Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣🤣Hamna hakiharibiki kitu hapa tupo masteringi wawili...Hahahahaha...huwa mnaharibu kama hv mkijua mnajenga ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Hamna hakiharibiki kitu hapa tupo masteringi wawili...Hahahahaha...huwa mnaharibu kama hv mkijua mnajenga ...
Hahahahahaha...hakuna kitu sipendi kama hicho..hadi hapo nishakutoa vyeo kadhaa..kumbe ndio wale wale..kwaheri siku njema🤣🤣🤣🤣Hamna hakiharibiki kitu hapa tupo masteringi wawili...
Kuna ID sipendi kabisa kuwa na ukaribu nazo ila ni vile tu tuko ktk kufurahi🤣🤣🤣🤣Hamna hakiharibiki kitu hapa tupo masteringi wawili...
Hadi wewe umesema!NIMEKUELEWA SANA.Kuna ID sipendi kabisa kuwa na ukaribu nazo ila ni vile tu tuko ktk kufurahi
🙆🙆🙆Byeeeee....nitakumissHahahahahaha...hakuna kitu sipendi kama hicho..hadi hapo nishakutoa vyeo kadhaa..kumbe ndio wale wale..kwaheri siku njema
HahahaWe Gily Gru imekuaje umepekenyua huu uzi? Ulikuwa unatafuta tafuta nini?[emoji23]
Anyway, kijiti kimekuangukia. Na Tresor Mandala amejipatia umaarufu kupitia hapa[emoji23] Hatimaye wana MMU, wazee wa kimasihara tumepata kumfahamu Mzee wa kupambania wa kipindi hicho. Nautabiria huu uzi kwenda mbali sana kama ulivyo uzi wa kimasihara wa rikiboy
Mpenzi Mahondaw ,na wewe tengeneza ka uzi ka akiba ili ufikapo mwaka 2044 kapate mchangiaji wa kwanza, muda huo u bibi kizee unatusimulia uwepo wa mzabzab miaka kama 20 iliyopita
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama Hadi Tresor Mandala niliyekuwa namuamini Leo nimebamba Uzi wake,,,wewe legendary Uzi wako inawezekana ulishaunganishwa kule kwenye Uzi wa kimasihara [emoji2][emoji2][emoji2]
Wanaotaka kuchafua washindwe mara moja Kwa jina la yeye mwenye nguvuSina uzi wowote legend, halafu humu mabazazi mbona walijulikana miaka hiyo, mimi na Tresor Mandala tulikuwa watulivu sana, hivi karibuni ndio kuna wapumbavu wanataka kutuchafua[emoji1787][emoji1787]
Amin mkuu.Wanaotaka kuchafua washindwe mara moja Kwa jina la yeye mwenye nguvu
Hahahahaha...🙆🙆🙆Byeeeee....nitakumiss
🤣🤣🤣Huyo mwenye nguvu ni nani?Wanaotaka kuchafua washindwe mara moja Kwa jina la yeye mwenye nguvu
Ulivyoitikia Kwa msisitizo legendary😁😁😁😁Amin mkuu.
🤣🤣🤣Acha tu ndugu yangu, wamefanya hata kumzukia legend pm nikashindwa..🤣🤣Ulivyoitikia Kwa msisitizo legendary😁😁😁😁
Umewaogopa kwani🤔🤔?malegendary wanakuwaga mashujaa bhana,hebu njoo chap kwa haraka🤣!🤣🤣🤣Acha tu ndugu yangu, wamefanya hata kumzukia legend pm nikashindwa..🤣🤣
Nawaogopa utadhani nawajua🤣🤣🤣 wasiwasi ni akili legend!Umewaogopa kwani🤔🤔?malegendary wanakuwaga mashujaa bhana,hebu njoo chap kwa haraka🤣!
Wasikushughulishe bwana Legendary wangu....😅😅😅Nawaogopa utadhani nawajua🤣🤣🤣 wasiwasi ni akili legend!
Aliyeharibu JF ni rikiboy😂😂😂Kipindi Hicho Watu Walikuwa Wagumu Engagement Ilikuwa Kwenye Siasa Na Habari Mbalimbali
Aliyeharibu JF ni rikiboy😂😂😂