Kweli, na Mimi kama Chadema ninapiga kelele sana kuhusu matumizi mabaya ya ruzuku, ACT ya juzi tu Ina Ofisi Kali ya ghorofa, sisi Hela zinaliwa tuKamateni wazi wa fedha za umma, acha ujinga ujinga kuleta vitu visivokuwa na negative impact kwa wananchi
Yeye kabeba mimba Kona bar, anaishi Maji Matitu kule Mbagala na watoto wanasoma KWAMTOGOLE SEKONDARI.Unaonea wivu watoto wa mwanamke mwenzio kisa ni wa mambele?
huko ccm wapo wengi sanamtu mzima unapata wapi muda wa kuandika utumbo wa namni hii.
Naunga mkono hoja. Kuna ongezeko la wendawazimu wengi sana katika kipindi hiki, nadhani ni kutokana na tatizo la njaa
Mkuu, uko kwenye siku zako?Yeye kabeba mimba Kona bar, anaishi Maji Matitu kule Mbagala na watoto wanasome KWAMTOGOLE SEKONDARI.
Safar kubwa aliyowahi kufanya ni kutoka Buza mpaka Bunju. Hana analolijua zaidi ya kutumia sehemu zake za siri
Umeajuaje?Naona bado una wenge la pombe za ofa za jana
Sasa wivu wenu umehamia kwa watoto wake 😂😂😂, ni vzr ungeenda hoji pale US Embassy au omba makachero wakawahoji pale ubalozini!!Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.
Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.
Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.
Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.
Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
Utamshughulia kwa lipi mtu aliyeshinda risasi?Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.
Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.
Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.
Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.
Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
Ubalozini hawawezi kutoa taarifa kwa sababu jamaa ni "undercover" officer wao, na wamemuweka ubeleji, kijiwe Cha majasusi dunianiSasa wivu wenu umehamia kwa watoto wake 😂😂😂, ni vzr ungeenda hoji pale US Embassy au omba makachero wakawahoji pale ubalozini!!
Kwanza hao watoto waweza kuwa raia wa Marekani kwa kuzaliwa.Sasa wivu wenu umehamia kwa watoto wake 😂😂😂, ni vzr ungeenda hoji pale US Embassy au omba makachero wakawahoji pale ubalozini!!
Fedha zippi hizo wanazokula watoto wa lisu ambazo zinarudisha nyuma maendeleo ya nchi, Zinazidi hizi ambazo kila mwaka CAG huwa anasema mmegawana na hakuna anayewajibika?Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.
Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.
Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.
Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.
Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
Naona una kinyongo kuona jamaa anaishi na ulitarajia uone kaburi lake roho yako isuuzikeNi dawa za mganga wake wa Geita, vidono vya Muha mmoja hivi, unadhani ni kawaida?
Officer wa US na kachero anapigwa masasi za kutosha halafu wameshindw kuchukua hatua kwa officer wao?Ubalozini hawawezi kutoa taarifa kwa sababu jamaa ni "undercover" officer wao, na wamemuweka ubeleji, kijiwe Cha majasusi duniani
Njaa mbaya sana, unaweza hadi kugawa DUBRI yako hivi hivi tunakuona tuMkuu, uko kwenye siku zako?
Umevimbiwa maharage mekundu, unaandika ujinga.Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.
Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.
Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.
Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.
Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
Idadi ya wapumbavu inaongezeka kwa kasi ya ajabu huko ccm.Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.
Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.
Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.
Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.
Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.