Naona kijana umekosa cha kuandika, mm nipo mwaka wa pili na cjawahi kuona shda ya maji km unavyoipigia debe hapa jukwaani, kama ndo umekuja jaribu kuuliza kuwa watu wanaishije ndo utafute cha kuandika nasio kukurupuka na kuandika upuuzi wako kama huu!!!
 
Back
Top Bottom