Tetesi: Uhakiki: Maprofesa UDSM washindwa kuwasilisha vyeti vya sekondari,wawa wakali

Tetesi: Uhakiki: Maprofesa UDSM washindwa kuwasilisha vyeti vya sekondari,wawa wakali

Cheti cha sekondari ndicho hasa hutumika kupata kozi za juu.Inawezekena kikatumika cheti feki kupata kozi/ajira.
 
Kwa aliyesoma ndani ya nchi, cheti cha form IV ndiyo kikamatio kikubwa. Wabanwe hapo waonyeshe cheticha form four.
 
Kama ni kweli wapo watoto walioonewa na kutupwa nje kielemu na wao kuendelea bora yule sos wa umeme ambaye machache alimsema kuwa karudia mara tatu leo ni professa??!!!
Lugha ngumu kweli kuielewa ila nashukuru nimekuelewa[emoji106]
 
Unaweza kutathimini uwezo wa katika kazi yake ukaridhika na unaweza kukagua vyeti ukafurahi lakini ufanisi wa kazi ukawa hovyo.
 
Hili zoezi litaondoa wengi katika nafasi zao. Huko maofisini matumbo joto.!
 
Unajua hii kitu ni changamoto kubwa sana. Wengi wa wafanyakazi wameingia makazini kwa figisu figisu. Ukisema ukague vyeti......kutakuwa na vilio na kusema meno. Lakini lazima tuanzie somewhere...tujifunze kula kwa jasho. Kama huna cheti basi urudi shule ukitafute.
Nasikia kuna baadhi ya ofisi watu wamekimbia kwa kuhofia hiyo
 
Ni sahihi, kwani nafasi walizonazo waliziomba kwa kutumia vyeti vya sekondari?
 
lazima wawe wakali sababu miaka yao wengi walisoma kwa kuunga unga and wengine walisoma nje ya nchi bila kuzingatia elimu waliokuwa nayo sekondari! kuna true story ya mtu mmoja sasaivi ni Prof pale SUA but hapo kabla alifika la saba then akaajiriwa shamba boy na mwingereza moja then baadae alimpleka uingereza akaaza course ya certificate akapiga diploma then degree and kwa ufaulu wake alipokuwa masters wamlipaga Phd moja kwa moja! ila kupewa Phd bila kufanya masters sio tatizo,ni kawaida! ila washkaji wake walikuja juu baada ya mshkaji wao baada ya kuishi uigereza kama 8 years karudi ana Phd na wanamkumbuka vyema kwamba kaishia la saba! and alikuwa shamba boy!
so usiwashangae sana na wao ndio wale wale! sema tunawahe
hata gavana wa zamani wa bot alianzia ufagizi mpaka dk
 
Yanini kumuuliza graduate / Doctor / au professor cheti cha secondary ? sioni sababu ya kutaka vyeti vya secondary , cheti chake cha chuo ndio muhimu.
 
lazima wawe wakali sababu miaka yao wengi walisoma kwa kuunga unga and wengine walisoma nje ya nchi bila kuzingatia elimu waliokuwa nayo sekondari! kuna true story ya mtu mmoja sasaivi ni Prof pale SUA but hapo kabla alifika la saba then akaajiriwa shamba boy na mwingereza moja then baadae alimpleka uingereza akaaza course ya certificate akapiga diploma then degree and kwa ufaulu wake alipokuwa masters wamlipaga Phd moja kwa moja! ila kupewa Phd bila kufanya masters sio tatizo,ni kawaida! ila washkaji wake walikuja juu baada ya mshkaji wao baada ya kuishi uigereza kama 8 years karudi ana Phd na wanamkumbuka vyema kwamba kaishia la saba! and alikuwa shamba boy!
so usiwashangae sana na wao ndio wale wale! sema tunawahe
Hilo siyo tatizo, tatizo ni huyo mkurupukaji amekariri.
 
NI kweli formation ya ukaguzi ingeanza hivyo.Lakini ni vizuri zaidi ikaanzia chini kwenda juu.
 
Hoja yenu haijaeleweka. Ungehoji je, hiyo PhD kaisomea kweli au hapana. Mengine yote ni blabla tu.
Hapana, elimu ina steps na katika msingi hasa secondary school huwezi kuruka step!
Kwanini basi kuna uhakiki, si watu wangeangaliwa tu kama wanamudu kazi au la! What is the use ya kuangalia vyeti wakati we unachohitaji ni matokeo mazuri ya kazi!
 
Back
Top Bottom