...Uhali gani ...

...Uhali gani ...

We Gily Gru imekuaje umepekenyua huu uzi? Ulikuwa unatafuta tafuta nini?[emoji23]

Anyway, kijiti kimekuangukia. Na Tresor Mandala amejipatia umaarufu kupitia hapa[emoji23] Hatimaye wana MMU, wazee wa kimasihara tumepata kumfahamu Mzee wa kupambania wa kipindi hicho. Nautabiria huu uzi kwenda mbali sana kama ulivyo uzi wa kimasihara wa rikiboy

Mpenzi Mahondaw ,na wewe tengeneza ka uzi ka akiba ili ufikapo mwaka 2044 kapate mchangiaji wa kwanza, muda huo u bibi kizee unatusimulia uwepo wa mzabzab miaka kama 20 iliyopita
 
We Gily Gru imekuaje umepekenyua huu uzi? Ulikuwa unatafuta tafuta nini?[emoji23]

Anyway, kijiti kimekuangukia. Na Tresor Mandala amejipatia umaarufu kupitia hapa[emoji23] Hatimaye wana MMU, wazee wa kimasihara tumepata kumfahamu Mzee wa kupambania wa kipindi hicho. Nautabiria huu uzi kwenda mbali sana kama ulivyo uzi wa kimasihara wa rikiboy

Mpenzi Mahondaw ,na wewe tengeneza ka uzi ka akiba ili ufikapo mwaka 2044 kapate mchangiaji wa kwanza, muda huo u bibi kizee unatusimulia uwepo wa mzabzab miaka kama 20 iliyopita
Hahaha
Nilikuwa nasikiliza Wimborne wa U hali gani. Nikajaribu kutafuta lyrics zake online nikakutana na post hii

Hakika ujumbe umetulia sana
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama Hadi Tresor Mandala niliyekuwa namuamini Leo nimebamba Uzi wake,,,wewe legendary Uzi wako inawezekana ulishaunganishwa kule kwenye Uzi wa kimasihara [emoji2][emoji2][emoji2]
Sina uzi wowote legend, halafu humu mabazazi mbona walijulikana miaka hiyo, mimi na Tresor Mandala tulikuwa watulivu sana, hivi karibuni ndio kuna wapumbavu wanataka kutuchafua[emoji1787][emoji1787]
Wanaotaka kuchafua washindwe mara moja Kwa jina la yeye mwenye nguvu
 
Back
Top Bottom