...Uhali gani ...

Hahahahaha...dah utofauti upo sana Mkuu..hata wewe unauona huo utofauti

Kipindi hicho niko kijana ..sishikiki $ kama zote ..full bata ..huu uzi nilikua nachombeza chombeza
 
🤣🤣🤣🤣Kama Hadi Tresor Mandala niliyekuwa namuamini Leo nimebamba Uzi wake,,,wewe legendary Uzi wako inawezekana ulishaunganishwa kule kwenye Uzi wa kimasihara 😃😃😃
Sina uzi wowote legend, halafu humu mabazazi mbona walijulikana miaka hiyo, mimi na Tresor Mandala tulikuwa watulivu sana, hivi karibuni ndio kuna wapumbavu wanataka kutuchafua🤣🤣
 
Sina uzi wowote legend, halafu humu mabazazi mbona walijulikana miaka hiyo, mimi na @trestukikuwa watulivu sana, hivi karibuni ndio kuna wapumbavu wanataka kutuchafua🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wana secret agenda Gani hao kuwaharibia brand zenu mlizozijenga mda mrefu?
 
🤣🤣🤣🤣Kama Hadi Tresor Mandala niliyekuwa namuamini Leo nimebamba Uzi wake,,,wewe legendary Uzi wako inawezekana ulishaunganishwa kule kwenye Uzi wa kimasihara 😃😃😃
Hahahahaha kuniamini ktk nini ? Mie humu nina nyuzi km sikoe 4 za miaka hiyo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…