Uhamiaji hawaoni aibu kutoa passport laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Uhamiaji hawaoni aibu kutoa passport laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.

Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.

Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele

Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofauti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.

Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport

Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!
Kila mtu akipewa pasipoti hvyo kumbuka Kuna watu sio watanzania wanataka mnooo itakuwa hatari kwa nchi, pia zingatia pasipoti maalum kwa wasafiri tu sio kila mtu awea nayo kama NIDA
 
Kiukweli pale kuna visa na aibu mtu unaambiwa unaenda nchi gani kufanya nn kama huna barua ya mualiko huko uendapo basi passpport hupati na hapo kumbuka ushajaza online ushaenda serikali ya mtaa ushaenda kwa wakili kupiga muhuri na afidavit ushapoteza muda wako mwisho wa siku wanakuwekea vikwazo ili uwape laki 2 na huku unatakiwa kulipia 130k. Tanzania ya viwanda.
 
Wewe ndio mpuuzi kabisa tena wakiwango cha lami,ni nani aliyekuambia ukishakuwa na passport unaweza kwenda nchi ingine kirahisi namna hiyo,kila nchi inataratibu zake .ni lazima uzikamilishe ndio uweze kuingia,na sio kuwa ukishakuwa na passport utaingia tu.
Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
afadhali mkuu umeliona hili
yaan nchi zetu ni aibu sna ukienda kwenye hizi taasisi

kwa wenzetu mtoto akizaliwa tu ...unaulizwa unataka pasort yake utengenezewe baada ya sku ngapi


kwa kweli its so shame kwa nchi zetu..utahis kama vile unaenda kuomba roho au pepa kuitafta pasport kumbe ni kitu ambacho ni haki yako


hawa wafanya kazi wa uhamiaji ni malimbukeni wa kutupwa.
 
Baadhi ya wateendaji serikalini hovyo na wanafanya kazi Kama miroboti tu wakiwemo wa kitengo Cha passport

Nakumbuka Kuna kipindi kabla ya vyama vingi kwenda Zanzibar ulikuwa lazima uende na passport utake usitake.Na unagongewa visa ya kuingia Zanzibar .

Mtu binafsi ndiye alibadili Hilo anaitwa Mchungaji Mtikila.

Vyama vingi vilipoanza ilitakiwa kwa Sheria ya vyama iliyopo Hadi sasa kuwa ili Chama Chako Cha siasa kisajiliwe inatakiwa kuwa na wanachama Tanzania bara na Zanzibar.Mtikila akasajili wanachama Tanzania bara akagoma kwenda kusajili Zanzibar akasema kule Ni nchi nyingine ambayo kuingia lazima uende na Passport na Visa akasema hayuko tayari kusajili raia wa nchi nyingine kuwa wanachama wa Chama ili asajiliwe

.Akasema kwenda uingereza unahitaji passport na Visa inawezekanaje Chama kisajil raia Mfano wa uingereza kuwa wanachama wa Chama Tanganyika? Akaenda mahakamani passport zikafutwa na visa za kuingia Zanzibar zikafutwa

Msajili wa vyama akaona Ni kweli.Uhamiaji ndipo wakaamka usingizini na kufuta habari ya kwenda Zanzibar na passport!!!!

Hili la wao pia kudai vitu vinavyodaiwa mtu akiomba visa ubalozini kuvifanya ndio vigezo vyao vya kumpa mtu passport bado wako usingizini wanakoroma wakifanya kazi kea mazoea.Wanahitaji wa kusaamusha kuwa ohhhh you uhamiaji wake up acha kufanya kazi kwa mazoea!!!!
Hili li nchi ni la kikumbavu sana. Yani ukifanikiwa kusepa kwenye hili li nchi basi ukirudi wewe niwakufungukiwa jiwe na kutupwa baharini.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hili li nchi ni la kikumbavu sana. Yani ukifanikiwa kusepa kwenye hili li nchi basi ukirudi wewe niwakufungukiwa jiwe na kutupwa baharini.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Ili ujue una mawazo mgando siku ukisepa huko unakokujua na ukarudi baada ya wiki moja ndo utaelewa vizuri kuwa duniani maharage ndo mboga nzuri kuliko mboga zote.
 
Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.

Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.

Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele

Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofauti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.

Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport

Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!
Laiti robo ya watumishi wa Uhamiaji wangekuwa alau na nusu ya uelewa wako kuhusu umuhimu wa passport, hii nchi ingesonga mbele sana.
 
Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?

Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.

Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.

Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele

Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofauti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.

Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport

Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!
Wasomi wa kiafrika wakisitafu ndipo hawa na akili
 
Back
Top Bottom