Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
- Thread starter
-
- #81
Hahahahaha...dah utofauti upo sana Mkuu..hata wewe unauona huo utofautiMkuu, kwa sasa umezeeka sana, si ndio? Hivi ule ujana wa kipindi hicho bado unauhishi hadi leo? Au ndo hivyo umewaachia vijana!?
Unauzungumziaje utofauti wa kimaisha enzi zile unaanzisha uzi huu na sasa? Au ulianzisha huu uzi ukiwa kachalii ka miaka 9 kwenda kwa Maua Evalist?
Mzee mwenzangu naona unanicheka🤣🤣🤣🤣Hahahahaha
Hahahahaha...nafurahi mzee mwenzangu..huu uzi sijui nani kakurupuaMzee mwenzangu naona unanicheka🤣🤣🤣🤣
Ulikuwa bazazi la kua mtu🤣🤣🤣Hahahahaha...nafurahi mzee mwenzangu..huu uzi sijui nani kakurupua
Hahahahaha..hapana mie sikua bazaz kbs..ma bazazi wanajulikana ..mie mpole na mtulivu siku zoteUlikuwa bazazi la kua mtu🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Mnajuana enzi za ujana wenuMzee mwenzangu naona unanicheka🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Kama Hadi Tresor Mandala niliyekuwa namuamini Leo nimebamba Uzi wake,,,wewe legendary Uzi wako inawezekana ulishaunganishwa kule kwenye Uzi wa kimasihara 😃😃😃sumbai ananisingizia Jo, sijawahi kuwa bazazi...🤣🤣
Sina uzi wowote legend, halafu humu mabazazi mbona walijulikana miaka hiyo, mimi na Tresor Mandala tulikuwa watulivu sana, hivi karibuni ndio kuna wapumbavu wanataka kutuchafua🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama Hadi Tresor Mandala niliyekuwa namuamini Leo nimebamba Uzi wake,,,wewe legendary Uzi wako inawezekana ulishaunganishwa kule kwenye Uzi wa kimasihara 😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wana secret agenda Gani hao kuwaharibia brand zenu mlizozijenga mda mrefu?Sina uzi wowote legend, halafu humu mabazazi mbona walijulikana miaka hiyo, mimi na @trestukikuwa watulivu sana, hivi karibuni ndio kuna wapumbavu wanataka kutuchafua🤣🤣
Hahahahaha..huuu ukorofi
Hahahahaha kuniamini ktk nini ? Mie humu nina nyuzi km sikoe 4 za miaka hiyo....🤣🤣🤣🤣Kama Hadi Tresor Mandala niliyekuwa namuamini Leo nimebamba Uzi wake,,,wewe legendary Uzi wako inawezekana ulishaunganishwa kule kwenye Uzi wa kimasihara 😃😃😃
Utulivu huna mambo mengi zaidi ya kucheka tu😁😁😁Hahahahaha kuniamini ktk nini ? Mie humu nina nyuzi km sikoe 4 za miaka hiyo....
Hahaha, kuijenga brand inachukua mda sana ila kuibomoa ni uzi mmoja tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wana secret agenda Gani hao kuwaharibia brand zenu mlizozijenga mda mrefu?
Dada mstiri mkubwa mwenzio, ujue huyo mtu mzima mwenzio anakuelewaga ni vile anaogopa kufunguka……😂😂😂😂😂
Hahahahaha...mimi ni mtulivu sana..kucheka ni kufurahi tu..sina stress mimi na sipo humu kununa RafikiUtulivu huna mambo mengi zaidi ya kucheka tu😁😁😁
Humu siku hz za mburula wengi🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wana secret agenda Gani hao kuwaharibia brand zenu mlizozijenga mda mrefu?