kajiasalim
Member
- Oct 1, 2012
- 10
- 0
!!!!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani tokea tulipooga na kunya jana, leo tumeamku hakuna maji si ya kuoga wala ya kunya, yaani saa hizi nimekaa nawaza niende kula cafe hayo maji ya kunyea nitatoa wapi? maana ukila tu lazima uende chooni kukatwa kidizain fulani, nipo hapa nawaza hata nisipokula kuoga je. waungwana wameshaanza kuyajaza hayo mavi huko vyooni kama kawaida yao hapa Block J ground floor si vyooni hakuna taa kwa hiyo waungwana wanashindana kuyalundika kwa kuwa hakuna mtu anayewaona du! hatari, Hii ndiyo UDOM bwana mbwembwe nyingi kumbe chuo cha kata tu, tulionywa sisi hatukusikia haya sasa mtu mzima nalala na mavi yangu tumboni na nitaamka nayo tu niingie nayo lecture kesho kwenye haya mjengo mazuri ya thietre za education. Ok bwana
Tafsida kijana, TAFSIDA *sigh
Tafsida ya nini wewe hujui kunya? Ndo ninyi mnaoita division O kuwa ni Division 5.teh teh teh teh. Akili yako sawa na ya Naibu Waziri mmoja kwenye serikali ya JK aliyeunganisha Tanganyika na Visiwa vya Zimbabwe akapata Tanzania. Yeba.!
Invisible ni haki hili jukwaa liwe na watu kama hawa??? alafu anajiita mwanachuo!!Yaani tokea tulipooga na kunya jana, leo tumeamku hakuna maji si ya kuoga wala ya kunya, yaani saa hizi nimekaa nawaza niende kula cafe hayo maji ya kunyea nitatoa wapi? maana ukila tu lazima uende chooni kukatwa kidizain fulani, nipo hapa nawaza hata nisipokula kuoga je. waungwana wameshaanza kuyajaza hayo mavi huko vyooni kama kawaida yao hapa Block J ground floor si vyooni hakuna taa kwa hiyo waungwana wanashindana kuyalundika kwa kuwa hakuna mtu anayewaona du! hatari, Hii ndiyo UDOM bwana mbwembwe nyingi kumbe chuo cha kata tu, tulionywa sisi hatukusikia haya sasa mtu mzima nalala na mavi yangu tumboni na nitaamka nayo tu niingie nayo lecture kesho kwenye haya mjengo mazuri ya thietre za education. Ok bwana
Tafsida ya nini wewe hujui kunya? Ndo ninyi mnaoita division O kuwa ni Division 5.teh teh teh teh. Akili yako sawa na ya Naibu Waziri mmoja kwenye serikali ya JK aliyeunganisha Tanganyika na Visiwa vya Zimbabwe akapata Tanzania. Yeba.!
Yaani tokea tulipooga na kunya jana, leo tumeamku hakuna maji si ya kuoga wala ya kunya, yaani saa hizi nimekaa nawaza niende kula cafe hayo maji ya kunyea nitatoa wapi? maana ukila tu lazima uende chooni kukatwa kidizain fulani, nipo hapa nawaza hata nisipokula kuoga je. waungwana wameshaanza kuyajaza hayo mavi huko vyooni kama kawaida yao hapa Block J ground floor si vyooni hakuna taa kwa hiyo waungwana wanashindana kuyalundika kwa kuwa hakuna mtu anayewaona du! hatari, Hii ndiyo UDOM bwana mbwembwe nyingi kumbe chuo cha kata tu, tulionywa sisi hatukusikia haya sasa mtu mzima nalala na mavi yangu tumboni na nitaamka nayo tu niingie nayo lecture kesho kwenye haya mjengo mazuri ya thietre za education. Ok bwana
Tatizo la maji chuo kikuu cha Dodoma linatesa sana wasomi ambao wapo eneo hili.
Nawaonea huruma sana mabinti na wanawake ambao wapo hapa kwani inafika wakati inawalazimu kutoka nje ya chuo na kwenda kijijini kutafuta maji. Maana hawa wenzetu ni tofauti sana na sisi wanaume!
=======
Oktoba 20, 2013
Oktoba 22, 2013
Acha kuaibisha chuo ww,haya sio mambo ya kuweka hapa
Watu kama nyie ndio mnaofanya udom idharaulike,sasa hili nalo ni suala la kuleta humu jf,kwa nin msilimalize nyie pamoja na viongozi wenu huko?