Uhaba wa walimu katika shule za msingi hasa vijijini utakuja kutugharimu sana muda si mrefu

Uhaba wa walimu katika shule za msingi hasa vijijini utakuja kutugharimu sana muda si mrefu

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Shule za vijijini ni kawaida kukuta darasa lina watoto 120 mwalimu ni mmoja na hapo hilo darasa imebidi ligawanywe kati kati nusu wanakuja asubuhi na nusu wanakuja mchana kwasababu vyumba vya madarasa havitoshi na walimu pia hakuna.

Mapokeo ya watoto ni tofauti, kuna wale wepesi kuelewa, wengine wanapata msaada nyumbani kutoka kwa wazazi au kaka na dada waliowatangulia. Kuna wale ambao wazazi wao pia hawakunufaika na elimu na uwezo wa kuwasaidia watoto wao hawana. Wazazi wengine wana majukumu mengi ya kujenga Taifa muda wa kukaa na watoto wao hawana kabisawau ni mdogo sana. Mwalimu mwenye darasa la watoto 120+ anawezaje kuwapa msaada wa ziada wale waliojiweza au walio nyuma ya viwango!

Unakutana na kijana anashindwa kutumia smart phone kwakua hawezi kusoma na kuandika. Ana simu yake Twanga Pepeta ambayo namba zake za muhimu ziko saved anajua kuminya button ya kijani na nyekundu. Kijana wa aina hii ni rahisi kufanyiwa vitendo vya kiutapeli kwakua hajui dunia inaendaje zaidi ya kusikia habari za kijiweni.

Huko elimu ilikoanzia mwanzo waliitoa kwa watoto wa matajiri tu, mwisho waligundua universe ikijua kusoma na kuandika faida ya biashara zao itakua kubwa, na hata kuielimisha jamii katika maswala ya uchumi, afya na siasa ni rahisi.

Tujiandae kusomea watoto wetu mabango ya mabasi mtu anakwenda Mwenge anayajua mabasi kwa alama. Yakiwa mawili sehemu moja inabidi aulize hata kama kibao cha Mwenge kipo.
 
Wewe unasemea Kijiji huku mjini umeona palivyo? Bora Kijiji watoto wachache wewe umewah kuona wap form one wanakuwa 1000 na hakuna nyongeza ya walimu kila siku tumeomba kibali
 
Shule za vijijini ni kawaida kukuta darasa lina watoto 120 mwalimu ni mmoja na hapo hilo darasa imebidi ligawanywe kati kati nusu wanakuja asubuhi na nusu wanakuja mchana kwasababu vyumba vya madarasa havitoshi na walimu pia hakuna.

Mapokeo ya watoto ni tofauti, kuna wale wepesi kuelewa, wengine wanapata msaada nyumbani kutoka kwa wazazi au kaka na dada waliowatangulia. Kuna wale ambao wazazi wao pia hawakunufaika na elimu na uwezo wa kuwasaidia watoto wao hawana. Wazazi wengine wana majukumu mengi ya kujenga Taifa muda wa kukaa na watoto wao hawana kabisawau ni mdogo sana. Mwalimu mwenye darasa la watoto 120+ anawezaje kuwapa msaada wa ziada wale waliojiweza au walio nyuma ya viwango!

Unakutana na kijana anashindwa kutumia smart phone kwakua hawezi kusoma na kuandika. Ana simu yake Twanga Pepeta ambayo namba zake za muhimu ziko saved anajua kuminya button ya kijani na nyekundu. Kijana wa aina hii ni rahisi kufanyiwa vitendo vya kiutapeli kwakua hajui dunia inaendaje zaidi ya kusikia habari za kijiweni.

Huko elimu ilikoanzia mwanzo waliitoa kwa watoto wa matajiri tu, mwisho waligundua universe ikijua kusoma na kuandika faida ya biashara zao itakua kubwa, na hata kuielimisha jamii katika maswala ya uchumi, afya na siasa ni rahisi.

Tujiandae kusomea watoto wetu mabango ya mabasi mtu anakwenda Mwenge anayajua mabasi kwa alama. Yakiwa mawili sehemu moja inabidi aulize hata kama kibao cha Mwenge kipo.
Mtoa maada serikali imejenga madarasa 15000 juzi tu

Kuhusu uhaba serikali imesema inafanya msawazo kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada utaambiwa unataka ajira ya ualimu, 'jiajiri'.ndipo tulipofikia,mwehu mmoja mjengoni alisikika akisema "walimu wafundishe masomo matano,tutaanjili wangapi?"
 
Nilienda shule moja ipo mjini kabisa ina wanafunzi wengi sana ila walimu wapo wachache mno. Ile shule ina takribani wanafunzi 1,500 na walimu 19 tu.
 
Nilienda shule moja ipo mjini kabisa ina wanafunzi wengi sana ila walimu wapo wachache mno. Ile shule ina takribani wanafunzi 1,500 na walimu 19 tu.
19 mbona wengi mkuu.

Kuna shule ina 2000+ walimu 8 tu
 
Shule za vijijini ni kawaida kukuta darasa lina watoto 120 mwalimu ni mmoja na hapo hilo darasa imebidi ligawanywe kati kati nusu wanakuja asubuhi na nusu wanakuja mchana kwasababu vyumba vya madarasa havitoshi na walimu pia hakuna.

Mapokeo ya watoto ni tofauti, kuna wale wepesi kuelewa, wengine wanapata msaada nyumbani kutoka kwa wazazi au kaka na dada waliowatangulia. Kuna wale ambao wazazi wao pia hawakunufaika na elimu na uwezo wa kuwasaidia watoto wao hawana. Wazazi wengine wana majukumu mengi ya kujenga Taifa muda wa kukaa na watoto wao hawana kabisawau ni mdogo sana. Mwalimu mwenye darasa la watoto 120+ anawezaje kuwapa msaada wa ziada wale waliojiweza au walio nyuma ya viwango!

Unakutana na kijana anashindwa kutumia smart phone kwakua hawezi kusoma na kuandika. Ana simu yake Twanga Pepeta ambayo namba zake za muhimu ziko saved anajua kuminya button ya kijani na nyekundu. Kijana wa aina hii ni rahisi kufanyiwa vitendo vya kiutapeli kwakua hajui dunia inaendaje zaidi ya kusikia habari za kijiweni.

Huko elimu ilikoanzia mwanzo waliitoa kwa watoto wa matajiri tu, mwisho waligundua universe ikijua kusoma na kuandika faida ya biashara zao itakua kubwa, na hata kuielimisha jamii katika maswala ya uchumi, afya na siasa ni rahisi.

Tujiandae kusomea watoto wetu mabango ya mabasi mtu anakwenda Mwenge anayajua mabasi kwa alama. Yakiwa mawili sehemu moja inabidi aulize hata kama kibao cha Mwenge kipo.
Bila walimu elimu ni shida. Kwa ujumla tuna shida na upungufu wa walimu ni kila level hata kama haisemwi. Hata huko vyuo vikuu ni shida. Tunatakiwa kua na mtazamo mpya kuhusu elimu na uwekezaji mkubwa unahitajika kwenye hii sector. Katika hili walimu iwe kitu cha kwanza kufikiriwa. Walimu wenye ujuzi ambao wata amini jukumu lao la kwanza ni kufundisha. Hapa ni kuwa na mishahara inayovutia na kufanya ualimu uwe kazi inayoheshimika na kupendwa. Tukiwa na mfumo mzuri wa elimu huko mbeleni tutaweza hata ku_eport wataalamu. Kila mtoto wa Tanzania anastahili elimu bora ya viwango. Kipaumbele chetu kiwe ELIMU ELIMU ELIMU NA ELIMU.
 
Back
Top Bottom