Uhalisia wa taifa la Israeli

Uhalisia wa taifa la Israeli

[emoji1] [emoji1] .nicheke kdg..!!..hapo ni sawa na kusema huwezi kuwahukumu shoga's wala kuwakemea.. kwani wewe nani..??..wakati tendo hilo limelaaniwa kabisa kwa ushahidi wa maandiko ya vitabu vya dini....

umerudi kwenye mstari kuhusu mtoa mada na hoja yake kuhusu tarmud...
Juma chief imani yangu ni juu ya upendo na utu wema ,Tuna imani nyingi sana duniani tunacho paswa ni kuelimishana kwa kuheshimiana bila kudhuriana .Jukumu la maamuzi bado linabaki kwa muelimishwaji njia ipi kwake anaona itakuwa muafaka kuifuata .Tarmud ndio tulichokuwa tunakiongelea na ndio maana nilirudi huko
.
 
Mkuu mainstreem media kubwa zote za wazayuni, they blindfold us. Ugaidi wa izrael ni mbaya sana na wala hautangazwi.

90% ya makundi ya kigaidi regardless ya majina kujinasibisha na dini nyengine yapo ktk payroll ya wayahudi. Juzi tu imebainika waliofanya arab upraising mpaka tukaona mapinduzi ktk nchi za kiarabu ni wayahudi.

Pia imeshajulikana Abouvakar Albaghdad kiongozi wa ISIS ni myahudi. Kuna shida sana mkuu
Hebu tupia vielelezo
 
Hilo halina ubishi somen maandiko lile ni taifa teule la Mungu Muizrael yoyote hatoukosa ufalme wa Mungu japo wapo watakao uona kwa Upanga kwan mpaka leo hii si waizrael wote wanaoamin ujio wa Yesu Kristu kwan baadh yao wanaamin Yesu alozaliwa pale si yeye halis wanaemsubili wao wanaamin hajaja ivo hao ndowatauona ufalme wa Mungu kwa Upanga maana sku ya mwisho ndowatakuja kuamin uku wakiwa tayar wameumia.Hata leo hii ukimpa mimba binti wa kiisrael mimba itashka lakin mtoto atakaezaliwa bado atakua muizrael maana chromosome zake zikipimwa lazma zikutwe tofaut na za kwako badala yake zitakua sawa na za Mama yake awa watu Mungu aliwaumba tofaut KABISA na ndomaana likaitwa Taifa teule.
 
Hilo halina ubishi somen maandiko lile ni taifa teule la Mungu Muizrael yoyote hatoukosa ufalme wa Mungu japo wapo watakao uona kwa Upanga kwan mpaka leo hii si waizrael wote wanaoamin ujio wa Yesu Kristu kwan baadh yao wanaamin Yesu alozaliwa pale si yeye halis wanaemsubili wao wanaamin hajaja ivo hao ndowatauona ufalme wa Mungu kwa Upanga maana sku ya mwisho ndowatakuja kuamin uku wakiwa tayar wameumia.Hata leo hii ukimpa mimba binti wa kiisrael mimba itashka lakin mtoto atakaezaliwa bado atakua muizrael maana chromosome zake zikipimwa lazma zikutwe tofaut na za kwako badala yake zitakua sawa na za Mama yake awa watu Mungu aliwaumba tofaut KABISA na ndomaana likaitwa Taifa teule.

Baseless! Wapi haya yameandikwa ktk biblia au umeyaropoka tu toka kichwani mwako?!
 
Asante kwa uchambuzi ulio na ukweli mwingi ndani yake. "Wajinga ndio waliwao" Israel utawaona kujileta huku Afrika kutulaghai ili tuwapigie kura kule umoja wa mataifa. Hawa kweli sio Jews wa asili ni wazungu wakuja tu. Hawana baraka za Mungu.
 
Duuuuhh kufuatilia waisrael wametoka wapi ni kujisumbua maana hata makabila yaliyopo hapa TZ wote ni wa kuja
 
Hilo halina ubishi somen maandiko lile ni taifa teule la Mungu Muizrael yoyote hatoukosa ufalme wa Mungu japo wapo watakao uona kwa Upanga kwan mpaka leo hii si waizrael wote wanaoamin ujio wa Yesu Kristu kwan baadh yao wanaamin Yesu alozaliwa pale si yeye halis wanaemsubili wao wanaamin hajaja ivo hao ndowatauona ufalme wa Mungu kwa Upanga maana sku ya mwisho ndowatakuja kuamin uku wakiwa tayar wameumia.Hata leo hii ukimpa mimba binti wa kiisrael mimba itashka lakin mtoto atakaezaliwa bado atakua muizrael maana chromosome zake zikipimwa lazma zikutwe tofaut na za kwako badala yake zitakua sawa na za Mama yake awa watu Mungu aliwaumba tofaut KABISA na ndomaana likaitwa Taifa teule.

Acha ubashite wewe... Israel kama taifa teule la Mungu ilikuwa ni Israel ile ya Abraham na sio hii ya shetani Netanyau.
 
Umeandima Uzi mrefu sana!!
Lakini haupo kisomi kabisa story zako nyingi source zake ni mapropandist wanaoichafua Israel
Yes wayahudi wanamapungufu yao but sio kwa uongo huu wa kupakaziwa kasome tena kuhusu wayahudi hawa watu hata wakae miaka 1000 hawapotezi Id yao kirahisi.

Na pia unafanya wrong translation ya bible verses au source zako ulizotumia kipindi unaandaa Uzi huu wako shallow kwenye biblia au wanafanya makusudi tyu kupotosha ukweli halisi ambao wengi hatuupendi tunajaribu kuupinga kadri tuwezavyo kwa propaganda za anti -Jews mbalimbali
 
Usiwaangalie wa misri wa sasahv kwani ndivyo walivyokuwa miaka zaidi ya 2000 iliyopita? Soma biblia inawazungumziaje wamisri wa kipindi kile jitahidi kuchunguza nilichokiandika na ukitafakari kwa maandiko!
Umesoma bible wapi maana unasoma bible literal mno. Full of corrupt translations !!!
tatizo umesoma articles za watu wanaoeneza propaganda dhidi ya Israel ukaamini!!!
 
Umeandima Uzi mrefu sana!!
Lakini haupo kisomi kabisa story zako nyingi source zake ni mapropandist wanaoichafua Israel
Yes wayahudi wanamapungufu yao but sio kwa uongo huu wa kupakaziwa kasome tena kuhusu wayahudi hawa watu hata wakae miaka 1000 hawapotezi Id yao kirahisi.

Na pia unafanya wrong translation ya bible verses au source zako ulizotumia kipindi unaandaa Uzi huu wako shallow kwenye biblia au wanafanya makusudi tyu kupotosha ukweli halisi ambao wengi hatuupendi tunajaribu kuupinga kadri tuwezavyo kwa propaganda za anti -Jews mbalimbali

Umekurupuka kwa kiwango cha lami! Nilitegemea ungekuja na hizo bible verses ambazo nimezitafsiri vibaya uweke tafsiri yako ww ulivyoelewa na pia hizo sources ambazo umeziita anti-jews japo nyingi kati yao ni za wayahudi wenyewe! Uziweke hapa hujaweka hata moja!
Uwe unajipanga kabla hujamkosoa mtu sio unakosoa kijuu juu tu!, mfano ukisema wayahudi hawawez kupoteza id yao hata wakikaa miaka 1000 una refer nn? Utafiti wa ki biblia weka maandiko au historia au sayansi weka vitabu na tafiti tusome hapa! Au ni mahaba yako tu kwa wayahudi umeamua kuweka miaka 1000 au 10000 au hata laki moja!?!
 
We Kishada04
Acha uzushi yaelekea hata maandiko ya kwenye Biblia husomi. Wewe mwenyewe tukikufuatilia unajuaje kuwa wewe ni yule wa asili? Kwani hujui kuwa Wayahudi walikuwa wamechukuliwa utumwani katika nchi mbalimbali wakaja tena kukusanyika kiyoka uhamishoni ndio wakafanya taifa lao tena. Je haya huyajui? Kama huyajui kaa kimya kuchangia kuhusu jambo usilolijua.
 
Amen RA. ..
Hakika nashukuru sana Kwa somo. ..ubarikiwe sana
Acha upumbavu siku nyingine usirudie ku-quote uzi mrefu namna hii kwa maneno yako ya shukrani.

Unaweza kutoa shukrani bila ku-quote na ukaeleweka, kwani kufanya hivyo inatuwia tabu sisi watumiaji wa simu
 
IMG_0385.JPG
Acha upumbavu siku nyingine usirudie ku-quote uzi mrefu namna hii kwa maneno yako ya shukrani.

Unaweza kutoa shukrani bila ku-quote na ukaeleweka, kwani kufanya hivyo inatuwia tabu sisi watumiaji wa simu
Mpumbavu na marehemu mtarajiwa ni wewe mkadahari kwani wewe ni sumu ya kizazi kijacho kwa lidomo lako linaloharisha mitusi RIP MKANDAHARI
 
View attachment 492257
Mpumbavu na marehemu mtarajiwa ni wewe mkadahari kwani wewe ni sumu ya kizazi kijacho kwa lidomo lako linaloharisha mitusi RIP MKANDAHARI
Waliowahi kunitabiria kifo kutokana na upumbavu wao, wote wameshatangulia mbele za haki

Wewe ni mpumbavu pia. Huwezi kuniua kwa upumbavu wa maneno yako
 
Mie kitu ambacho huwa najiuliza pasipo kupata majibu,ni kwa nini duniani watu wenye rangi nyeusi ni wachache sana kuliko wenye rangi nyeupe? Ukiangalia wachina,wahindi,waarabu,wazungu,wa asia wote ni weupe.karibu mabara yote!
 
Mengine umeandika vizuri lakini kusema kwamba waMisri ni weusi nimeshindwa kukuelewa. Unaweza kuwa na point lkn ukiandika kiushabiki na umbumbumbu taarifa inakosa maana na hatima yake ni kukataliwa. Unataka niwaonee huruma wapalestina!!! nitafaidika nini? si heri niwatambue wayahudi hata kama sio sahihi maana angalau kuna maendeleo naweza faidika kuliko kuhubiri ugaidi wakati wote.
Fact Wamisri wa kale ni weusi, kubali au kataa huo ndio ukweli.
 
Back
Top Bottom