Wewe mstaarabu wenzio wanatuitaga sisi wafupi kama mitungi ya orxy🤦Hahahaha..yaani nibishane humu ? Rafiki humu tuko ku enjoy....humu nyote nyie ni dada zangu 🤣🤣🤣
Ndio maana huwa nafurahi tuNi kweli kabisa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ngoja nije hukohuko tutajuaHahahahaha...PM tena.? Tunajenga nini ? Rafiki kwani kuna palipo bomoka ?
😂😂😂 Afungue pm papaa wana wa Israel wakamuhubirie habari njema za farangaEeeeh Bora umwambie wewe maana nishamuomba niende PM tukayajenge kagoma aiseee🙇
Hahahahahaha...ila na nyie huwa mnatuitaga majina yote tena hadi dah...Wewe mstaarabu wenzio wanatuitaga sisi wafupi kama mitungi ya orxy🤦
Hahahahaha....🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ngoja nije hukohuko tutajua
Sema dada umemkazia mpk anaona aibu 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ngoja nije hukohuko tutajua
Hahahahaha...imefungwa km nyie mlivyofunga😂😂😂 Afungue pm papaa wana wa Israel wakamuhubirie habari njema za faranga
Papaa karibisha mgeni pm 😂😂😂Hahahahaha....
HahahahahaSema dada umemkazia mpk anaona aibu 😂😂😂
Ww nenda pm uone km ataongea yote anayoongea hapa
Hivi unajua Mgeni njoo mwenyeji apone ?Papaa karibisha mgeni pm 😂😂😂
😂😂😂 Sasa ww pm unafunga ya kazi gani??Hahahahaha...imefungwa km nyie mlivyofunga
Hahahahaha..kwani nyie mnafunga kwann ?😂😂😂 Sasa ww pm unafunga ya kazi gani??
Hebu fungua da Joa kuna habari njema anataka kukupa
Sisy una mineno 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣Haina maana kufa tai wakati itavuliwa tu utavishwa sanda
Ewaaaah! Haya da Joa kazi kwako 😂😂😂Hivi unajua Mgeni njoo mwenyeji apone ?
Hahahahaha...hatoaminiEwaaaah! Haya da Joa kazi kwako 😂😂😂
Nipo my ❤️✌️We kijana wa kambo upo?
Hebu niulizie vizuri🤣😂😂😂 Sasa ww pm unafunga ya kazi gani??
Hebu fungua da Joa kuna habari njema anataka kukupa
🤣🤣🤣🤣Huwezi nifukuza bwana we mkarimu acha kuiga wenye roho mbayaHahahahaha...hatoamini
Hahahahaha..kukufukuza siwezi na kuja pia huwezi..so tubaki hapa tufurahi ..tutoe stress na tu enjoy🤣🤣🤣🤣Huwezi nifukuza bwana we mkarimu acha kuiga wenye roho mbaya