...Uhali gani ...

...Uhali gani ...

Mkuu, kwa sasa umezeeka sana, si ndio? Hivi ule ujana wa kipindi hicho bado unauhishi hadi leo? Au ndo hivyo umewaachia vijana!?

Unauzungumziaje utofauti wa kimaisha enzi zile unaanzisha uzi huu na sasa? Au ulianzisha huu uzi ukiwa kachalii ka miaka 9 kwenda kwa Maua Evalist?
Hahahahaha...dah utofauti upo sana Mkuu..hata wewe unauona huo utofauti

Kipindi hicho niko kijana ..sishikiki $ kama zote ..full bata ..huu uzi nilikua nachombeza chombeza
 
🤣🤣🤣🤣Kama Hadi Tresor Mandala niliyekuwa namuamini Leo nimebamba Uzi wake,,,wewe legendary Uzi wako inawezekana ulishaunganishwa kule kwenye Uzi wa kimasihara 😃😃😃
Sina uzi wowote legend, halafu humu mabazazi mbona walijulikana miaka hiyo, mimi na Tresor Mandala tulikuwa watulivu sana, hivi karibuni ndio kuna wapumbavu wanataka kutuchafua🤣🤣
 
Sina uzi wowote legend, halafu humu mabazazi mbona walijulikana miaka hiyo, mimi na @trestukikuwa watulivu sana, hivi karibuni ndio kuna wapumbavu wanataka kutuchafua🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wana secret agenda Gani hao kuwaharibia brand zenu mlizozijenga mda mrefu?
 
🤣🤣🤣🤣Kama Hadi Tresor Mandala niliyekuwa namuamini Leo nimebamba Uzi wake,,,wewe legendary Uzi wako inawezekana ulishaunganishwa kule kwenye Uzi wa kimasihara 😃😃😃
Hahahahaha kuniamini ktk nini ? Mie humu nina nyuzi km sikoe 4 za miaka hiyo....
 
Back
Top Bottom