Uhalisia wa taifa la Israeli

Uhalisia wa taifa la Israeli

Na ukisoma kwenye quran takatifu kuna aya inamtaja urusi kupewa huo ufalme

Kwa mfano tu. Tangu niijue urusi sijawahi kusikia tabia ya kijinga ikianzia kule kama ushoga usagaji ubabe uonevu hawaoneagi hawa jamaa huwatetea wenye haki kama assad na wale raia wa ukraine. Yawezekana ikawa kweli maana nilisikia sheikh akihubiri haya ndio maana palestina hachoki kupigana nao anaamini ipo siku maana hata rahis wa misri aliwahi kusema sitaelewana na waisrael maana walitoka misri wakiwa weusi wamefika israel wakiwa weusi.
Nawasilisha.
Hivi unajuwa chanzo cha mujahedeen ni Urusi kuivamia Afghanstan? Je unajuwa kwamba first mission ya Osama bin Laden ni Afghanistan alikwenda kujiunga na mujaheeden kupambana na majeshj ya uvamizi ya warusi?

Kwa lugha nyingine kama si Urusi kuivamia Afghanistan huenda basi hata Al qaeda isingeanzishwa na Osama asingekuwa gaidi.

Dini yako inakusisitiza iqraa-soma.
 
Mie kitu ambacho huwa najiuliza pasipo kupata majibu,ni kwa nini duniani watu wenye rangi nyeusi ni wachache sana kuliko wenye rangi nyeupe? Ukiangalia wachina,wahindi,waarabu,wazungu,wa asia wote ni weupe.karibu mabara yote!
Hao wachache ndio wateule wa Mungu usiumize tena akili yako.
 
Mengine umeandika vizuri lakini kusema kwamba waMisri ni weusi nimeshindwa kukuelewa. Unaweza kuwa na point lkn ukiandika kiushabiki na umbumbumbu taarifa inakosa maana na hatima yake ni kukataliwa. Unataka niwaonee huruma wapalestina!!! nitafaidika nini? si heri niwatambue wayahudi hata kama sio sahihi maana angalau kuna maendeleo naweza faidika kuliko kuhubiri ugaidi wakati wote.
Huyu nae akili kama za Bashite
 
Mengine umeandika vizuri lakini kusema kwamba waMisri ni weusi nimeshindwa kukuelewa. Unaweza kuwa na point lkn ukiandika kiushabiki na umbumbumbu taarifa inakosa maana na hatima yake ni kukataliwa. Unataka niwaonee huruma wapalestina!!! nitafaidika nini? si heri niwatambue wayahudi hata kama sio sahihi maana angalau kuna maendeleo naweza faidika kuliko kuhubiri ugaidi wakati wote.
Huyu nae akili kama za Bashite
 
Mengine umeandika vizuri lakini kusema kwamba waMisri ni weusi nimeshindwa kukuelewa. Unaweza kuwa na point lkn ukiandika kiushabiki na umbumbumbu taarifa inakosa maana na hatima yake ni kukataliwa. Unataka niwaonee huruma wapalestina!!! nitafaidika nini? si heri niwatambue wayahudi hata kama sio sahihi maana angalau kuna maendeleo naweza faidika kuliko kuhubiri ugaidi wakati wote.
Huyu nae akili kama za Bashite
 
Mengine umeandika vizuri lakini kusema kwamba waMisri ni weusi nimeshindwa kukuelewa. Unaweza kuwa na point lkn ukiandika kiushabiki na umbumbumbu taarifa inakosa maana na hatima yake ni kukataliwa. Unataka niwaonee huruma wapalestina!!! nitafaidika nini? si heri niwatambue wayahudi hata kama sio sahihi maana angalau kuna maendeleo naweza faidika kuliko kuhubiri ugaidi wakati wote.
Juu ya wamisiri kuwa weusi husibishe kijana, kuna mkakati ulifanyika kuwaondoa weus kaskazini mwa Africa hawa waarab wote ni wageni kijana
 
d44d9f6381618b87beec649eb1579e02.jpg


80f66fc22b5536c17283940124074176.jpg


Unajua Israel sio wema kama unavyoaminishwa be it from hivyo vitabu vyao mnavyo kesha mnasoma makanisani au kwenye media zao.

Kuna mengi nyuma ambayo hawataki myajue na kwakua na wewe hujitambui unapelekwa pelekwa tu kama puppet. Huku hao puppeteers wakikufanya ucheze wimbo wowote ambao wao wanaona unafaa.

Amka bhana, Kwanini Waafrika mnakua brainwashed kiasi hicho, we kila kitu ndio hata hutaki kuhoji !?!?
Ni vema kama ungelianza wewe kutujulisha ulichowahi kuhoji ni nini, wewe ulishawahi kuhoji juu ya kitabu kile kilichoshushwa na MUNGU, alafu hicho hicho kikawaagiza mkazitafute biblia na kuzisoma akili za watu bwana
 
Mi nawazia hiyo laan unayoiongela wewe ya kumkataa Yesu,

Je Yesu hakusema baba wasamehe maana hawakui walietendalo? Je hakusema Imeisha, nini ilikua maana ya maneno hao,
Wakristo tuaminivyo baada ya Yesu kufa kila kitu kilifutwa na mambo yakaanza upya, ina maana hiyo laana yao haikuwa kwenye hesabu ya huo msamaha.

Pia hebu nisaidie hao wayahud unaowaongela wapo utumwani wapo nchi gan?
Asilimia 90 ya Watanzania ni Wana wa Abraham. Historia inaonyesha makabila mengi Tanzania wametokea kaskazini
 
Ndo kama ulivyoviweka, nadhani unajua tofauti kati ya dark na black... Egyptian are dark so was israelites
Wayahudi waliishi Misri miaka mingi lugha yao na rangi yao hufanana kwa sababu ya kuzaliana
 
Mbona hujibu maswali yetu? Nilikuuliza je hata wale ethiopian Jews waliotoroshwa Ethiopia kurudi Israel mwaka 1991, na wao ni wayahudi fake? Lakini pia hao wayahudi halisi wako utumwani nchi gani? Halafu je unafikiri neno WAYAHUDI kwenye UFUNUO 2:9 lina maana ya wayahudi wa kiroho au wayahudi wa rangi kama ulivyolielezea hapo juu, maana UFUNUO ni kitabu cha Unabii, hatahivyo UFUNUO 2 inaelezea historia ya makanisa saba yaliyowahi kuwepo kwa vipindi tofauti hapa duniani.
Kiufupi elewa kuwa Bantu na Negroes ndio Wana wa Abraham
 
Mtoa mada hii ni mbumbumbu wa historia ya waisrael hasa baada ya Yesu hadi leo.

Kwa kukusaidia mdogo wangu jifunze mambo yafuatayo.

1.Kwa nn 80% ya Israelites ni Ashkenazi. Ni kwa mini wajiite Ashkenazi.


2. Rudi kutafuta kusoma kwenye bible soma vitabu vya Kutoka na Mwanzo. Waliotolewa Misri sio Waisraeli Bali ni Waebrania.

Unaweza tofautisha kati Waebrania na Waisraeli
Wewe ndio mbumbumbu, waebrania ni Wana wa Abraham na Waisrael ni moja ya Wana wa Abraham
 
Kwa mwenye taarifa sahihi kuhusu Israel ni taifa au Dini anieleweshe
 
Kwa mwenye taarifa sahihi kuhusu Israel ni taifa au Dini anieleweshe
Israel ni jina la Yakobo mwana wa Isaka mwana wa Abraham. Uzao wa Yakobo (Israel) ndio ulioshushiwa manabii wa Mungu hivyo kupatikana kwa dini kupitia uzao wa Israel.
 
Wana watakatifu wa Israeli, hawakuwa Mayahudi. Tofautisha Kizazi cha Jakubu na Mayahudi. Ni vitu viwili tofauti.
Huwezi kutofautisha Kati ya myahudi na muisrael maana Wayahudi ni moja ya makabila 12 ya Israel ambalo ni kabila la Yuda alikotoka Yesu
 
Back
Top Bottom