duocore
Member
- Aug 27, 2012
- 55
- 5
Wana JF katika kikao cha bunge kilichopita wabunge walitoa hoja zao za msingi ktk kuletea taifa hili maendeleo. Kiti cha Spika kikatumia ubabe wake. Matokeo ya kidato cha nne yametangazwa, wanafunzi 1600 na ushee tu, ndio waliopata daraja la kwanza, haiwezekani. Kawambwa step down, huwezi chochote, acheni siasa, mitaala haieleweki, vitabu vya kiada na ziada havieleweki, kila shule kivyake, bado ma-godown yamejaa vitabu ya wazabuni hamjalipa, mnatupeleka wapi? Tutafukuzana kama paka na panya, ohoo! grii!!