Pale ni G-spot ndio inakuwa stimulated had had inajaa sasa baada ya hapo
DeepPond ebu njoo utoe ufafanuzina hapa
Ngoja nilifafanue,
Iko hivi,
Mwanamke kumwaga sana maji ni ULEMAVU kama ulivyo ULEMAVU mwingine.
Ulemavu huu ni kwenye mrija wake wa mkojo(urethra), hauna uwezo wa kutanuka na kusinyaa zaidi wenyewe automatic kuruhusu mkojo mwingi kupita.
Sema sasa,
kwenye suala la mahaba wanaume&wanawake inakua ni burudani ya aina yake.
Ina inachukuliwa mwanamke yule kabarikiwa zaidi kutokana na uchache wao duniani.
Unatakiwa uSome uku unaTizama hii picha chini, ndo utaelewa ninachomaanisha
Kinachotokea ni kwamba[emoji116]
Wakati wa kusex kile kitendo cha mwanaume kuipress GSPOT mara kwa mara kinatengeneza presha kwenye urethra (mrija wa mkojo).
Yaani urethra inapunguzwa kipenyo chake
Sasa kwenye mwili wa mwanamke,
Kuna tezi inaitwa "skene",
tezi hii ipo kwa ajili ya dharura ili kuulinda mrija wa mkojo inapotokea uko katika hali ya kutanuliwa.
Hii tezi ya skene inapatikana juu kidogo ya kinapoishia kisimi (clitoris).
Gspot inapoguswa sana, taarifa zinaifikia tezi kua urethra imezidiwa.
Kwaiyo
iyo tezi hutoa maji maji flani kama gryceline kwenda kwenye ndani ya kuta za urethra kuilainisha.
Sasa kwa wanawake wenye tatizo la mrija mdogo na mgumu kutanuka (rigid & small urethra opening) husababisha yale majimaji yawe mengi ndani ya urethra ila bado mirija haitanuki.
Hivyo,
mwaaume anavozidi kusugua gspot, maji maji huendelea kuzalishwa zaidi na zaid.
Hivyo yale maji ya mwanzo hulazimika kupandisha juu kurudi kwenye kibofu ili kutoa nafas ya maji maji mengine yaendelee kuja.
Yanapofika kwenye kibofu huchanganyika kias na mkojo.
Sasa,
Jinsi unavoendelea kumsugua mwanamke huzidi kuskia ule utamu wa bao,
NB: maji maji ya bao ni tofauti na maji maji ya squirt.
Ule Utamu wenyewe wa bao huzalishwa na tezi flan (nmeisahau jina) inapatikana kwenye kwenye mashavu ya uke yanayozunguka pale sehem ya kisimi kulia na kushoto.
Ule utamu wa bao unapokaribia kuja, taarifa upelekwa direct kwenye ubongo kua uyu binti sasa anahitaji kupiga bao sasa.
Sasa ubongo unataratibu zake,
-kamwe huwez kojoa bao uku ukiwa umebanwa na mkojo wa kawaida.
-kipaumbele ni lazima kwanza mkojo utoke, ndo bao litoke.
Sasa kwa wakati huo uyu binti anazidi kusuguliwa, kibofu hujaa ayo majimaji.
Hivyo,
Huamliwa yatoke kama mkojo wa kawaida na ndipo mwanamke hujiskia majimaji mengi unamtoka kwa presha kubwa akishindwa kujizuia.
Na kisha bao lenyewe halisi ndio hufata.
Kwaiyo,
Wanawake wasio na ulemavu huu hata wakisuguliwa sana gspot kutengeneza presha kwenye urethra.
Urethra zao huweza kutanuka zaidi na zaidi na kuipoteza kabisa ile presha.
Hivyo ile tezi ya "skene" inayozalisha ile gryceline/majimaji ya kulainisha urethra hukaa KIMYA na kutozalisha majimaji yoyote.
Kingine pia ni kwamba,
Wanawake wa wenye ulemvu huu sio lazima waguswe sana gspot ndo maji mji yatoke.
Wengine huchezea juu kidogo ya kisimi na kuitekenya ile tezi manually hivyo kuzalisha yale maji maji, na process huendelea kama nilivoeleza na yakatoka kama kawaida