Uhalisia: Wanawake wengi Duniani wana Uke mdogo kuliko wanaume wengi wanavyofikiri

Hivi kweli mtoto anaweza akapita kwenye tundu la inchi sita (6)? Au mimi ndo sijaelewa, kichwa cha mtoto kina kwa kawaida ni nusu futi inchi (50) kweli hicho kichwa kitapenya je kwenye inchi sita za uke?
 
Hauwezi kushindana ohh kushindana na mwanadamu mwenye k aloloooo
 
Nakubaliana na wewe asilimia kubwa ziko ivyo ila Hua zinakua kama pazia tu pale unapo ingiza uume ndio unaweza kujua kua hii Ndogo au hii kubwa ila kwa kuangalia tu huwezi kuona maajabu yeyote na Mara nying kubwa zenye kuonekana kwa macho ni chache
Unaongea kwa uzoefu kabisa,sio?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi kweli mtoto anaweza akapita kwenye tundu la inchi sita (6)? Au mimi ndo sijaelewa, kichwa cha mtoto kina kwa kawaida ni nusu futi inchi (50) kweli hicho kichwa kitapenya je kwenye inchi sita za uke?
Mmmmh mtoto awe na kichwa inchi 50?[emoji15]

Kama wewe ulieandika hii comment una kichwa size inchi 50,basi demu wako ana huruma sana.
 
Hivi kweli mtoto anaweza akapita kwenye tundu la inchi sita (6)? Au mimi ndo sijaelewa, kichwa cha mtoto kina kwa kawaida ni nusu futi inchi (50) kweli hicho kichwa kitapenya je kwenye inchi sita za uke?
Futi moja ina inch 12
Nusu futi ni sawa na inch 6,

usawa wa nusu RULA.

Hakuna mtoto anazaliwa na kichwa inch 50.

Mtoto mkubwa zaidi duniani aliwahi zaliwa akiwa na kichwa inch 19 upana.

Na alizaliwa na aliyekuwa mwanamke mrefu zaidi duniani na aliyeshikiria rekodi ya mwanamke mwenye uke mkubwa zaidi duniani.

Anaitwa LUCY
 
Okay!! Ngoja waje kutoa uthibitisho...
 
Hivi kweli mtoto anaweza akapita kwenye tundu la inchi sita (6)? Au mimi ndo sijaelewa, kichwa cha mtoto kina kwa kawaida ni nusu futi inchi (50) kweli hicho kichwa kitapenya je kwenye inchi sita za uke?
Inchi 50 ni nusu futi?
 
Nilichaganya inchi na centimeters (cm) hapo sawa inchi moja ni sawa na 100 cm. 1feet ni sawa na 12 inches, kweli nusu futi (6inhes) mtoto anapenya tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…