Uhalisia wa taifa la Israeli

Uhalisia wa taifa la Israeli

Kwa hio wao ni Nani ?
Adam ni baba wa binadamu wote duniani na Ibrahimu ni baba wa Mataifa mengi. Ibrahimu siyo babu wa wayahudi tu, ni babu wa mafaifa mengi sana. Ukifuatilia vizuri historia hata hayo mataifa yanayogombana sana mashariki ya kati mengi yametokana na uzao wa ibrahimu.
 
thread ndefu ila kwa mtu anayependa kusoma na kuelewa vitu in details imejieleza with strong books and biblical references japo itabidi mtu usome kwa utulivu na dhana kinzani ya masuala ya dini ukiitoa kwenye kichwa chako, ni mara ya kwanza nasoma thread ambayo ina knowledge na connection of dots japo nilishasikia story hii kwa kifupi toka kwa Rasi mmoja mtaani kwangu kama miaka 3 iliyopita..BIG UP sana kwa mtoa maada kwa muda wako kushare knowledge yako...

ila reference zako zimebase kwenye bible zaidi vipi kuhusu vitabu vingine vya dini kama Koran sijaona ukivigusia ?
 
thread ndefu ila kwa mtu anayependa kusoma na kuelewa vitu in details imejieleza with strong books and biblical references japo itabidi mtu usome kwa utulivu na dhana kinzani ya masuala ya dini ukiitoa kwenye kichwa chako, ni mara ya kwanza nasoma thread ambayo ina knowledge na connection of dots japo nilishasikia story hii kwa kifupi toka kwa Rasi mmoja mtaani kwangu kama miaka 3 iliyopita..BIG UP sana kwa mtoa maada kwa muda wako kushare knowledge yako...

ila reference zako zimebase kwenye bible zaidi vipi kuhusu vitabu vingine vya dini kama Koran sijaona ukivigusia ?
Quran ni kitabu kilichotungwa ili kupotosha uokovu ulioletwa na yesu. Ni mpinga Kristo so usipende sana kukitumia
 
Quran ni kitabu kilichotungwa ili kupotosha uokovu ulioletwa na yesu. Ni mpinga Kristo so usipende sana kukitumia
tusiseme hivyo kwamba ni kitabu cha mpinga kristo without facts, and ofcuz that is not a discussion here...swali lilikuwa muandishi ametumia reference kutoka bible pekee ukizungumzia vitabu vyA DINI..inakuwa ni ngumu kwa ndugu zetu ambao ni waislam na wanaamini katika koran kufuatilia reference zilizotolewa na muandishi
 
tusiseme hivyo kwamba ni kitabu cha mpinga kristo without facts, and ofcuz that is not a discussion here...swali lilikuwa muandishi ametumia reference kutoka bible pekee ukizungumzia vitabu vyA DINI..inakuwa ni ngumu kwa ndugu zetu ambao ni waislam na wanaamini katika koran kufuatilia reference zilizotolewa na muandishi
Hata wakipewa huwa hawaamini kwasababu wamefundishwa hivyo.
 
Mkuu kwa sasa usije kutegemea tena Israel kupigwa(huu ni ukweli mchungu sana sana masikioni mwa wengi) hawa jamaa wameteseka sana, wameteswa sana wakateswa, miaka 400 waliyoteswa pale Misri si midogo, mateso ya mwisho ni kwa Hitra Adolf, kwa sasa hawatapigwa wala kushindwa tena
kuna dhana hapa zinakinzana nadhani umeshindwa kuzielewa ni kama zifuatazo
1.Unauhakika gani kama hawa waliopo leo pale israeli ni muendelezo wa wale waliotoka misri,na ndio hao hao walikuwepo kipindi cha Yesu kabla hawajatawaniyika???
2.una ushahidi wowote kuwa Hitler aliwatesa/kuwaua wayahudi sababu nimiongoni mwa hoja zenye utata sana duniani kwa miaka mingi???
3.una uhakika gani kuwa hawatapigwa? kuna wakati Dunia alikuwa inatawaliwa na utawala wa warumi(wakapigwa) then ukaja utawala wa wareno,wajerumani,waingereza woote hao walipigwa na kuangushwa so ni swala la muda tu hakunakitu kinakaaga milele hapa duniani
 
thread ndefu ila kwa mtu anayependa kusoma na kuelewa vitu in details imejieleza with strong books and biblical references japo itabidi mtu usome kwa utulivu na dhana kinzani ya masuala ya dini ukiitoa kwenye kichwa chako, ni mara ya kwanza nasoma thread ambayo ina knowledge na connection of dots japo nilishasikia story hii kwa kifupi toka kwa Rasi mmoja mtaani kwangu kama miaka 3 iliyopita..BIG UP sana kwa mtoa maada kwa muda wako kushare knowledge yako...

ila reference zako zimebase kwenye bible zaidi vipi kuhusu vitabu vingine vya dini kama Koran sijaona ukivigusia ?
THANKS mkuu ,ningeweza kuweka reference pia kutoka kwenye Quruan sababu kuna ushahidi pia huko uko kuhusu uhalisia wa israel na hata vitabu vingi sana vya kale kuhusu ukweli wa hili taifa vimeeleza ni swala la muda tu wa kureserch maandiko na vitabu
 
Quran ni kitabu kilichotungwa ili kupotosha uokovu ulioletwa na yesu. Ni mpinga Kristo so usipende sana kukitumia
Ukija kwenye fact bible ndiyo iliyotungwa sio quran mkuu

Unajidanganya sana kwanini mpewe bible na sio injili nyinyi wenyewe hamjielewi

Kwa nini mletewe tafsiri kwanini msingeundishwa maandiko yale og na tafsiri kwa lugha ya kwenu

Unaaamini vipi kwamba ile tafsiri ni kweli au ni tafsiri iliyowekwa na wao kwa interests zao??

Quran haiwezi kubadilika wala kubadiishwa mpaka ulimwengu unafika mwisho kwa kua ni kitabu kilichokamili kila idara na hakina shaka ndani yake

Wazungu wamejaribu sana kutaka kukibadilisha lakini wapi hawawezi na hawatoweza wao kazi yao ni kuibadili bible na kuwapoteza mazumbukuku yasiyo taka kusoma wao ni kufuata mkumbo
 
Ukija kwenye fact bible ndiyo iliyotungwa sio quran mkuu

Unajidanganya sana kwanini mpewe bible na sio injili nyinyi wenyewe hamjielewi

Kwa nini mletewe tafsiri kwanini msingeundishwa maandiko yale og na tafsiri kwa lugha ya kwenu

Unaaamini vipi kwamba ile tafsiri ni kweli au ni tafsiri iliyowekwa na wao kwa interests zao??

Quran haiwezi kubadilika wala kubadiishwa mpaka ulimwengu unafika mwisho kwa kua ni kitabu kilichokamili kila idara na hakina shaka ndani yake

Wazungu wamejaribu sana kutaka kukibadilisha lakini wapi hawawezi na hawatoweza wao kazi yao ni kuibadili bible na kuwapoteza mazumbukuku yasiyo taka kusoma wao ni kufuata mkumbo
Usikariri ndugu. Quran imebadilishwa mara kibao. Je unajua alieiandika Quran? Je hujui Mtume alikuwa hajui kusoma wala kuandika na ni maswahiba wake walikuwa wanamuandikia. Unajuaje kama hawakubadili vile anavyosema.? Ingekuwa Bible sio kweli basi Mwamadi asingewaambia mje kufata maarifa kwetu. Tumia akili kidogo. Quran ililetwa na watu kuwaondoa wateule kwenye mpango wa Mungu ndio mana mlivyo shtukia mkaitoa ile aya ya majini.
 
Usikariri ndugu. Quran imebadilishwa mara kibao. Je unajua alieiandika Quran? Je hujui Mtume alikuwa hajui kusoma wala kuandika na ni maswahiba wake walikuwa wanamuandikia. Unajuaje kama hawakubadili vile anavyosema.? Ingekuwa Bible sio kweli basi Mwamadi asingewaambia mje kufata maarifa kwetu. Tumia akili kidogo. Quran ililetwa na watu kuwaondoa wateule kwenye mpango wa Mungu ndio mana mlivyo shtukia mkaitoa ile aya ya majini.
Alafu then hao wateule ni wakina nani??

Kasome history ya muhammad na jinsi alivyokua hata watu wenye maelimu yao makubwa na ni wakristo wanasema muhammad (S A W) alikua mtu wa pekee na mtu bora ambaye hakuna aliyetokea kama yeye na ni wazungu wanaamini sasa unapomtukana na kutukana quran unakua unajidhihirihia kuwa unaupungufu wa maarifa
Screenshot_2018-05-15-16-09-08.jpg
 
Alafu then hao wateule ni wakina nani??

Kasome history ya muhammad na jinsi alivyokua hata watu wenye maelimu yao makubwa na ni wakristo wanasema muhammad (S A W) alikua mtu wa pekee na mtu bora ambaye hakuna aliyetokea kama yeye na ni wazungu wanaamini sasa unapomtukana na kutukana quran unakua unajidhihirihia kuwa unaupungufu wa maarifa View attachment 778237
Kumbuka hivi ni link zilizoandikwa na watu, inawezekana walikuwa wamelewa utajuaje. Nenda Tanga kaangalie wenzio wanavyotumia Quran kuloga watu na kuwatupia majini.
 
Asomaye na afahamu. naelekea kuamini kuwa quran haijabadilishwa ila hili la kuondoa sura ya majini hebu mtu mmoja atufafanulie
 
Wewe ndiyo hutumii akili unafuata mihemko sisi hatujaambiwa tufuate bible sisi tumeambiwa tuifuate injili kitabu cha yesu au issa
Na wapi muhammad aliwaambia maswahaba zake waje kutafuta maarifa ya kidini kwa wakristo

Haya basi mtaje huyo aliyetunga quran genius yupi huyo ambaye anaweza kuweka kila kitu kwenye kitabu kimoja kuanzia sheria,,uchumi,, science,, na somo la roho,,wapi tumetoka na wapi tunaelekea,, nitajia alafu uniambia kwenye bible kunavitu kama hivyo??

Bible imebagua baadhi ya mambo yani haijakamilika sasa kama haijakamilika tutaifuata vipi ndiyo maana quran imekamilika kwa sababu ni muunganiko wa vitabu 4 vitukufu ZABURI TORATI INJILI NA QURAN yenyewe sasa unapoitukana quran unakua ni sawa na kumtukana mama yako aliyejiziba uso kwa kitambaa bila kujua na kuhakiki unamtolea matusi ni upuuzi soma kwanza
Nadhani tusitoke wandugu kwenye maada ya msingi, jukwaa na maada Siyo bible wala Koran Ila ni jinsi vilivyotumika kama reference ya maada ya msingi...
Mimi Siyo mtoa maada Ila tusibishane kuhusu Koran wala bible, tuangalie tunachotakiwa kuchangia na kuuliza hapo juu..
 
Wewe ndiyo hutumii akili unafuata mihemko sisi hatujaambiwa tufuate bible sisi tumeambiwa tuifuate injili kitabu cha yesu au issa
Na wapi muhammad aliwaambia maswahaba zake waje kutafuta maarifa ya kidini kwa wakristo

Haya basi mtaje huyo aliyetunga quran genius yupi huyo ambaye anaweza kuweka kila kitu kwenye kitabu kimoja kuanzia sheria,,uchumi,, science,, na somo la roho,,wapi tumetoka na wapi tunaelekea,, nitajia alafu uniambia kwenye bible kunavitu kama hivyo??

Bible imebagua baadhi ya mambo yani haijakamilika sasa kama haijakamilika tutaifuata vipi ndiyo maana quran imekamilika kwa sababu ni muunganiko wa vitabu 4 vitukufu ZABURI TORATI INJILI NA QURAN yenyewe sasa unapoitukana quran unakua ni sawa na kumtukana mama yako aliyejiziba uso kwa kitambaa bila kujua na kuhakiki unamtolea matusi ni upuuzi soma kwanza
Hicho kitabu nimekisoma hakina kitu zaidi ya hadisi na maneno ya watu waliokuwa wanapiga stori. Kwa mfano Eti Alla atamuuliza Yesu kama kawaambia watu wamuabidu yeye Au Alla na Yesu atasema sikuwaambia. Maneno hayo ni Mudy alikuwa anawapigia stori maswahiba.
 
Swali langu hapa. Ina maana hata hawa viongozi wakubwa wa dini. Mwingira,rwakatale,gamanywa,kakobe n.k n.k...hawayajui haya?????
 
MAKOSHNELI

Ukweli ukichanganyika na uongo hivyo Umeshuhudia Uongo.

Chachu kidogo huchachusha donge zima.(1 Wakorintho 5:6).

Soma historia ya Warumi. Ufahamu wakina Spartacus na Gladiators katika arena kule Rome italia. ujue utumwa haukua wa mtu mweusi pekee.

Pia nakuwekea link kaisome
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1443564/
Yaani sajaona ulicho andika ndugu yangu,kama kuna sehemu nimedanganya au kukosea Weka maandiko yangu against yako ambayo wewe unaona ndio yapo sahihi, hoja inavyokosolewa na hoja sio hiyo mipasho uliyoandika hapo juu
 
Back
Top Bottom