Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hakuna boflo gumu mbele ya chai wewe 🤣🤣🤣🤣Hahahahaha...hapo utakua una subiri Meli ..Magufuli Stand
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna boflo gumu mbele ya chai wewe 🤣🤣🤣🤣Hahahahaha...hapo utakua una subiri Meli ..Magufuli Stand
Hahahahaha..🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimeshangaa ujue
Hahahahahaha...sio mimi labda wengine hukoHakuna boflo gumu mbele ya chai wewe 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Duh wewe bwana🤔afu mbona unacheka sana? Ulituona nini tunavyoshikana zile tamu 😜
Haya maisha kila mtu anazigo lake ila sema tunaona zaidi zigo la Mwingine.So nilikuwa namuuliza kama aliniona na chale chemba maana si kwa cheko hilo 🤣🤣🤣🤣🥵🤣🤣🤣🤣Duh wewe bwana
Hakika Kila Mtu na mtuwe,tatizo TM anacheka Hadi unahisi mmmh huyu anajua habari zangu Nini🤔🤔umemuuliza vyemaHaya maisha kila mtu anazigo lake ila sema tunaona zaidi zigo la Mwingine.So nilikuwa namuuliza kama aliniona na chale chemba maana si kwa cheko hilo 🤣🤣🤣🤣🥵
Mi siulizi chochote kwa mtu tangu nijue jf wote ni perfect isipokuwa mie....mi nafurahi na kila mtu hata ninayejua ananisema kwa mabaya.Maisha ndiyo hayahaya cuteHakika Kila Mtu na mtuwe,tatizo TM anacheka Hadi unahisi mmmh huyu anajua habari zangu Nini🤔🤔umemuuliza vyema
Uamuzi wa busara sana....maana huwezi kushindana na malaika wa humuMi siulizi chochote kwa mtu tangu nijue jf wote ni perfect isipokuwa mie....mi nafurahi na kila mtu hata ninayejua ananisema kwa mabaya.Maisha ndiyo hayahaya cute
Nakupenda pia sana ❤️😍😍💐😍Leo nahisi Nakupenda sana ☺️
Ulivyokuwa mtoto kipindi hicho ukiitwa mchumba ulikuwa unafurahi sana.Mimi sio mchumba
Hahahahaha..ID ndio kbs wala sishobokei ...We subiri nakuja na ka ID kapya ka kilokoleee kanasing praise and worship tu,nikishakupata ,,,,ti ntiiiiii iiiiii kama bongo movie vile kubwala maadui linatokea Sasa nakwambia mi ndio yule usiyempenda kaja🤣🤣🤣
Hahahahahaha..Ulivyokuwa mtoto kipindi hicho ikiitwa mchumba ulikuwa unafurahi sana.
Tatizo limeanza wapi? Kwa sababu umekuwa sasa?😊
Hahahahahaha...lunch timeMi siulizi chochote kwa mtu tangu nijue jf wote ni perfect isipokuwa mie....mi nafurahi na kila mtu hata ninayejua ananisema kwa mabaya.Maisha ndiyo hayahaya cute
Hahahahaha mie huwa nafurahi tu wala si maanishi chochoteHakika Kila Mtu na mtuwe,tatizo TM anacheka Hadi unahisi mmmh huyu anajua habari zangu Nini🤔🤔umemuuliza vyema
Hahahahaha...dah pole sanaHaya maisha kila mtu anazigo lake ila sema tunaona zaidi zigo la Mwingine.So nilikuwa namuuliza kama aliniona na chale chemba maana si kwa cheko hilo 🤣🤣🤣🤣🥵
Dah we mgumu sana🙆🙆🙆Hahahahaha..ID ndio kbs wala sishobokei ...
Hahahahaha...yaani walau uje na hii kdg walau kdg naeza kuijibu..ila sio ID mpya...utakua umejisumbua tuDah we mgumu sana🙆🙆🙆