Tetesi: Uhakiki: Maprofesa UDSM washindwa kuwasilisha vyeti vya sekondari,wawa wakali

Tetesi: Uhakiki: Maprofesa UDSM washindwa kuwasilisha vyeti vya sekondari,wawa wakali

yaan mm nisome kuanzia chekechea mpaka university.

Halaf ww u forge vyeti, utumie cha mdogo wako au cha uncle wako halafu unasema upo sahihi. Ww ni mwizi km wenz wengine. Mnapokonya haki za watu.

Utakuta mtu uliyesoma naye anaitwa Lucas mwenda unakuja kushangaa mnakutana chuo eti anaitwa Peter kisamvu unabaki kushangaa tu.

Km zoez hili liko serious wengi wataimba namba. Tena kweny sector ya afya, elimu, army, police na politicians humo kuna majipu yamevaa kinoma.

Ila sipati picha wanaotumia vyeti vya kuforge hali ikoje kwao hiv ukiangalia life kitaa lilivyogumu duh!
Na mawaziri na manaibu waziri nao wataulizwa vyeti vyao?
 
Kama ni kweli wapo watoto walioonewa na kutupwa nje kielemu na wao kuendelea bora yule sos wa umeme ambaye machache alimsema kuwa karudia mara tatu leo ni professa??!!!
Hapa ndio naona shida ya uelewa wa watu!Huyo unayemsema au mwingine yoyote aliyerudia hata mara kumi ili afaulu hakutaka kutumia maksi za mtu mwingine!Alihakikisha anatumia haki yake kupata kilichomstahili mpk akaridhika!Mtu aliyerudia darasa la saba obviously marks ni zake na alaifaulu!
 
Kuna mbunge mmoja ninayemjua 100% aliishia kidato cha pili Kenya anatapika sana ung'eng'e lakini kwenye CV yake ameandika ana elimu ya kidato cha sita kutoka shule moja ya kanda ya kati. Nasubiri nione kama kwenye uhakiki huu kweli watamgundua.
duh
 
Back
Top Bottom