...Uhali gani ...

...Uhali gani ...

We subiri nakuja na ka ID kapya ka kilokoleee kanasing praise and worship tu,nikishakupata ,,,,ti ntiiiiii iiiiii kama bongo movie vile kubwala maadui linatokea Sasa nakwambia mi ndio yule usiyempenda kaja🤣🤣🤣
 
Haya maisha kila mtu anazigo lake ila sema tunaona zaidi zigo la Mwingine.So nilikuwa namuuliza kama aliniona na chale chemba maana si kwa cheko hilo 🤣🤣🤣🤣🥵
Hakika Kila Mtu na mtuwe,tatizo TM anacheka Hadi unahisi mmmh huyu anajua habari zangu Nini🤔🤔umemuuliza vyema
 
Hakika Kila Mtu na mtuwe,tatizo TM anacheka Hadi unahisi mmmh huyu anajua habari zangu Nini🤔🤔umemuuliza vyema
Mi siulizi chochote kwa mtu tangu nijue jf wote ni perfect isipokuwa mie....mi nafurahi na kila mtu hata ninayejua ananisema kwa mabaya.Maisha ndiyo hayahaya cute
 
We subiri nakuja na ka ID kapya ka kilokoleee kanasing praise and worship tu,nikishakupata ,,,,ti ntiiiiii iiiiii kama bongo movie vile kubwala maadui linatokea Sasa nakwambia mi ndio yule usiyempenda kaja🤣🤣🤣
Hahahahaha..ID ndio kbs wala sishobokei ...
 
Back
Top Bottom