Kilimo kwanza elimu baadae kuwa mpole chagueni ccm 2015 ... Ndo tutaanza kuangalia masuala ya elimu.hata hivyo serikali haina hela ya kuwakopesha watu wote hawa wakifauli... Ndugu watanzania tuangalie jambo moja kwanza... Kwani hawa watoto wakienda vyuo hawa watatuondoa madarakani... Hebu tusubiri kwanza....